Wanajf kipindi cha utawala wa mzee LUKSA baba alikata ukimya na kusema WATANZANIA hatuwezi ongozwa toka kitandani, Je,haya ya mzee MWANGUKAJI angekuwepo mzee,baba wa hili taifa sijui angesema nn...
Millennium Development Goals (MDGs)/ Malengo ya Millenia yaliwekwa mwaka 2000 kwamba kufikia 2015 matatizo kama umaskini yawe nusu yake. Lakini kufikia 2010 hata nusu ya lengo halijafikiwa, je...
KATIKA HALI INAYOONYESHA WAGOMBEA WAKUU CCM KUCHANGANYIKIWA, SASA SIJUI HATA KAMA WANAFUATA RATIBA. DR BILAL AMERUDI TENA IRINGA, ALIKUWA HUKO HATA MWEZI HAUJAISHA, JK ALIKUWA HUKO KAMA SIKU KUMI...
ELIMU, AFYA, MAJI, UMEME (BURE AMA KWA GHARAMA NAFUU VIPO NDANI YA UWEZO WETU)
Wana JF na watz kwa ujumla, napenda kuchukua fursa hii kuwaletea mada hii tuijadili. Kwa mtazamo wangu upatikanaji...
Na Fredy Azzah
WIKI iliyopita,Tanzania ilipewa tuzo ya kimataifa, kwa kutekeleza vizuri malengo ya elimu ambayo ni sehemu ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia ya (MDGs), yanayotakiwa kukamilika...
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete akiwapungia mkono wananchi wa shinyanga waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Kambarage mkoani humo...
Lack of House vetting process to determine mobility of members of the Bench has provided the executive with a blank cheque to stoke judicial cronyism and mediocrity. The rules and regulations of...
Ndugu zangu, Great thinkers,
Juma lililopita nimekuwa nafuatilia kwa karibu taarifa za habari. Kwa miaka sasa huwa naangalia ITV kwa sababu wamekuwa wanabalance habari zao bila kupendelea chama...
By Ani Jozen
25th September 2010
Hearing leading opposition candidate for the presidency, Dr Wilibrod Slaa outline his programme of government, one would be forgiven to imagine that cost cutting...
:A S-danger:BAADHI YA NJIA ZITAKAZO TUMIKA KUVURUGA UCHAGUZI NA CCM.
1.KUWAKAMATA VIJANA KWA KOSA LA UZULULAJI(HASA KTK MAENEO AMBAYO WAPINZANI WAPO) ILI KUPUNGUZA IDADI YA KURA ZA WAPINZANI...
Since the whistle for starting the campaigns was blown by the National Electoral Commission on 20th August 2010 for the coming General Elections slated for 31st October 2010 the exercise has been...
guys can someone help me out as to WHY in our elections we dont give results right at the polling station???????? if at all MAWAKALA na wasimamizi wapo why not after voting they dont count right...
Where do we position our contestant among these group;
1. Few who make things happen
2. Many who watch them happen
3.millions who have no idea of what is happening
MKAKATI WA KUILINDA KURA YAKO ISICHAKACHULIWE HUU HAPA
Hivi kuna faida gani kuacha shughuli zako na kwenda kupiga kura na siku inayofuata unasimuliwa ya kuwa mambo yamekwenda...
Dk Slaa: Nimeisikia sauti ya Mungu ndiyo maana ninagombea urais- SOURCE MWANANCHI Send to a friend Tuesday, 07 September 2010 17:56 0diggsdigg0diggsdigg...
Kaulimbiu ya Lowassa ambaye anawania tena nafasi hiyo, ni 'tulifurahi pamoja, tukahuzunika pamoja, tutasonga mbele pamoja na tutashinda.''
Source Gazeti la Mwnanchi
My Take
Mheshimiwa Lowassa...
You're on the front line
Everyone's watching
You know it's serious
We're getting closer to 31-October
This isn't over vote for change
The pressure's on; you feel it
But you got it all; come...
Mwana CCM Mwenzangu usikipigie kura chama Chetu na JK kwa ujumla kama hutapata Majibu ya maswali yafuatayo kabla ya tarehe 30 October 2010.
a) Kagoda ni nani na nani aliasisi wizi wa pesa pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.