Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wadau, Serikali imetangaza rasmi kusimamisha usafiri wa reli ya kati kwa muda wa miezi sita. Kama hiyo haitoshi, nimepata taarifa kuwa hata usafiri wa mabasi kutoka Kigoma kwenda Dar na mikoa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Rushwa ni fadhila zitolewazao au kupokelewa ili kutokee upendeleo fulani. Zamani sana ningali shule ya msingi nilikuwa nimeakaririshwa ahadi, imani na madhumuni ya TANU; mojawapo ilikuwa inasema...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakati watanzania bado tunabishana juu ya vitu vidogo wenzetu wanajiandaa kkwa ujio wa EAC. Cha kushangaza sijasikia hata kiongozi mmoja wa upinzania akizungumzia hili suala , ningependa kujua...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakati akiwahutubia wananchi kupitia salamu zake za mwisho wa mwaka, rais Kikwete alitoa hotuba iliyoonyesha kuwa hali mambo si mbaya sana nchini. Hotuba yake ilionyesha ingawa kuna matatizo ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Asalaam Aleykum, Niko ndani ya ukumbi wa Hoteli ya Bwawani hapa Zazibar, nitakuletea yanajiri kwenye hii siku ya kwanza ya Mkutano wa Redet, unaofanyika Zanzibar kwa mara ya kwanza. Unatarajiwa...
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Mwenyekiti.......Luteni Kanali Jakaya Kikwete Katibu Mkuu......Luteni Yusuph Makamba Katibu Itikadi.....Capteni George Mkuchika Wapo 1. Brigedia Gen. Hassan Ngwilizi 2.Kanali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mheshimiwa Rais wangu, lazima nielze wazi kwamba angalau hadi hapa ulipofikia, nimeridhishwa na utendaji wako haidhuru kwamba kuna mapungufu ya hapa na pale! Wapo wanaukupinga, na wapo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
waziri Hamza wa zanzibar leo kwenye Tv anasema zanzibar inastahili ipewe share ya 40% kwa sababu sheria inasema hivyo. jee huu ni mgogoro mwengine ktk muungano? jamaa anasema waziri magufuli...
0 Reactions
93 Replies
8K Views
8th January 10 CCBRT: Tumetimiza vigezo vyote vya usajili Richard Makore Hospitali ya CCBRT imesema imekidhi masharti yote ya usajili ambayo yanaiwezesha kutoa huduma hiyo kwa jamii. Kauli...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mhe Edward Lowasa akiwa katika mikutano ya kuhamasisha maendeleo katika Jimbo lake. Picha hizi ni harakati zake katika Kata ya Lolkisale tarehe 16/12/2009. Huu ni mkutano uliotia fora wiki hii.
0 Reactions
82 Replies
10K Views
Wakati wananchi wake hapo juu wanahangaika pa kula, kulala na afya zao!... (Picha zote toka kwa Michuzi) Hoja imejengwa humu na watetezi wa "majanga ya kitaifa hayazuii Rais kwenda kuburudika"...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Nimesoma habari kuwa Jeetu Patel ameshinda zabuni ya kuleta matrekta yenye thamani ya bilioni 50 toka ambayo ni mkopo wa serikali ya India kwa Tanzania. Mkopo usio na riba. Sikuelewa hapo inamaana...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Nilikuwa najiuliza kuwa huyu jamaa ambaye alikuwa mahiri katika usomaji wa Taarifa ya Habari na Matangazo ya Mpira yu wapi siku hizi na nikadhani kuwa kaenda shule kumbe naye amaejiunga na Redio 5...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Imeandikwa na John Nditi, Morogoro; Tarehe: 30th December 2009 MKUTANO Mkuu wa Uchaguzi wa Chipukizi taifa umemchagua kwa kishindo mtoto wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya...
0 Reactions
100 Replies
12K Views
CCM yaweweseka kwa Slaa Na Waandishi wetu 6th January 2010 B-pepe Chapa Maoni Dk. Wilbroad Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA Macho ya Watanzania yakiekelezwa kwenye...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nilidhania taifa liko kwenye maombolezo ya aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na muasisi wa taifa hili kwa siku saba. Aliyetutangazia maombolezo hayo yuko mpirani kuhamasisha ushindi.. hivi...
0 Reactions
219 Replies
20K Views
na Chesi Mpilipili KHERI ya Mwaka Mpya. Kwenye toleo la gazeti hili nambari 113, Desemba mwaka jana niliandika kuhusu sheria zetu za nchi zinavyoelekea kupindishwa ili kukidhi imani zetu za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nakumbuka miaka ya enzi za utawala wa Mwl Nyerere kabla ya kumaliza muhula wake wa utawala nilisikia fununu na malumbano meeengi juu ya nani kumrithi na nikasikia ni mzee Mwinyi! Kweli ulipofika...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu, Mojawapo ya nadharia za kihistoria ni kutazama ulikopita, ukatathmini ulipo ili uuone wakati ujao katika mwanga bora. Nadharia hiyo hebu tuijaribu kiduchu kwenye suala la wagombea urais wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna huyu mkuu wa benki ya Posta amestaafu tangu 26/11/2009 lakini hadi leo hii bado tunamuona anaingia ofisini kama kawaida na anadunda mzigo kama zamani. Nimejuzwa kuwa hana barua ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom