Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

BALOZI wa Tanzania nchini Italia ambaye pia ni mtoto wa rais wa kwanza wa Zanzibar, Ali Abeid Karume ameanza kampeni za kuwania kiti cha urais wa Zanzibar kumrithi kaka yake Rais wa sasa wa...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
kwa mujibu wa habari hapa kenya kampuni ya bia ya africa mashariki itavunja mkataba wake wa makubaliano ya kibishara na kampuni ya bia Tanzania, hili linafanyika ili waweze kununua kampuni ya bia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Duh hii habari imenipa moyo kiasi cha kwamba naona kuna some sort of recorvery in the wake of UFISADI na ile MI MIGAWE iliyojazana baharini kwa kukosa nafasi ya ku dock Lakini hii haiondoi bado...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
ni kweli?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani pamoja na hali halisi ya shule zetu za msingi kama picha inayo onyesha hapo chini, bado wabunge wetu wanalipana mshahara wa mwezi milioni 7 bila kodi, mshahara ambao unaweza kujenga darasa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wait a minute, how come the economic down turn, credit crunch is affecting our exports and not imports from US? We have lost almost 50% of our exports and Kibwagizo is that Hali ngumu ya Uchumi wa...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Kwa vile viongozi wa dini wameanza kujenga mizizi ktk siasa zetu ,pia kuwepo kwa wafuasi wa dini kwa upande mmoja hadi mwingine kuonekana kuonewa kwa namna moja ama nyingine ama kuonekana hisia za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa muda sasa majirani zetu wakenya wamekumbwa na hali mbaya ya ukame kwa kiasi kikubwa. Wafugaji wamepoteza mifugo mingi sana kutokana na kufa kutokana na ukosefu wa malisho pamoja na maji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wataalmu wa mambo haya naomba kuwakilisha hoja. 1.kurekebisha miundo mbinu ya bandari ya mtwara, Tanga na Dar es salaam. Harafu kwa bidhaa yoyote ambayo destination yake ni TZ haitozwi ushuru...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba msaada wenu waliokaribu na Dr. Mwakyembe, tangu Bunge hili la bajeti lianze sijamuona.Je yupo Bungeni? au bado anaumwa?
0 Reactions
121 Replies
13K Views
http://hekaheka.podomatic.com/enclosure/2009-07-22T06_43_14-07_00.mp3 Vipindi vingine hivi: http://hekaheka.podomatic.com/enclosure/2009-07-23T05_32_36-07_00.mp3...
0 Reactions
97 Replies
13K Views
Kati ya urithi mkubwa aliotuachia baba yetu wa taifa Mwl. Nyerere ni umoja wa kitaifa. Umoja huu haukuja kama mvua bali alijenga misimgi imara ya kudumisha umoja wetu. Moja ya misingi hiyo ni...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
JOHANNESBURG, South Africa (CNN) -- An undersea cable plugging East Africa into high speed Internet access went live Thursday, providing an alternative to expensive satellite connections. SEACOM...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni mwanzo wa mapambano na wahafidhina wa CCM,hivi ndivyo inavyotakiwa ifanywe kwa wale ambao wapo mstari wa mbele katika kuona haki haifuati mkondo wake ,ikiwa Sheha amepewa mamlaka ya kutoa barua...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samuel Sitta amedai kuwa kuna mtu/watu wamekuwa wakimtumia ujumbe wa vitisho kupitia simu yake ya mkononi. Akizungumza na TBC Taifa, Spika Sitta...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Najua naweza kuwa naudhi wengi lakini pia nadhani JF is where we dare , baada ya uchaguzi mkuu mwaka ule nakumbuka KAFU waliporwa ushindi na watu walikufa chini ya uongozi wa Mkapa .KAFU...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Ninauliza swali hili kwa sababu karibia bajeti ya 2009/10 inafikia ukingoni bila kusikia kama kuna nyongeza yoyote ya mishahara mwaka huu.Ugumu wa maisha na kupanga kwa bei za bidhaa na huduma...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Serikali yatoa dhamana bil. 293/- kwa mashirika binafsi JIBU LA SWALI LA MBUNGE Viti maalum na Mwandishi Wetu, Dodoma BUNGE limeelezwa jana kuwa serikali imetoa dhamana ya mkopo wa zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na. M. M. Mwanakijiji (Tanzania Daima) MIONGONI mwa hesabu rahisi kabisa kujifunza ni hesabu za seti. Ni miongoni mwa mambo ya msingi kabisa ambayo mtoto anajifunza katika kuhusisha mafungu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ubia upo, tuwajue wabia Jenerali Ulimwengu Julai 15, 2009 (Baada ya kuomboleza hasara kubwa iliyotupata kutokana na kifo cha ghafla cha Haroub Othman, sasa tuendelee na hoja yetu)...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…