Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Juzi baada ya ule mdahalo wa ubunge vijana pale movenpic kulikuwa na taarifa ya habari ambapo rais anayemaliza muda wake abeid karume alitangaza na kufanya sherehe huko zenj ya kufuta kwa ada...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
BAADA YA CCM KUTUMIA FEDHA, MAGARI, NA RASLIMALI KIBAO ZA SERIKALI KATIKA KAMPENI ZAKE, SASA IMEANZA KUTUMIA WAFUNGWA NA KUPIGA WANYAMA PORINI KWA AJILI YA KULISHA MISAFARA YAKE YA KAMPENI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CUF wakikata mbuga. Shiriki katika kuing'oa CCM na uwemo katika historia.Linda kura yako kwa hali yeyote ile.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kuna watu wanaosoma nyakati basi huyu babu alikuwa amejaliwa kimaanayake... wakati wa kuchagua rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania alipopambanishwa kikwete,mkapa huyu babu alioengea mengi...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Wadau jamvini,ni mara ya pili sasa namuona mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete (akilindwa?) na askari kadhaa toka Jeshi la Wananchi...sijaelewa kwamba ni sababu au mahitaji yapi yanafanya hali...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Na Peter Mwenda ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amewataka wakristo kufuata dhamira ya Mungu ya kuchagua viongozi ambao hawawarubuni kwa...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Nimeamua kusema haya ili kuwatanabaisha wale wanaodai kwamba sisi tutachagua sisiem kwa sababu tumezaliwa katk sisiem. Hii ni kushindwa kutafakari na wakati mwingine ni mwendelezo wa propaganda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dereva wa msafara wa JK anayeendesha gari aina ya Freelander amefariki dunia juzi baada ya kile kinachodaiwa ni "laana" za mpemba mmoja. Dereva huyo (kwa sasa ni marehemu) hivi karibuni aligonga...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Inatia moyo kuona uchambuzi wa aina hii from our feloow country man, lakini inasikitisha sana kwamba walengwa ambao ni wale wa hali ya chini na wenye elimu duni wengi wao hawatapata nafasi ya...
0 Reactions
0 Replies
751 Views
Ze original Comedy wakiburudisha uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga leo. Du watanzania jamani hivyo wanawezaje kucheka na kutabasamu wakati wana njaa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika tukio jingine, jana magari ya msafara wa Rais Kikwete yalizuiwa kupita katika hifadhi ya Serengeti kwa madai kuwa hayana kibali kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii. Magari manane...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tulinyanyaswa kiasi cha kutosha,tulitawaliwa kiasi cha kutosha,tulionewa kiasi cha kutosha,tulinyonywa kiasi cha kutosha na tulidhalilishwa kiasi cha kutosha na wakoloni.Tumenyonywa kiasi cha...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Saturday, 25 September 2010 MWANDISHI mwingine wa magazeti yanayochapishwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), amepata misukosuko kwenye kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KIONGOZI BWM Vs JK MWAKA 2000 -2004 Vs 2005-2009 ]Unga 460 Vs 1000 = 217% Mchele 600 Vs 1200 = 200% Sukari 760/kg Vs 1600/kg = 210% Mkate 250 Vs 700 = 280% Maharagwe 360/kg Vs 1000/kg =...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
(By Rutashubanyuma Nestory – A public policy analyst based in Arusha.) No politician todate places the opposition closer to the ultimate prize of winning the presidency than Dr. Wilbard...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
CCM, CHADEMA wakatana mapanga • Mmoja anyofolewa sikio, ashonwa nyuzi nane na Mwandishi wetu KAMPENI za uchaguzi mkuu wa urais, ubunge na udiwani, zimeanza kuingia dosari baada ya vijana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wafungwa Waandaa Mkutano wa CCM HALMASHAURI ya wilaya ya Serengeti mkoani Mara imeingia katika kashfa nzito baada ya kujihusisha na maandalizi ya mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau..taarifa zisizo rasmi toka kwa wanafunzi wanaoendelea na cohort ya 7 ya Law School of Tanzania zinasema kwamba wanafunzi wenzao karibu 30 wameacha kuendelea na masomo kutokana na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamaa zangu wa CCM hapa Arusha wamesema watendaji serikalini haswa serikali za mitaa ndiyo tegemeo lao la kuokoa JK kupoteza pango hapo Ikulu. Tetesi hizi zinazidi kubainisha ya kuwa watendaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom