Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika (OAU) Dk. Salim Ahmed Salim amewataka wazanzibari kushikamana katika kudai haki zao na kuacha kutumia visingizio visivyokuwa na msingi ambavyo vinaweza...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Baada ya Rais Zelaya kukaidi amri ya Jaji Mkuu kwamba asiendeleze tamaa zake za kutaka kubadili katiba ili ajiruhusu kutawala Honduras kwa mwongo mwingine, Jaji Mkuu aliamru Jeshi limkamate na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Perege Gumbo The Swiss government was waiting for a request from the Tanzanian judicial system to help hunt and seize any money obtained through corrupt means and deposited in Swiss banks...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sunday, 28 June 2009 10:32 *Wataka afikishwe mbele ya sheria *Mwingine awashukia wanaomtetea *Aambiwa alikiuka sheria ya maadili Na Reuben Kagaruki SIKU moja baada ya Serikali kumsafisha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi kuna Vita kati ya Tarime na Rorya? Au ni utengenezaji wa news? Maana nimesikiliza recorded BBC Swahili News bulletin, na kama kawaida news kwa vyombo vingi vya habari huwa ni habari mbaya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kizazi cha uhuru ndiyo kinatuaga sasa. Wale waliokuwa watu wazima wakati Africa ikigombea uhuru wanaanza kututoka na wale waliokuwa watoto wakati huo ndiyo wanaelekea uzee sasa. Siyo vibaya...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nimeona niandishe mada nyingine ambayo haihusiani hasa na viongozi lakini kwa namna fulani inatugusa. Huko Nyuma, Mzee Iddi Simba alikuja na hoja kuwa kama kweli Tanzania inataka ipige hatua kubwa...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Makanisa makanjanja yadhibitiwe – Kilaini Imeandikwa na Maulid Ahmed; Tarehe: 19th June 2009 @ 10:26 Imesomwa na watu: 230; Jumla ya maoni Baada ya serikali kusitisha mpango wa kuyafutia...
0 Reactions
123 Replies
13K Views
CHAMA cha wananchi (CUF) kimezindua mkakati mpya unaolenga kushinda uchaguzi mkuu ujao, huku ikitoa tuhuma dhidi ya serikali na Chama cha mapinduzi (CCM) kuhusu undanganyifu. Katika mkutano wa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwa Uchache: Ya Meremeta, Tangold, JWTZ na Signatories Waziri akizima hoja ya Slaa kuhusu Ukaguzi wa Meremeta/Tangold alisema haiwezi kujadiliwa hadharani kwa kuwa inahusu mambo nyeti ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Atinga na kisu bungeni Selemani Mpochi Askari polisi mwenye namba E 5420 Hassan Ngoma, ambaye yupo katika kikosi cha Polisi Bunge, jana alinusurika kuchomwa kisu na kijana mmoja ambaye jina lake...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
na Mwanne Mashugu, Zanzibar WAWAKILISHI wa kambi ya upinzani visiwani Zanzibar wameonya kuwapo kwa hatari ya kuibuka mpasuko mpya wa kisiasa kama urasimu hautaondolewa katika utoaji wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amemshambulia Mbunge wa Kigoma Kaskazi Zitto Kabwe na kumtaka aache kuwapotosha wananchi kuwa, jitihada zake ndiyo zilizosababisha ujenzi wa barabara ya Kigoma. Akitoa...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Hata JF kuna watu wengi tu hawachangii, je nao ni bubu? Orodha ya wabunge bubu bungeni yawekwa hadharani. Na Leon Bahati WAKATI tukielekea mwaka wa lala salama wa Bunge la mwaka 2005-2010...
0 Reactions
78 Replies
12K Views
Wajumbe wa Bodi, Mameneja na Watangazaji TBC ya Afrika Kusini wajing'atua wenyewe..... ASILIMIA kubwa ya wajumbe wa bodi na Wafanyakazi wa South Africa Broadcasting Corporation [SABC]...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Anatomy ya NSSF, PPF, LAPF, NHSF, INSURANCE inaonekana uzuri zaidi unapotazama mashirika haya kama yanayoanzishwa ili KUWANYONYA WAFANYAKAZI kwa kuwapa riba ndogo na kuwanyima kutumia akiba zao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
THISDAY REPORTER Dar es Salaam VILLAGERS living near a gold mine owned and run by Canada's Barrick Gold Corp. in Tarime District, Mara Region are demanding the immediate closure of the project...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umebaki mwaka mmoja tu Rais JK amalize muhula wake wa kwanza wa miaka 5 kuitumikia TZ kama mkuu wa nchi.Na bajeti ya mwaka huu ndiyo ya mwisho kusimamiwa kimalifu na Rais aliyepo madarakani kwani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama nitakuwa na kumbukumbu nzuri is almost a week toka Mh.Seleli alivyochukia bungeni na kutuhumu kuwa Bunge halina maana kujadili kitu ambacho tayari kinaendelea.Hivi how long it takes kujibu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Baada ya kutoa taarifa za uongo kuhusu CHADEMA kumiliki silaha mbali mbali zikiwepo Magobore, mapanga, visu na tindikali mbele ya vyombo vya habari sasa RPC wa mkoa wa Kagera Salewi anakabiliwa na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom