Hakuna ulazima wowote wa Rais Kikwete kufanya "mdahalo hewa" baada ya kura kupigwa na kujijenga kama bado ni Rais wakati wananchi wanasubiri matokeo ya Uchaguzi. Ninawashauri kina kinana kama...
Maswa hapakaliki, MGOMBEA WA CCM NAYE AMFUATA SHIBUDA LUPANGO Send to a friend Monday, 25 October 2010 07:20 0diggsdigg
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba
Zulfa...
Hivi karibuni kumeibuka shutuma nzito kuhusu udini kwenye kampeni za uchaguzi. Hali iliyopelekea JK kuishutumu moja kwa moja CHADEMA akiwa Lindi kwamba wanaeneza udini na ukabila.
Kwa mashabiki...
Plato, Myunani wa kale, alipendekeza kuwa mafilosofa ndio wanaofaa kuwa watawala wan chi, maana wana sifa mbili muhimu: kwanza, wana uwezo wa kutawala, na pili, hawapendi kutawala. Kwa hiyo...
TUOMBE:
Eee Mwenyezi Mungu Dunia Hii ni mali yako hata watanzania ni mali yako turudishie haki yetu ambayo akina Mkwere wametunyang'anya na kuwakabidhi akina ROST HAM ya MAZIZI huku wengi wetu...
Nina miaka mingi tangu nilipokwenda kanisani kusali tofauti na kusindikiza maharusi. Mimi hupinga ulokole kwa sababu ni brainwashing na haina tofauti na uganga wa kienyeji.
Lakini kuna wakati...
kwanza taarifa waliyotumiwa ikagoma kufunguka,wakajaribu kuisubiria ikakataa kufungua,wakaamua kuiruka hiyo taarifa iliyokuwa inahusu kampeni za jk,hadi kipindi cha habari za michezo kimeisha...
Siku moja nilikuwa na mazungumzo na babu mmoja wa Kiskotish.Kwa vile ilikuwa ni safari ya masaa kadhaa kwenye treni kutoka mji mkuu wa Uingereza,London kuelekea mji wa kaskazini mashariki mwa...
Kikwete urges electorate to shun killers
Source: Daily Newz
From NASONGELYA KILYINGA in Morogoro, 23rd October 2010 @ 12:12
CCM Union presidential candidate Jakaya Kikwete on Saturday...
Sikuwahi kubahatika kuhudhuria mkutano wowote wa mgombe urais kwa chama cha CHADEMA Dr Wilbrod Slaa. Kupitia ITV nimepata fursa nzuri sana kuweza kumsikiliza akinadi sera za CHADEMA na mustakabari...
Kama hauifahamu sera halisi ya CCM ambayo inatekelezwa kwa vitendo ni hii hapa "
... mpaka sasa wanaendelea kudanganya wananchi kwamba sera ya CCM bado ni ya Ujamaa na Kujitegemea (Nyerere, 1993...
Mimi ni mwanachama hai wa CCM na nimpenda maendeleo, sibaki kushabikia chama na kaucha maendeleo ya nchi nyuma. Nimebadirishwa mawazo kwa kiasi kikubwa na Dr. Slaa kwenye mdahalo wa ITV nasema ili...
Jamani hii stori nimeikuta kwenye gazeti la Mwanahalisi. Hii habari ni ya kweli kutokana na interviews za wahusika. Kweli hii ni fedheha, sasa ndo nimeona ni kwa nini CHADEMA hawakutaka muungano...
Chama Chetu kimeshikwa pabaya sana mwaka huu, huwezi amini kama Kikwete na Kamati kuu ya Chama Jana walikaa 2 hours wakimsikiliza Dr. Slaa Live. Rafiki yangu wa ndani sana kwenye system...
Wana CCM wote, wenye uchungu na nchi yetu, wanaotafunwa na Umasikini, nawaomba na tena kuwasihi, kumpigia Kura Dr. Wilbrod Peter Slaa. Mimi ni mwana CCM wa Damu, lakini sidanganyiki kwa kumpigia...
WAZIRI Benard Membe leo alikuwa na wakati mgumu kuwabembeleza viongozi wa madhehebu na Dini za Kikristu pale alipokuwa akifanya nao kikao kuwasii wasimchukue JK na kupuuza uvumi unaoenezwa na...
armed soldiers of the tanzanias people defence forces (tpdf) have been deployed to guard all sensitive areas in the indian ocean archipelago of zanzibar ahead of the october 31 election next...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.