Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

CAG`s audit queries on BoT: Ballali survives fiery Bunge interrogation -Admits excessive payments in legal fees -But not clear on gold mine company dealings THISDAY REPORTER Dodoma...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Fungua hiyo attachment hapo chini kisha toa maoni yako kulingana na hiyo picha.
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Kumbe kabla ya zama za Barick na FIPA kulikuwa na uzalendo wa hali ya juu miongoni mwa viongozi na wasomi wetu katika kufuatilia usiri wa makampuni ya madini ya kigeni nchini. Enzi hizo Mzalendo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Mhe. George Mkuchika amesema kuwa ni lazima kwa waandishi wa habari wa Tanzania kuwa ni wale waliosomea fani hiyo, kwani fani hiyo ni kama fani nyingine...
0 Reactions
128 Replies
14K Views
Count Down: Ripoti ya Tume ya Wahariri Kama ambavyo tuliichambua ripoti ya Kamati ya Bomani sasa ni wakati wa kuichambua Tume ya Wahariri iliyoundwa kuhusu habari za kifo cha Wangwe. 1...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika siku za karibuni kumekuwa na kilio kikubwa cha wabunge kutaka kuongezewa mafao yao..Hii imeenda mbali zaidi hasa pale wabunge wa jirani zetu Kenya walipotembelea bunge. Inajulikana wazi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nani bora kati ya JK au Mkapa aliyekoroma tukanyamaza ingawa "underground" alifanya ubaradhuli? Nauliza hivi kwasababu JK kama ni rubani basi keshatoka nje ya ndege na sisi hatuna habari. Kama...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wiki iliyopita sikufanikiwa kutazama kipindi cha PAMBANUA ambacho hurusha na TV ya Channel TEN. Jana nilipata bahati ya kuangalia marudio ya kipindi hicho ambapo Mtangazaji wa Channel TEN...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwakilishi CUF: Tumtambue Karume na Mwandishi Wetu, Zanzibar WAKATI sakata la Zanzibar ni nchi au la, likiwa bado halijatulia Mwakilishi wa Chama cha Wananchi (CUF -Chambani), Abass Juma...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
....vituko vya rais wetu haviishi safari hii alifunga safari mzobe mzobe hadi songea kwenda kuzindua moja ya darala la kuvuka mto mkenda kwenye mpaka wetu na msumbiji....akabebana na protocal yake...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Nimetatizika sana kuhusu mamlaka ya polisi wetu n uwajibikaji wao, naomba wanasheria watushauri kidogo sehemu hii. Je, kuna uwezekano wowote wa kuanzisha kitengo cha polisi jamii kitachofanya kazi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tukinyamaza, mafisadi watashinda Mradi wa UV-CCM, kashifa tupu Na Saed Kubenea YUSUPH Makamba, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni mwongo, MwanaHALISI limegundua. Wiki iliyopita...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Two ministers differ over proposed hotel project Two senior Cabinet ministers have given conflicting statements on the controversial $20 million (Sh24 billion) hotel project at the site of...
0 Reactions
69 Replies
11K Views
Ni miaka ya mwanzo ya 90 wakati huo Radio Tanzania Dar Es Salaama (RTD) ilipokuwa inatawala anga za radio ndani ya Bongo, kulikuwa kuna kipindi kinaitwa Club Raha Leo Show ambapo bendi za Muziki...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Date::7/31/2008 Waziri wa Nishati na Madini awawashia moto Wakorea kwa kumdharau Na Habel Chidawali, Mpwapwa Mwananchi WAZIRI wa Nishati na Madini, William Ngeleja, juzi aliwajia juu...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
wow !! bonge la ushirika
0 Reactions
8 Replies
3K Views
WanaJF, Nimeingia leo KLH kwa MwanaKIJIJI na badala ya kupata ya makala niliyokuwa natafuta, nikaishia kusikiliza miziki ya zilipenda. Humo ndani nikafika na kukuta wimbo wa Patric Balisidya...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
WARAKA KUTOKA HOUSTON, MAREKANI Mama Kilango, maneno matupu hayavunji mfupa Innocent Mwesiga Julai 30, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo NAMPONGEZA Mbunge wa Same Mashariki, Anne...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jeshi lawaamuru askari kulipa kwenye daladala Theopista Nsanzugwanko Daily News; Thursday,July 31, 2008 @00:01 Makao Makuu ya Jeshi ya Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), yamewaagiza...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Picha kwa hisani ya Haki-hakingowi.blogspot.com Kazi nzuri sana kutoka kwa Kipanya. Sasa maamuzi yetu kama "madaktari" ni yepi? Tung'oe kichwa haraka iwezekanavyo au tuache "cancer"...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…