Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Jamani Waungwana wezangu mimi nashindwa kuelewa matamshi ya viongozi wakuu wa CCM kuelekea uchaguzi mbona hayaendani na chama kinachotegemea sanduku la kura kupata ushindi. Mwenyekiti wao alisema...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Na Mwandishi wetu. Elias Kundecha. 10.08.2010 Habari za kurudi kwa Zanzibar kama nchi nje ya mipaka yake na ndani ya Jamhuri ya Muungano kumeibua hisia mpya za viongozi waandamizi ndani ya Chama...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa kipindi cha bunge 2005-2010, Mhe. Jenista Mhagama (CCM, Peramiho) amekuwa mbunge hai (active) kati ya wabunge wote (zaidi ya 270). Katika bunge hilo (2005-2010) Mhe. Mhagama aliuliza maswali...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tanganyika, Z`bar na gundi ya miaka 45 Na Conges Mramba AGOSTI mwaka jana, waliojitambulisha kuwa ni Wazanzibari waishio Uingereza, walinishambulia kwa maneno makali, kuandika gazetini kwamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa nchi kama Marekani, wagombea uraisi wote wa vyama vikubwa (Republicans na Democrats) hupewa ulinzi Secret Service wakati wa kampeni hadi uchaguzi unapoisha. Je kwa Tanzania, wagombea kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
JK ALITOA TAMKO KWAMBA HATA KAMA WAKIGOMA KWA MIAKA 8 HAKUNA BADILIKO KWENYE MISHAHARA NA KIKUBWA WATAAMBULIA KUPEWA NGEU,TUCTA NA WANASIASA WALIPOTIA HAMASA WAFANYAKAZI KUTOMPA KURA JK NA CHAMA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kuenguliwa kwa Bwana Mwakalebela, wana CCM wengi wameonesha kukerwa na kitendo hicho. Kumekua na matukio Mengi yakiwemo na kuchana kadi za uanachama Mbele ya ofisi zao(CCM) hapa iringa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau wa JF ningeomba kujua matokeo ya kura za maoni katika jimbo la bariadi mashariki kwa tiketi ya CCM kuanzia nafasi ya kwanza hadi ya tano. Nina interest ya kisiasa na hili jimbo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF naomba kuuliza hii weekend katika pita pita yangu nilisikia wasanii walikuwa wanagawiwa viwanja mkuranga chini ya shirikisho la wasanii lililounda wiki moja iliyopita, redio za mbao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimetoka kwa wapiganaji nimekwenda kwa wapambanaji.kwa kuwa tutakuwa upande wa oposition bungeni bado tutaendelea kupambana na mafisadi (CHARLES MWERA)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wiki kadhaa zilizopita tuliambiwa na TAKUKURU kuwa wamemdaka mama sita katika mazingira ya kutaka kutoa rushwa, hata vivyo mama sita pamoja na mzee sita walipinga vikali na kuielezea jamii kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Baaada ya marekebisho ya katiba ya Zanzibar watu wengi wa upande wa Zanzibar na Tanzania bara wamekuwa na hoja ya kutaka kuwepo serikali tatu ili kuweza kuweka usawa kati ya Tanzania Bara na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na fashion iliyozuka hivi karibuni, nami nawasiliana na wapambe wangu ili angalau na mimi nichukue form ya kugombea uraisi wa nchi hii, kwa nia ya kuweka historia na kupata form hiyo, ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, Baada ya maongezi magumu ya kumuomba Mh. Dr.Slaa kukaa hapa na kujibu maswali ya aina yeyote ile yanayohusu Chadema na Upinzani, hatimaye amekubali rasmi kwamba atajibu kila swali...
0 Reactions
206 Replies
28K Views
Mwenyekiti wa CUF wilaya ya Mbeya Mjini, Yasin Mrotwa amesema hivi sasa wanaendelea na mazungumzo na mmoja wa wanachama wa CCM, Prince Mwaihojo kumuomba ili asimame kugombea ubunge wa Mbeya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nini tofauti ya hawa watu wawili katika medani sa siasa za CCM? Kwanini jina la Pesambili lirudi ili hali yuko mahakami tayari kwa tuhuma vile vile? Hivi tunaongozwa na CCM ya Vichaaaaa...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Jimbo la Karagwe mkoani Kagera linaenda kiulaini mikononi mwa CHADEMA kutokana na NEC ya CCM kurudisha jina la BLANDES GOZIBERT. Viongozi wa CCM hapa Karagwe wanasema BLANDES hawezi kushinda na...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
MKOA WA MJINI MAGHARIBI i.Jimbo la Mtoni: Ussi Ame PANDU ii.Jimbo la Mfenesini: Nasib Suleiman OMAR iii.Kiembesamaki: Waride Bakari JABU iv.Jimbo la Dole:Sylvester Massele MABUMBA v.Jimbo la...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Huu ni uchunguzi wa muda mrefu ambao hata wewe ndugu msomaji hapa kama utajichungua basi mwisho wake utagundua kuwa wewe ni CUF damdam ,yaani hakuna ubishi juu ya jambo hili kamfano kadogo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WANASEMA MSOMALIA Wanasema MMaLAWI>>>>>> Sijui wapi wna JF mtanisadia Sijui Wapi? Iringa? Pakistani? Sijui wapi hii mtu?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom