Mtumishi wa mungu leo alikuwa uwanja wa shule ya msingi gangilonga-Iringa na kitu cha kwanza kabala ya kuanza somo lake la Mzaliwa wa kwanza.
Aliwaomba watu kuuombea uchaguzi ujao,na akawaomba...
Katika hali isiyo ya kawaida wazee wa kijiji cha zegero wilayani kisarawe wamemuomba kada mmoja wa chadema amshauri dr slaa amwachie raisi dakta kikwete amalizie kipindi chake cha pili,wazee hao...
Baada ya kumsikiliza kwa makini Dr. Slaa jana na kukumbuka harakati zake za kuwakomboa watanzania kuanzia bungeni, watanzania hatuna mengi ya namna ya kumuelezea Dr. Slaa bali kusema anawapenda...
Nashauri Meneja wa kampeni wa Chadema na timu mzima ya mapambano ya kukomboa Tz, kufanya jitihada kubwa ya kusambaza haraka iwezekanavyo ndani ya hizi siku sita zilizobaki CD/video ya mahojianao...
MY TAKE
These two need to join hands right now kabla ya jpli for our nations sake.Am sure Lipumba will be useful kwenye masuala ya uchumi chini ya serikali ya CHADEMA
Kinyume na makubaliano kati ya vyama vya siasa na NEC katika dakika za lala salama kuelekea uchaguzi NEC wamegoma kuwalipa mawakala na kuwatupia zigo hilo vyama husika.
Leo kiongozi mmoja wa NCCR...
Sababu kubwa inatokana na uaminifu wao, kwa mfano hili sakata la EPA,Wafanya Biashara wenya asili ya kihindi walitumiwa tu na vigogo wakubwa sana wa nchi hii na wahindi wakapewa percent yao tu...
Kinyume na ngebe za CUF na CCM kuwa wao ndiyo watagawana kura za huko taarifa za uhakika nilizozipata kwa wapenda maendeleo wa huko wangependa Dr. Slaa angalau afike makao makuu ya mikoa hiyo...
In trying to escape its political death, CCM is hitting lask kick of a dying horse before Tanzanians officially burry the party on 30th October 2010. CCM is very sure than ever that its heart is...
Zikiwa zimebakia siku sita kabla ya Watanzania kwenda kupiga kura za kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais kwa 2010 -2015. VITUO vya kupigia kura ni 51,800 nchi nzima, hii inamaanisha kila chama...
Katika kuonesha kuwa Makanisa mengi yako kibiashara zaidi, Kanisa la Pentekoste Kunduchi limepokea pesa haramu za kifisadi shilingi milioni ishirini kutoka kwa Mtanzania bandia Rostam Azizi huku...
Wadau nimepita pale ubungo stend ya daladala upande wa pili kuna mkutano wa ccm umejaa watoto wadogo na watu wazima kama nane hivi wote wamevalishwa nguo za chama tawala na kofia.mama hawa ngumbi...
Sijui kwa nini waandishi wanakubali kudanganya wananchi, rais anahutubia mkutano utaona ktk picha watu wamekaa mkutano wa ndani, hii ni nini kama sio kudanganya au siku hizi wanahutubia mikutano...
Hapa ningependa kuzungumzia kutengenezwa kwa Database kwa ajili ya wapiga kura.
Kwa mawazo yangu kwa wale ambao wako nje ya vituo vyao vya kupiga kura ingetengenezwa Database ambayo...
Wale ambao hawakupata kusikiliza jana leo pia inarudiwa hapa
Bongo Radio--Tanzania Best Radio for Bongo Flava, Zilipendwa, Muziki Wa Dansi and African Music
iko hewani muda huu
ningependa kuona ahadi hizi zinasisitizwa kutoka kwa wagombea
1. ku explore new opportunities zaidi.
nchi kama Tanzania ni kubwa sana na ina maliasili nyingi sana. Mf. kuhusu madini huenda...
Baada ya mdahalo wa siku ya ijumaa tarehe 29/11/2010 kati ya wananchi wa Tanzania na mgombea wa CUF kundi fulani ambalo lilikuwa LIMPIGIE kura mgombea wa CCM litazigawa kura hizo na kumpa mgombea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.