Ameanza Spika na sasa kaja Mwanasheria Mkuu; na sitoshangaa baadaye atakuja waziri Mkuu na Rais au squadi zima la viongozi walioshindwa. Ati wanataka Zitto agombee wanakotaka wao! Kwa ubavu gani...
HOTUBA YA MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI AKIZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA DAR ES SALAAM,
TAREHE 3 MEI 2010
Mhe. Makamu wa Rais,
Mhe. Waziri Mkuu...
Hallow Wandugu,
Habari za LEO?
Naomba niwashirikishe jambo moja ambalo kwa kweli ni kitu cha ubunifu tu.
Swala la foleni za magari barabarani katika jiji letu la DSM limekuwa sasa ni KERO kubwa...
Moody's credit ratings agency warns Greek debt crisis could spread to UK after three die in battle of Athens
Last updated at 10:57 AM on 6th May 2010
Greek parliament set to pass...
Dk Rashid awekasharti la kurudi Tanesco !
Na Sadick Mtulya - Mwananchi.
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme (Tanesco), Dk Idris Rashid ametoa sharti la kurudi kwenye nafasi hiyo...
Ukweli ni kwamba solution ya matatizo yetu ya kijamii kama taifa,
YAPO BEYOND THE PRESENT STATUS QUO.
Nimeona majuzikati hapa kuna forum imeanzishwa kuhusu uchaguzi wa mwaka huu Oktoba, na...
Rais kadanganywa
* Watoa barua kuonyesha hawakuchelewa kikao
MIEZI michache kabla ya Uchaguzi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete ameingia katika mgogoro mkubwa na wafanyakazi wanaodai amedanganywa...
Na. M. M. Mwanakijiji
Nilisimuliwa kisa cha mbayuwayu ambaye alikuwa anaishi katika shamba la Mkulima mmoja huko Ukwereni. Mbayuwayu huyo aliishi na wenzake katika maisha ya kutegemea nafaka na...
Kwame Nkrumah, The Other Side.
From The Editors Desk: Following in the footsteps of Nkrumah?
The Standard (Zimbabwe)
Saturday, 17 April 2010
http://www.thestandard.co.zw/
After re-reading...
Bwana Prince M. Bagenda aliandika kitabu chenye kichwa cha habari "Jakaya Mrisho Kikwete: Tumaini Lililorejea" na kuchapishwa Machi 2006. Nafikiri mwaka 2011 inabidi tena aandike kingine sasa...
Tuna Tatizo la Mawasiliano-kiuchumi, kijamii na kisiasa
YAPO madai kwamba Tanzania hivi leo ina tatizo kubwa la mawasiliano ya umma yanayowajulisha watu kwa wakati wategemee kitu gani kutokea...
Usaliti wa Wafanyakazi wa Mabenki na Taasisi za fedha.KAMA ulikuwa hujui basi kuna udugu mkubwa kati ya wenye mabenki/taasisi za fedha,mangimeza wetu, wafanyakazi wao, wanasiasa na...
Kuna wakati nawaza nini hatma ya Tanzania hii lakini baada ya muda namshukuru mungu kwa yote aliyotupatia. Inawezekana vipi kwa nchi nzuri kama hii mungu aliyoijalia kila aina ya vitu vya kipekee...
Wadau leo nimekuja kwenu mnijuze kuhusu hii kitu.
Ni safari ipi ama ngapi,kwasafari zote alofanya muungwana tunaweza pata matokeo positive kutokana na safari hizo.Kama taifa limefaidika nini hasa...
Ni ukweli usiyopingika kwamba raisi wetu, analiongoza taifa kimajungu,
Unafki, na uzandiki, tangu nimeanza kumfuatilia na staili ya utendaji,
Na utatuzi wa majukumu yanayolikabili taifa letu, siyo...
Mzee huyo amedokeza mengi, tuchambue na kujadili. (taarifa kwa hisani ya Wavuti)
"...tuliokuwa nao huu, ni utulivu wa ujinga tuliokuwa nao"
Bovya buluu utapata Video.
naomba tujaribu kutabiri nani anaweza kuwa waziri mkuu mwakani katika serikali ijayo ya JMT.
inasemekana Mh.Pinda hakuwa chaguo la mzee la kwanza, Je kuna wengine???
wapo pia waliotangaza nia ya...
Alifafanua kuwa nchini Tanzania walarushwa ni watu wakubwa na wenye fedha nyingi hivyo hata ikitungwa sheria kama inayotumika nchini China ya kuwanyonga mafisadi hawa, haitofanikiwa kwani...
Kesho waingereza wanapiga kura kuchagua chama na Waziri wao Mkuu atakayewaongoza kwa miaka mitano ijayo, inavyoonekana chama cha Conservative kiko mbele ya chama tawala cha Labour kinachoongozwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.