Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuna haja ya kumuuliza JK, huu utamaduni wa mafisadi waliokupua mabilioni ya mapesa ya walipa kodi na hatimaye kuzirudisha pesa hizo huku wakiendelea kuwa huru umetoka wapi!? Kwa nini wasirudishe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu, kulingana na HOTUBA YA MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWENYE UFUNGUZI WA MKUTANO WA TAKURU, MBEYA, 20 FEBRUARI, 2006 ilikuwa inawapa mwanya...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Ilikuwa ni safari ya kifo cha uhuru wa habari Tanzania lakini sasa uhuru umerejea. Ni ushindi wa wana JF (wasomaji na waliojisajili) wote. Naomba kutoeleza chochote zaidi lakini nipeleke shukrani...
0 Reactions
55 Replies
8K Views
http://www.mtukwao.com/Burudani.html
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kimtazamo naona wapinzani waachane na kumaliza nguvu kwenye kiti ch uraisi badala yake waongeze nguvu kwenye Ubunge. Naimani kuwa kama hivi vichwa vyote vya Upinzani CUF, NCCR, CHADEMA n.k...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kutokana na kashfa ya mradi wa umeme wa Richmond, Edward Lowassa, sasa anaelezwa kufanya mambo ambayo ni dhahiri yanamchimba Rais wake, Jakaya Mrisho Kikwete, kwa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hivi sasa ndiyo kwanza nimemaliza kusikiliza tarifa muhimu kwamba ile Tume ya Rais ya EPA ya kuchunguza ubadhirifu wa fedha za malipo ya akaunti ya madeni ya nje pale BoT imeeleza kuwa imefikia...
0 Reactions
89 Replies
10K Views
Lowassa apokewa kifalme Monduli BAADA YA KUJIUZULU… ::Watu 10,000 na magari 400 wampokea ::Akaribishwa kwa zulia jekundu Monduli ::Askofu Laizer...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
SERIKALI imekiri kupokea barua ya Umoja wa Waislamu wa Arusha (AMU) iliyoandikwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha, na kuahidi kuwa italijadili kwa kina suala hilo. Umoja huo juzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Na hii ndio hospitali yetu ya rufaa! Nilidhani sehemu nyeti kama hiyo umeme ukizimika tu basi majenereta yanaanza kazi mara moja, kumbe sivyo! Wafungue kesi dhidi ya Muhimbili Posted...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Kuna tetesi kuwa JK amemteua Ditopile kuwa Mwenyekiti mpya wa bodi ya korosho.
0 Reactions
24 Replies
5K Views
TAFAKURI JADIDI Kama vile tumelogwa au kulaaniwa Johnson Mbwambo MSHINDI wa Tuzo ya Nobel katika tiba, James Watson, mwishoni mwa mwaka jana alirushiwa makombora ya shutuma...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
GARI la Naibu Waziri wa Usalama wa Raia MOHAMED ABOUD Mohamed, lenye alama, NW-UR,aina ya GX, limeibiwa na dereva wake aitwaye Tumaini Mbaga, ametoweka tokea Jumamosi iliyopita.
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Well, well,well sasa twaanza kuona ni jinsi gani misheni zilivyoanza andaliwa na hawa jamaa wawili. NdiyoMorani kaachia ngazi, lakini hilo halitoshi kutamatisha uhujumu uliofanyika. Paper trail...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
By Mkinga Mkinga THE CITIZEN Mr Jeetu Patel, one of the alleged key players in the Central Bank's External Payments Arrears (EPA) account scandal that cost the country Sh133 billion, is back in...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Na Salehe Mohamed Tanzania Daima~Sauti ya Watu SERIKALI itaweka hadharani kiwango cha fedha kilichorudishwa na kampuni zilizochota fedha katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupitia Akaunti ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
...mgogoro umekwisha, sasa rudi nyumbani ukajibu tuhuma nzito dhidi yako. Wabongo wana hamu kuu kusikia kulikoni?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunashukuru kwa hata hicho kiasi kilichorudishwa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sasa sijui wangapi mliwahi kusikia juu ya maadili ya matangazo ya biashara kwenye vyombo vya habari nchini. Lakini kwa muda sasa kumekuwa na mashauriano ya wadau wa eneo hili nyeti na sasa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
WanaJF, Tuonyeshe ukomavu kidogo, mbona kila kitu kinacholetwa kwenye Jamvi kinaonekana kama breaking news!!! Wajameni... msiharibu kijiwe wandugu!!! chonde chonde, vihabari vingine pia vya...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom