Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Najua kua humu ndani kuna wanasheria waliobobea.Hivi CCM inapoamua kumpiga mtu au kundi la watu picha na kuamua kuweka publically kwenye mabango yao na bila ridhaa ya watu husika kwa manufaa ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna Askofu mmoja huko Moshi alisema kuwa uchaguzi mkuu mwaka huu utashangaza na kama haitakuwa hivyo basi yuko tayari kupigwa mawe. Nakubaliana naye na hapa kuna mengi ya kuangalia. Ndio mwaka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dr. Slaa leo ameanza kuwakawaka channel ten Katika taarifa ya habari ya channel ten ya jioni ya leo, Dr. Slaa ameonyeshwa akiwa anahutubia mkutano wake wa kampeni huko Ifakara...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
...Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la D'Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amesema kwamba madai kwamba mgombea fulani ni chaguo la Mungu huo si usemi wa Kanisa Katoliki wala si msimamo wa Kanisa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kuelekea uchaguzi mkuu,ubaguzi wa rangi,udini na ukabila vipigwe vita Na JUMA KIDOGO Kwanza kabla ya yote nitakuwa mchache wa fadhila kama sinta mshukuru Mungu ambaye ameniwezesha leo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
brahim Bakari, Kaliua MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete amesema anataka Watanzania wamkumbuke kwa mambo nane wakati atakapoondoka Ikulu 2015. Kikwete alisema hayo alipokuwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimejaribu ku-attach makala kuhusu maelezo ya Jenerali Ulimwengu jana Chuo Kikuu Dar.
0 Reactions
111 Replies
16K Views
Ndugu wanajamii,hebu tukumbushane,hivi Mgaya alisema wafanya kazi kura wampe Dr Slaa au nani? Wafanyakazi wa serikali,kampuni binafsi,wa majumbani,wa mashambani,waliojiajiri wenyewe n.k.Alisema...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
1. RAISI Kikwete HAWEZI KUONGEA ZAIDI YA DAKIKA. 10 kwa kipindi hiki. Akichaguliwa ni nani ajuaye kuwa itafikia mahali ziwe dk. 5 tu. 2. Hii inaweza kutafsiriwa kuwa ni kupuuza watanzania kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hakika katika hali ya kawaida, hakuna nchi iliyojitosheleza kwa kila kitu katika ulimwengu huu. Kila nchi ina mapumbufu au mambo ambayo hayajakaa sawa katika kuishibisha ile mihimili ya kimtazamo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kadri siku zinavyoisha kuelekea uchaguzi CCM imeishiwa hoja inaona Dr Slaa anapaa Mkakati ifuatayo inatumika 1. KUTUMIA JWTZ KUTISHA WATU hapa wakubwa wanalindana mwenzao wanaona anakaribia kufa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nakumbuka wiki 3 zilizopita nilianika hapa jamvini jinsi nilivyopata taarifa kutoka kwa kigogo mmoja wa CCM kuwa CCM itatumia mbinu za mugabe kutafuta ushindi wa nguvu. Mbinu hizo ni Kutumia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo wagombea ubunge Arusha mjini walishiriki kuadhimisha siku ya wazee duniani kwa kushiriki maandamo yaliyoanzia ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha.Wagombea ubunge wa vyama vya Demokrasia makini,CUF...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shosti kaja na mapya,hebu msikie:
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sasa hivi mdahalo wa wagombea ubunge vijana unaendela "live" hapo EATV na Januari Makamba yumo kinyume cha maagizo ya baba yake Bosi wa CCM kuwa CCM haitahudhuria midahalo hiyo! Hili sakata...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Naomba niwajuze yale yanayoendelea na kuwasibu wenzetu wanaoitakia mema nchi yetu. Habari hii nimeisoma kwenye mtungo wa Francis Godwin September 30, 2010 SITAZIBWA MDOMO...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na FRANCIS GODWIN (MZEE WA MATUKIO) Msafara wa mtoto wa Rais Jakaya Kikwete Bw Ridhiwan Kikwete ukiondoka katika shule ya msingi Ipogolo baada ya kikao chao cha...
0 Reactions
76 Replies
14K Views
watu wamepatwa na mshituko kuona mnadhimu mkuu wa jeshi akitoa kauli za utata,hakuna jipya ni mwendelezo wa kutoa vitisho kwa wananchi ili kuhalalisha ushindi kwa ccm,upinzani kuweni macho na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom