Ukiwasikiliza wengi wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali za Ubunge wanatoa sababu za mambo gani wanataka kuyafanya kwenye majimbo yao (nimeandika kwa kirefu kwenye Mwanahalisi kesho)...
Kuna kamtindo kwamba ukitaka Ubunge kwa haraka (chap chap) ni rahisi ukiwa mgombea wa CCM. Hii inaletea hata wale wenye mtizamo tofauti na CCM, huwa wananunua kadi na kutafuta ugombea Ubunge...
Ni week iliyopita ambapo Bunge la Kenya lilipitisha ongezeko la posho za wabunge wao. Watapata mshahara wa Ksh. 1.2 milioni (karibu Tsh 120 milioni) na allowance ya Ksh. 851,000 (karibu Tsh 8...
wakati Rais Kikwete anaingia madarakani alijibebesha mizigo tisa,Je ni ipi kati ya aliyojibebesha wakati anazindua bunge la Jamhuri ya muungano pale Dodoma ambao ameweza kuufikisha panapotakiwa...
WAKATI kinyanganyiro cha urais wa Zanzibar kikizidi kushika kasi, mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mohamed Aboud Mohamed, amepigwa...
Vyombo mbalimbali vya habari vimekuwa vikiripoti habari ya kuwepo kwa kadi feki ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM. Nimekuwa nikizitafakari habari hizi bila kuelewa ni wapi hasa tunakoelekea na...
Wadau mimi nashindwa kupambanua baadhi yavitu kwamaana nakuwa sioni logical!Kwa mfano mbunge anapokuwa amechaguliwa na chama chake inabidi akawatumikie wananchi wake jimboni na baadhi yamambo...
VIDEO YA KUAGWA MASHUJAA
Na. M. M. Mwanakijiji
Sikutaka kutoa maoni yoyote kwa siku kadhaa nione kama watawala wetu wanatambua kuwa vifo vya wanajeshi wetu wakiwa kazini ni kitendo cha kishujaa...
Kizitto Noya, Dodoma
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu imeitaka serikali kutoa tamko kuhusu tuhuma zinazomkabili mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara (Tanroads), Ephraem Mrema kwamba mkataba wake...
Piga Kura
Ingia
Nani atakuwa Rais wa awamu ya sita Zanzibar?
Dk Ali Mohamed Shein
Mohamed Gharib Bilal
Ali Juma Shamhuna
Shamsi Vuai Nahodha
Ali Abeid Amani Karume
Mohamed...
Na Asha Bani - Tanzania Daima
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kutumia vikundi mbalimbali vya sanaa na bendi 30 ambavyo vimetunga nyimbo za kuhamasisha wananchi kumpigia kura Rais Jakaya...
RAIS Jakaya Kikwete amezindua mradi wa Bwawa la Manchira lililoko wilayani Serengeti wakati tayari wananchi wamekwishafungua kesi Mahakama Kuu ya Mwanza wakidai fidia. Kesi hiyo iliyofunguliwa ni...
DK. ALI MOHAMED SHEIN
KUZALIWA
Dk Ali Mohamed Shein alizaliwa tarehe 13 Machi 1948 katika kijiji cha Chokocho kilichoko Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba. Dk Shein ameoa, ana...
Printer-friendly versionSend to friend
Ni ikiwa hatamteua kugombea urais Zanzibar
Mabilioni yamwagwa kutoka Uarabuni
Mbunge Rostam Aziz ahusishwa
Dk. Mohammed Gharib Billal
RAIS Jakaya...
B.W.Mkapa, kachaguliwa kuwa mjumbe wa katika hiyo taaisisi ya kimataifa ya kukabiliana na migogoro akiungana na wajumbe wengine 14, venye rekodi imara kitaaluma na utendaji.
mnyonge mnyongeni...
Kamati Maalumu ya NEC ya CCM imeanza kikao chake muda mchache uliopita hapa Zanzibar, Kisiwandui. Kikao hicho kitachagua wana CCM watano kwenda Kamati Kuu na baadaye NEC.
Majina yanayotajwa...
4th July 10
JK asisitiza barabara na uwanja wa ndege kujengwa
George Marato
Rais Jakaya Kikwete, amesisitiza kuwa miradi ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Mugumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.