Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Diwani wa Kata ya Kisangura (CCM), Katika Tarafa ya Rogoro wilayani hapa, Joseph Muniko, amelazimika kumwaga machozi mbele ya mkutano wa kijiji cha Bisarara ili kukwepa adhabu dhidi yake...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salehe Mohamed Tuanze kuwachapa viboko viongozi Tanzania Daima~Sauti ya watu JANA katika vyombo mbalimbali vya habari kulikuwa na taarifa kuwa Mkuu wa Wilaya Bukoba, Albert Mnali, ameamuru...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo kupitia idara ya Maelezo leo inatarajiwa kutoa tamko kuhusu mwelekeo wa uandishi wa vyombo vya habari kufuatia malumbano na migongano ya maneno yenye...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Shule ya Msingi kutoza fedha za mtihani kila ijumaa ni halali,shule hiyo pia hutoza rimu ya karatasi kwa ajili ya mtihani achilia mbali fedha ya mlinzi kwa mtindo huu tutafika?Mwanafunzi asiyelipa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na Mwinyi Sadallah, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imesema haijatumia fedha za umma kununulia magari ya kifahari maarufu kama mashangingi bali yamepatikana kupitia msamaha wa...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Kulingana na habari nilizozipata.. nimetaarifiwa kwamba Ujambazi wa kuvamia nyumba za watu usiku wakiwa wamelala umerudi mjini.. Hii ni hatari kubwa sana kwa usalama wa wananchi ikiwa tunashindwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
This is getting out of control. Almost everyday now you hear a Tanzanian drug trafficker has been caught. We are slowly getting a reputation like Nigerians. Soon our passports will be...
3 Reactions
6 Replies
7K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Hatuendi mbele, wala hatutoki tuliko. Kama ni jeshini tunaweza kusema tuko kwenye marktime! Na kama ni lori basi tumekwama kwenye matope na magurumu yanazunguka kwa kasi...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Ni ajabu ila kweli kuwa mshahara Mbunge Kenya ni 14m Tshs kwa mwezi! Hii iko hata juu ya malipo ya wabunge Uingereza! Je mnasemaje JF wakati wandugu kibao Kenya wanakufa njaa kwa kukosa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wabunge msikubali hoja nzito kuzimwa bungeni Msikubali uhuru wenu wa kikatiba kutekwa nyara na Sitta na Pinda Tanzania Daima~Sauti ya Watu SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, juzi baada ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zilizothibitishwa kutoka Paris, London na Dar Es Salaam zinaeleza kuwa Radio France Internationale inatarajia kufungua Idhaa ya Kiswahili [radio]itakayokuwa na makao makuu Dar Es Salaam...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
‘Janja’ ya serikali yazuia mjadala wa Richmond • Sheria yawakuta wabunge wakiwa hawajajiandaa na Charles Mullinda, Dodoma Tanzania Daima~Sauti ya Watu MKUTANO wa 14 wa Bunge...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tutafakari, nchi haiko sawa John Bwire, Mhariri Raia Mwema Februari 11, 2009 SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Jamhuri ya umoja ambayo iko chini ya demokrasia ya Bunge la...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Salaam, Kuna mambo mengi ambayo yanaendelea nchini kiasi cha kutufanya tujihoji, ni wakati gani tutapata nafasi ya kuzungumzia masuala mengine muhimu ya maana, na yenye kuhamasisha ujenzi wa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Spika azima hoja binafsi na Charles Mullinda, Dodoma Tanzania Daima~Sauti ya Watu SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, jana alizuia kuwasilishwa bungeni kwa hoja binafsi tatu zilizokuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwanakijiji lawama hazijengi bali zinabomoa tu ADELADIUS MAKWEGA Iringa WATU wa pwani wana msemo kuwa kila kifo kina sababu yake, huo ni msemo miongoni mwa misemo mingi katika jamii...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
na Mwandishi Wetu, Zanzibar CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimezindua Operesheni Sangara Zanzibar kwa kishindo na kueleza Zanzibar imekumbwa na ufisadi mkubwa wa ardhi na matumizi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
PIUS RUGONZIBWA, 12th February 2009 @ 11:19 A kenyan national (name withheld) serving as senior lecturer at St John’s University in Dodoma Region is under investigation for allegedly using fake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Former Director of Public Prosecution Geoffrey Shaidi violated the law governing prisons by allowing an accused person in remand prison to send him letters implicating another remandee in the case...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
It is emerging that suspiciously large numbers of Kenyans with faked degrees have been applying for university jobs in Tanzania. Intelligence officials in Nairobi and Dar es Salaam have started...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Back
Top Bottom