Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Dr. Slaa ametuelimisha vya kutosha umuhimu wa kufanya mabadiliko ya uongozi wanchi ili kulikomboa kiuchumi, kijamii na kiuongozi taifa la Tanzania. Mimi binafsi nimemuelewa sana na tayari...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa Mvutano mkubwa uliibuka jana kati ya mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jiang Alipo, 4th October 2010 POLITICS and journalism are two professions that can never be separated. The difficulty of figuring out which of the two can’t live without the other is close to...
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Pamoja na sababu kem kem ambazo ccm wametupa za kukinyima kura .Hii ni nyingine Conservative Party - UK Parliamentary General Election Total Expenditure £17,852,240.75 Number of constituencies...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nilitishwa nakusikia hili Onyo la Mnadhimu mkuu limenitia wasiwasi sana kuona jeshi la wananchi JWTZ linatoa tamko kali kama hili hapa linaacha maswali mengi hasa kwa nchi ya amani naona kama vili...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu nimetumiwa maswali yafuatayo na jamaa yangu mmoja ili nimsaidie lakini binafsi yamenishinda, nadhani atakuwa kapewa asignment katika hii kozi fupi ya maandalizi ya uchaguzi. Plz mchango...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani naitafuta makala hii ya Jenerali Ulimwengu. Ilitoka katika jarida la Rai ikiwa na sehemu kama tatu au nne. Ilikuwa ni barua ndefu fulani ikielezea jinsi Ulimwengu alivyomfahamu Jakaya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
SAKATA la Jossephini na Dk. Slaa, leo jioni limemfanya Makamu Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) Benno Malisa kuzomewa hapa Geita wakati akimnadi ubunge wa CCM jimbo la Geita Donard Max...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Napigisha kura ya maoni kuhusu mwelekeo wa wapiga kura. Naomba wale TU waliojiandikisha kupiga kura na wameshaamua kuwa watapiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, 2010 kujibu. Tafadhali...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Habari zilizoandikwa na Frederick Katulanda wa Gazeti la mwananchi zinasema. ZOMEA zomea kwenye mikutano ya kampeni ya CCM jana ilimgeukia mpigadebe aliyejaribu kuingiza masuala ya maisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WanaJF: Tumeingia ngwe ya pili ya kampeni na sasa tunaona jinsi shujaa wetu, mkombozi wetu, Dr W. Slaa alivyoanza kutumia ile mitutu mingine katika mashambulizi yake kwa kikundi cha kifisadi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Its part of challeng but very interesting....!!! Hii mada ni kwa mawazo yangu ikiwa ni kutoa upupu na matongotongo yaliyokuwepo kwenye mada yenye kichwa kama hiki iliyotolewa na majjid mjengwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani nasikia leo Dr. Slaa alikuwa Kyela, sasa wadau wa Kyela hebu tujulisheni kilichojiri japo kwa ufupi KAMPENI KWA SIMU ZA MIKONONI NI ZAIDI YA KAMPENI ZA SHUKA KWA SHUKA ZA SALMA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema Dr. Willibrod Slaa amesema umasikini wa watanzania hauwezi kuondolewa kwakuwanunulia Bajaji (Pikipiki ya matairi matatu) iliyotolewa naJakaya Kikwete kwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Endapo hakutakuwa na mgombea wa Urais ambaye amepata kura zaidi ya asilimia hamsini basi wagombea wawili waliopata kura nyingi zaidi wataenda kwenye mzunguko wa pili ndani ya siku arobaini baada...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu wanajf Mambo mengine yanayoyasikika na kushuhudiwa kwa macho kuhusu uchaguzi mkuu wa 2010, yanastahili kupewa jina moja tu VITUKO VYA UCHAGUZI kwani naamini kuwa huwa ni nadra sana...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nimehudhuria Kampeni za kikwete leo hapa Dodoma katika uwanja wa jamuhuri. Mkutano ulianza kwa wanamuziki mbali mbali kutumbuiza na wananchi wakawa wanashangilia sana. Baada ya muda kupita Mgombea...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Mimi nikiwa ni mmoja wa watu ninaye penda sana Burdani, nimegundua chama kina uwezo wa kuvunja taratibu za kampeni bila kufokewa na Msajiri wa Vyama vya siaasa wala Tume ya Taifa ya uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Badala ya kuenzi siku hii kwa kusikiliza hotuba zisizo na mashiko toka kwa wasioenzi ya wanayemuenzi nashauri mwaka huu siku hii itumike kuweka mikakati thabiti ya kuhakikisha mabadiliko ambayo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom