gharama ya kuikomboa nchi ni kubwa na inahitaji watu wenye mioyo migumu watakaojitoa kwa hali na mali
tumekuwa tukilalamika kuwa kwenye baadhi ya majimbo kuna wagombea ni mafisadi PAPA na...
FACTBOX-Key political risks to watch in Tanzania
Thu Sep 30, 2010 3:24pm GMT
By Fumbuka Ng'wanakilala
DAR ES SALAAM, Sept 30 (Reuters) - Tanzania, east Africa's second largest economy...
Kuna mchangiaji katoa haya maoni kwa kweli nimeyapenda
anasema:-Kwa kweli nimeyakubali yale maandiko yanayosema YAACHENI MAGUGU NA NGANO VIOTE PAMAJA . Na itakapo fika wakati wa kuvuna sisi...
Wana jukwaa kuna kura ya maoni kwenye tovuti ya Radio Free Africa (Radio Free Africa | The Sound Of Africa) inayohusu nani wadau watamchagua kuwa rais. Matokeo mpaka sasa ni Dr. Slaa (80%), JK...
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu amesema kuwa endapo atachaguliwa tena ataanzisha mpango maalum wa kuwakopesha zana wavuvi katika...
Jumapili, Septemba 12, 2010.
Na Maggid Mjengwa,
HUU ni mjadala niliouanzisha kule kwenye jukwaa la Jamii (www.jamiiforums.com). Nauendeleza hapa ili uwafikie wengi zaidi.
Ni tathimini...
Kuna habari Zimenifikia hivi punde kutoka urambo tabora kuwa jeshi la wanyama pori
Urambo, Tabora limechoma nyumba za kijiji kimoja na kuua watu 25 kwa kuwasingizia
kua ni Majambazi.
Watu hao...
By Patrick Kisembo
1st October 2010
Germany`s Ambassador to Tanzania, Guido Hertz, gestures as he stresses a point during yesterday`s exclusive interview with The Guardian...
Lazima kitumike kidogo kupata kikubwa si kikubwa kupata kidogo. Maana hata kazi mbaya(ndogo) huzaa kazi nzuri (kubwa). Hatuwezi kuanza juu kushuka bali chini kukwea huku tukitumia kanuni ya hapo...
Ndg wan JF,
Kulingana na tathimini ya mwenendo mzima wa kampeni za uchaguzi kwa takribani siku 40, wapiga kura wameonyesha dhahiri kuwa CHADEMA itashinda katika majimbo yafuatayo; Hizi sio hisia...
Baada ya watu kuongelea saana kuhusu Kihehere1, 2 and 3 naona kampeni zao zime poa? kulikoni? wamekataa tamaa au nimi mimi kukosa mawasiliano nao/magazeti/redio au wanajadiliana kwanza. hatua za...
Bnafsi nilikua najua Dr. Slaa Atatembelea Iringa Tar 3 mwezi wa Kumi.
Nashangazwa katika mitandao fulani kuwa Dr. atakua Iringa leo. yaani tar 2 October.
Pita pita zangu mitaani wengi wanajua Dr...
Ujerumani yashangazwa kutoendelezwa Reli ya Kati
Na Mashaka Mgeta
Serikali ya ujerumani imesema ni aibu kwa Tanzania kuiacha reli ya kati inayoendeshwa na Shirika la Reli nchini (TRL)...
Ndugu wanajamii,nilikua natafakari sana urais kwa ndugu zetu wa Zanzibar,nimeona kua ni Vizuri wakampa Kura Maalim Seif wa CUF.Ukiangalia Dr Shain alipokua makamu wa Rais,amefanya kitu gani cha...
Daniel Mjema,Moshi
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro,Christopher Ole Sendeka (CCM) amemtetea mgombea Urais wa CCM, Jakaya Kikwete kuwa ni kinara wa vita ya ufisadi.
Alisema rais Kikwete ni kinara wa...
Jamani si kwamba nimehisi tishio lolote la hatari la kiusalama nchini kwetu.
Leo nimeona na kusikiliza katika CNN wenzetu (USA) wakidadavua mjadala kama mfumo wao wa rangi wa kushauri hali...
Wadau, nimeipata stori hii katika Tanzania Daima ya leo uk. wa 3:
Ujanja wa CCM wagundulika
N Mwandishi wetu, Dodoma
MBINU chafu za Chama cha Mapinduzi (CCM)...
JK: Bila safari za nje tungekufa njaa
Na Joseph Mwendapole
* Asema hawezi kubakia Ikulu akimtazama Salma
* Anataka akumbukwe kwa kujenga barabara, maji
Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi...
1. CCM hadi hivi sasa imefanya juhudi kubwa za kuifanya CHADEMA ionekane kama chama chenye fujo na kinaharibu "utulivu na amani" wa Watanzania!
CHADEMA bila kujua hila za CCM kimeingia mkenge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.