Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Takribani juma moja tu limebaki kabla ya uchaguzi mkuuTunashuhudia mambo yakizidi kupamba moto kwa kuendelea na kampeni, na gumzo kubwa ni pale Dr Slaa alipofanya mahojiano live na wapiga kura...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
KUSEMA MAISHA YAMEKUWA BORA BAADA YA MIAKA 5 YA CCM MADARAKANI NI KEJELI. Taifa lipo kwenye hekaheka za kampeni za uchaguzi, Taifa linarindima kwa vishindo na kelele za wagombea, vumbi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu nimeona hili kwa RAIS ajaye achukue kama lilivyo kwani nimeona nchi nyingi kwasasa wanavuna mihela USD na uchumi kuwa juu sana ukilinganisha na Watanzania tunaobaniana kwa ajili ya maslahi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Akijibu swali la Mwanachama mfu wa CCM (A, Lwaitama), Dr Slaa alisema, kisaikolojia hiyo ni hulka ya binadamu kuogopa asipokujua, lakini ni kweli watu hawakujuhi huko? Miongoni mwa sifa kuu za...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sisi watanzania tumepatiwa malezi mema ya kupendana na kuthamini utu na ubinadamu. Ili kulinda na kutetea hali ya amani na utulivu watanzania tumelelewa na kufunzwa kuviheshimu na kuviamini vyombo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu huu uchaguzi kwa kweli unaelekea waweza kuwa na zengwa yaani vyombo vya habari kama BBC, CNN etc hawafuatilii uchaguzi huu kabisa yaani kwenye website zao hawana article zozote zinazogusia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kutokana na kazi nzuri sana aliyoifanya bungeni kuhusiana na utetezi wa Watanzania juu ya rasilimali zao, kuikalia serikali kooni na kuiwajibisha vyema mbele ya wananchi. kuleta hamasa kubwa na ya...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Jamani, sijasikia lolote wala kuwaona viongozi wetu wakubwa kama B. Mkapa, A. H. Mwinyi,spika, na wengine wengi katika kampeni za kumnadi mgombea urais CCM. kuna mtu anajua lolote mtu amelisikia?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana nipata wasaa wa kuongea na marafiki zako walipoko moja ya kambi za jeshi hapa Dar na wakabainisha wazi kuwa mwaka huu wamefurahi sana kwa vituo vya kura kuwa uraiani tofati na chaguzi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jana waziri wa nishati na madini William Ngeleja alikaririwa navyombo vya habari akisema kwamba Tanzania inapata kati ya asilimia 30-40 ya thamani ya mauzo ya dhahabu na siyo asilimia 3 kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Kabadilisha mfumo wa CCM a. Yeye yuko kwenye kundi la CCM JK Family b. Kamati kuu ya CCM kwa sasa ina wajumbe wawili tu (JK na Mama Salma) c. Halmashauri ya kuu ya CCM ina...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa taarifa nilizo pata toka kwa prime minister wa UDSM ni kwamba,ingawa maandamano yame zuiliwa,.. kesi ya kucheleweshwa kufungua chuo na hivyo kunyima wanafunzi kupiga kura ina funguliwa leo!!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna habari kwamba sie watumiaji wasimu hizi za mobile huwa tunachangia CCM kwa kukatwa kiasi fulani cha pesa bila kujua. Kwa mujibu wa vijihabari vilivyopatikana toka kwa watu wa makampuni wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani angalieni msije mkalisha wazi mama yetu kisa kuomba kura chonde chonde
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naye Kikwete, akiwa Simanjiro mkoani Arusha, pamoja na mambo mengine, aliahidi kutafuta Sh30 bilioni kwa ajili ya kumaliza tatizo la maji kwenye jamii ya wafugaji. Akizungumza kwenye viwanja vya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Truth or Lies? People (for purpose of politcs; politicians) make things say or appear to be whatever they want them to say or be. The reality is that we see things not the way they are but the...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Yote yanayotokana na uchaguzi huu - kampeni, accusation za wizi wa wake za watu, accusation ya familia kupiga kampeni, kushikwa kwa lori Tunduma lenye kadi za kupigia kura zenye "ndiyo" kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, Kama tunavyoona, moto waliouwasha Chadema baada ya kumteua Dr Slaa kugombea urais umeanza kuwa mkali kila kukicha. Inaonekana kama vile Watanzania wengi wanataka mabadiliko, lakini hiari...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Jamani wana JF, kuna yoyote mwenye taarifa za Mrs. Mkwere? Naona taarifa zake kwa media zimekuwa adimu kama za Kim Jong Il wa Korea Kaskazini. Au Kampeni za Chini Kwa Chini?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama kuna kosa amabalo imelitenda CCM kwa mwaka huu wa uchaguzi,ni kumchagua JK kugombeea nafasi ya Uraisi kupitia CCM.Inaeleweka hii ni kutokana na mazoea kwamba mtu anaepitishwa na CCM inabidi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom