Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

By Bernard James 9 July 2009 The Citizen Dar es Salaam tycoon Jeetu Patel is suing the Government and media mogul Reginald Mengi in a bid to have corruption charges against him and three others...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Juzi kwenye gazeti la mwanahalisi kulikuwa na makala iliyoandikwa na Salva Rweyemamu, ambaye ni mkurugenzi wa habari wa ikulu na mwandishi wa habari wa muda mrefu (alikuwa ni miongoni mwa...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Taarifa kwa vyombo vya habari 14 Julai, 2009 Chama cha Wananchi (CUF) kimefadhaishwa sana na taarifa kwamba maafisa wa Usalama wa Taifa wilaya ya Micheweni, wamekuwa wakiingilia utendaji wa Tume...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
MPs must not handle developmental funds, say activists By Harrieth Mandari, The Weekend African, July 18, 2009 DOZENS of Civil Society Organizations (CSO) have vowed to take the government to...
0 Reactions
1 Replies
801 Views
Taarifa kwa Vyombo vya Habari 15 Julai, 2009 Sisi Chama cha Wananchi (CUF) tumepokea kwa tafakari kubwa kauli ya Mhe. Amani Karume ya kumtaka kila Mzanzibari mwenye sifa na haki ya kupatiwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hakika kuna mengi sana ya kihistoria katika huu muungano wa tanganyika na zanzibar.. sasa ningependa kuuliza kwa mitazamo yenu muungano huu baada ya miaka zaidi ya 45 je umeimarika au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Huyu Mhindi akamatwe mara moja na bank account na assets zake nyingine ziwe chini ya ulinzi mkali. Wasimwache akaingia mitini kama yule wa rada. Revealed: Dar tycoon linked to BoT scandal...
0 Reactions
60 Replies
10K Views
Kwa wale wasio ona kazi na mafanikio ya serikali yetu walau wakubwa huko wanayaona. Kweli wahenga walisema mitume haikubaliki makwao... Tupate habari zaidi; RAIS wa Marekani, Barack Obama...
0 Reactions
115 Replies
11K Views
NI KWELI WIZARA YA HABARI HAINA KAZI, NA WATANZANIA HATUHIHITAJI Kuna wanaolalamika kwamba ni kuionea CCM kudai kuwa serikali yake ni kubwa mno na viongozi hawana uwezo wa kumsimamia kila mtu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
RAAWU yataka Dk Ndalichako awajibishwe kwa mitihani kuvuja Na Festo Polea CHAMA cha Wafanyakazi Taasisi za Utafiti, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti (RAAWU), kimesema Katibu Mkuu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kwa mara ya kwanza ilianza chokochoko kwenye kikao kilichopita nafikiri cha mwezi wa 4 mwaka huu,walidai kuliondoa suala la mafuta na gasi kwenye mambo ya muungano- ikafikia wakati Rais wa jamhuri...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI RAIS Jakaya Mrisho Kikwete ameuomba Mfuko wa Maendeleo wa Saudi Arabia kuchangia katika ujenzi wa barabara ya Manyoni -Kigoma ambayo ni sehemu ya barabara muhimu ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Na Ramadhan Mbwaduke Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Mark Mwandosya, amesema Bungeni kuwa, hakustushwa na bomu la tuhuma za ufisadi katika mradi wa maji mkoani Shinyanga lililolipuliwa na...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Na Mwandishi Wetu "SERIKALI imara (adilifu), vyombo imara vya habari, taasisi imara za kidola, ni nyenzo muhimu katika kujenga jamii ya haki na inayojali demokrasia," anasema Rais Barrack Hussein...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Muslims who want to live under Islamic Sharia law were told on Wednesday to get out of Australia , as the government targeted radicals in a bid to head off potential terror attacks.. Separately...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mh.Rashid M. Kawawa anaweza kulinganishwa na Mh.Kingunge? MH. RASHID M. KAWAWA 1. Mkongwe katika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Viongozi wetu na sifa toka Ughaibuni! Lula wa Ndali-Mwananzela Julai 15, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo SAIKOLOJIA ya sifa inawafanya wanadamu kupeana sifa. Tunapongezana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
15th July 2009 Wananchi wavamia mkutano wake Wataka kujua fidia yao itatoka lini Akatiza hotuba, kusikiliza kilio chao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
A controvesial CHADEMA MP from Kigoma North constituency has once again tested the wrath of Union Parliament today, after refusing to detract his ownstatement that " majibu aliyotoa waziri Sumari...
0 Reactions
226 Replies
24K Views
Nahabarishwa kuwa kalipua 2bn wizara ya maji imeliwa na Mkulu Gulam Mwenye info atujuze wanajf
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…