Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu naomba mnisaidie juu ya hili suala hivi kwa nini mawazi wanakimbilia kuunda tume kuchunguza mambo hata kwa yale yaliyo wazi?ni kukosa umakini au kutokuwa na uamuzi wa kuamua vitu bila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa hali hii inayoendelezwa na sera za ANGUKA (Ari, NGUvu na KAsi ) Mpya, zinanipa hasira kutaka kujua lile fagio la chuma lipo wapi kuwafagia hawa wabadhirifu, mafisadi, manyang'au wanaolipeleka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni matumaini yangu kwamba kuna waandishi wa habari wengi sana hapa especially wale wa uchunguzi na kujadili mambo makini yaani ya kimfumo. Ombi: Naomba mufuatilie na kutupa feedback/mrejesho...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
AUTHORITIES are investigating alleged fraud within the National Bank of Commerce (NBC) that has led to the disappearance of at least 20bn/- from the accounts of some of the bank’s key corporate...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Ufisadi: Je - Tanzania inahitaji yaliyotokea Ghana 1979? Wana-JF, na hasa wale wanaoupinga ufisadi kwa dhati naomba mtafakari iwapo nchi yetu imefikia mahala ambapo pengine linahitajika tukio...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sunday, July 26, 2009 Ufisadi unanuka Norway iache kutoa misaada Hela za misaada ndizo zinazoongeza ufisadi nchini Tanzania, Tone Ellefsrud ameliambia gazeti la kila siku hapa Norway...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninapendekeza kuanzisha hii thread itakayoweka rekodi ya maneno 'ovyo ovyo' yaliyotamkwa na viongozi wetu... Jamani feel free kujazia humu, ikiwezekana tuweke hata date. “Nyie andikeni...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kula huku kula gani, kula bila ya kunawa? Kula huku kula gani, kula bila kupumua? Kula huku kula gani, kula bila kuchagua? Kula huku kula gani, vya watoto navyo mwala? Kula huku kula gani, mikono...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Ndugu wana jamii ,napendelea kuuliza na nauliza kama nawauliza wenzangu ambao naamini kabisa sote tumezaliwa na iko siku tutakufa ,kifo hakikimbiliki. Ninayohitaji ni hii hali inayofanyiwa sehemu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
AP – President Barack Obama gestures while speaking on the South Lawn of the White House in Washington, Monday, …...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbunge aanika ufisadi mpya wa kutisha TANESCO Na Sharon Sauwa Ufisadi mpya na wa kutisha ndani ya Shirika la Umeme nchini TANESCO umebainika leo baada ya...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Date: 7/25/2009 Dk Hoseah aonywa, Karamagi, Msabaha bado wachunguzwa Na Kizitto Noya, Dodoma SERIKALI imempa onyo Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), Dk Edward...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tangazo limetolewa kwenye Daily News ya tarehe 25 Julai, 2009 kuhusiana na ratiba ya uchaguzi wa Serikali za Mtaa kwa mwaka 2009. Uchaguzi huo utafanyika tarehe 25 Oktoba, 2009. Baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
mwalimu wao, hayupo katika picha, huku Jengo la darasa lao likiwa katika hali mbaya inayohatarisha maisha yao kama linavyoonekana katika picha hii. Darasa hilo hutumiwa na wanafunzi 45. (Picha na...
0 Reactions
67 Replies
7K Views
EWURA naona mamlaka hiyo imeshindwa kazi na sasa utendaji wake hauna tofauti na wafanyabiashara wengine wa mafuta. Kwa ujumla EWURA ni mzigo kwa Taifa na ninaamini mamlaka hii iko kwa faida ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Awali - kuna habari kuwa mwandishi wa habari wa Tarime ambaye amehusika sana kwenye kutoa habari za uchafuzi wa mazingira uliofanywa na kampuni za madini tarime amefariki dunia kwa ugonjwa wa moyo...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Ndugu wa Tanzania kumekuwa na mazungumzo mengi kuhusiana na waraka wa makanisa kwa bahati nzuri wabunge wenye imani ya ukristo wameweza kuonesha hisia zao kiasi gani wamefurahishwa na waraka huo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari kutoka bandari ya dar zinadatisha kwamba hivi sasa kampuni ya upakuaji makontena bandarini (ticts) hakuna kazi inayofanyika leo wala kontena kushushwa au kupakiwa melini kutokana na kile...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Hivi mzee yusufu Makaba bado yupo nasi? alituhaidi atamjibu mamaAnne Kilango kutokana na ile kauli yake aliyosema kuwa kuna mafisadi miongoni mwao,lakini kwa bahati mbaya miezi imepita bila ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo jioni hii nimemsikia Mh Cheyo Mbunge wa Bariadi akichangia hoja katika wizara ya Nishati na madini. Lakini maneno aliyoitimisha nayo yalinishangaza sana. Mheshimiwa huyu alihitimisha hoja...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…