Inaelekea kuwa ccm inafanya juu chini kukwamisha ujumbe wa kumkomboa Mtanzania kufika vijijini. Natumaini kuwa sote ambao tu wazalendo na tunaelewa ni kitu gani kinachoondelea, tuna ndugu...
DAWATI LA HATUDANGANYIKI limepokea taarifa za kuaminika kutoka vyanzo vyake kuwa kuwa mara tu baada ya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CHADEMA, siku ya Jumamosi tarehe 28 Agosti 2010 wakuu wa...
Nimegundua kuwa humu kuna washabiki wengi sana wa siasa, wakereketwa nk.
Je wewe ni kati ya wapi hao? unaweza kujibu uongo au ukweli, japo ukeli hupendeza zaidi, au ukajipa jibu mwenyewe halafu...
Wakuu,
Jana tulikuwa na mchakato wa kura za maoni jimboni kwetu. Tulikuwa wagombea wawili katika chama chetu. Nimefanikiwa kushinda kura za maoni kwa kishindo na kumuangausha mpinzani wangu...
Hali imekuwa ngumu upande wa Mzee Makamba baada ya wananchi wa Bumbuli kumkataa mwanae Januari Makamba na kumuunga mkono mtu mwingine katika nafasi ya ubunge.
Mzee Makamba amepagawishwa na taarifa...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekwepa kumwekea pingamizi mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete, kama kilivyoahidi na badala yake kimepeleka malalamiko kwa Msajili wa Vyama vya...
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Jakaya Kikwete ametoa mpya na kali ya mwaka baada ya kuahidi kutoa babaj 400 nchi nzima kusaidia akina mama wajawazito mara wanapapatwa na uchungu na kuhitaji...
Katika pitia pitia zangu katika blogu ya Issa Michuzi (MICHUZI) nimekutana na hii habari;
"HOJA BINAFSI KUHUSU MALALAMIKO YA KAMPENI ZA UCHAGUZI KWA GLOBU YA JAMII KUA GLOBU YA JAMII...
Naomba ndugu zangu mlio CCM mnipe good convincing arguments za kukipa Chama chenu kura yangu kwa miaka 5 ijayo....
Sitaki paragraph nyingi. Ningependa unandike kwa point. mfano:
1. Tumekamata...
Hivi aliyetunga hivi vitu yupo hai?.
* Binadamu wote ni Sawa
* Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
* Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga...
Habarini bandugu, nilipenda kujua kitu kimoja, juzi siku ya jumapili nilikuwa maeneo ya mwananyamala kituoni nasubiri daladala kuelekea stesheni nikaona vijana wadogo wako kikundi kama 30 hivi...
Wilbrod Slaa ni mkali wa kufichua udhalimu na uchafu wa viongozi na wafanyabiashara mbalimbali. Je ni nani anayempa mabomu na vithibitisho hivyo, hadi wanaolipuliwa wanaogopa kumpeleka mahakamani?
Kama kweli Rais Kikwete amefanya mengi mazuri , hadi kupigiwa chapuo la kupewa tena uongozi wa juu wa Taifa hili, mi najiuliza gharama zote hizi wanazotumia za nini ?nayatizama mabango njiani hapa...
Safu ya uongozi wa chadema imabase upande mmoja,si sura ya Muungano kabisa,ni ya upande wa Tanganyika tu, Mwenyekiti ( Mbowe )-Tanganyika, M/Mwenyekiti ( Arif )-Tanganyika, Katibu mkuu ( Slaa...
Tulipeana onyo kuhusu kutoingiza maisha binafsi ya mtu na kampeni za uchaguzi wa mwaka huu ktk ngazi yoyote ile,tulitoa rai pia hata kwa vyombo vya habari vyenye mtazamo wa kuandika maisha binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.