Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hii inaonyesha jinsi wabunge wanavyolipwa pesa nyingi zaidi ya mahitaji yao. Serikali inatakiwa iwape waalimu mishahara inayotosha kukidhi huduma zao muhimu, na sio kupewa misaada na watu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
The JK popularity Paradox digg President Jakaya Kikwete By Lucas Liganga and Bernard James President Jakaya Kikwete’s consistent high ratings in opinion polls in which his Cabinet ministers...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mtu usiye hata na chembe ya uzalendo katika kope za macho yako. Mwenye kuthubutu hata kuidanganya hadhira na jamii tena kwa HONGO ili apate kibali na haki ya kuwaibia wanyonge. Mpumbavu usiyejali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani hii sio story ni kitu ambacho kimeniuma sana. Kwanza nianze na ya Dodoma. Nilienda dodoma kikazi nikakuta mmbunge mmoja amemtafuta fundi Carpenter anatengeneza mabango kama yale ya project...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CHANZO: NIPASHE JUMAPILI Na Waandishi wetu 2nd May 2010 Yataka wafanyakazi kutochagua wasiowatetea Yawahimiza kujitokeza kwa wingi uchaguzi mkuu Rais wa Tucta, Ayub Omar Pamoja...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Uhusiano wa Karume, Seif Sharif wahojiwa WAKATI Jumuiya ya Kimataifa ikisifu uhusiano mpya kati ya Rais Amani Abeid Karume na Katibu Mkuu wa CUF, Seif Shariff Hamad, wazee waliokuwapo wakati...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais ni JK Makamu wake ni Dkt Shain Namalizia na Mtoto wa Mkulima kama Waziri Mkuu. Naomba uiendeleze safu yetu hiyo hadi kufikia Mwenyekiti...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Fresh twist in mining sector By Guardian on sunday team 2nd May 2010 Just days after Parliament passed the 2010 Mining Act, the Tanzania Chamber of Minerals and Energy is pushing to amend...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya umma nchini wametangaza kuanza mgomo kuanzia Aprili 27, mwaka huu. Hatua ya wahadhiri hao imefikiwa jana kwenye ukumbi wa Cafteria One sehemu ya Mlimani Chuo Kikuu cha...
0 Reactions
66 Replies
8K Views
Driving to nowhere: The value of a diversified urban transportation system in Dar es Salaam By RYAN WHITNEY 27th April 2010 Entrance to Umma Wa Wapanda Baisikeli (UWABA) Traffic in...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Historia inatudhihirishia kwamba mkombozi wa watu ni mtu wa kujitolea. Ni mtu anayeweka maslahi yake pembeni na kuweka mbele maslahi ya wale anaotaka kuwakomboa. Hivi ndivyo alivyofanya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rostam aibiwa zana za kumng’oa Selelii VIFAA vya kampeni vya Mbunge wa Igunga (CCM), Rostam Aziz, vimedaiwa kuibwa katika mazingira ya kutatanisha. Wizi huo ulifanyika ofisi za kampuni ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekutana na hii habari katika Michuzi Blog na kujikuta nikijiuliza maswali kadhaa: 1. Ni haki kwa mfanyabiashara binafsi kutumia Mali ya Umma kukopa benki? 2. Kama hii kampuni ikifilisika...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Investors reject Tanzania's "distorted" mining law Reuters, Wednesday April 28 2010 * Mining companies slam new mining law * Minister says companies acting like spoilt child By...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mashati ya rangi ya kijani,Khanga na Tshirt za UWT pamoja na wanafunzi wa kike kutoka shule mbali mbali Jijini Dar wamejazana Blue Pearl Hotel Ubungo Plaza tangu asubuhi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Imenichukua zaidi ya siku mbili kuitafakari riport ya REDET waliyoitoa juzi kuhusu mwelekeo wa siasa nchini, mwanzo nilikuwa siiamini lakini nilipoiangalia kwa undani nimeona kuna ukweli fulani...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza, wagombea uwaziri mkuu wa Uingereza walikutana ktk mdahalo na kuelezea sera zao na maono yao ya jinsi na wapi wanataka kulipeleka taifa lao kama wakibahatika kuchaguliwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WABUNGE 143 kati ya 232 wanaotoka katika majimbo ya uchaguzi hawachaguliki, hivyo ni vigumu kurejea bungeni baada ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu, kwa mujibu wa utafiti...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hii ni makala katika The East African la wiki hii, nimeiweka hapa ukumbini tuweze kuijadili. Hawa jamaa wa Nation media siku za nyuma mtazamoa wao kwa JK haukuwa positive na hivi tunaelekea kwenye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Thursday, April 29, 2010 1:34 AM Ilimbidi spika wa bunge la Ukraine aombe hifadhi chini ya miamvuli kujikinga na mayai aliyokuwa akivurumishiwa na wabunge kabla ya wabunge wa chama tawala na cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom