Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mawaziri kivuli watangazwa 2008-02-15 09:21:20 Na Frank Mbunda, Dodoma Kufuatia Rais Jakaya Kikwete, kulivunja Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, Kambi ya Upinzani Bungeni nayo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa mshangao mkubwa na mtisiko TVT sasa wameacha kutupa habari za Dodoma ambazo zina mambo ya kugusa Taifa .Mjadala wa Richmond sina hakika kama Watanzania wanaweza kuusikia labda iwe...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Jamani kwenye ufisadi si BOT tuu bali hata mamlaka ya hifadhi ya ngoro ngoro. Faida inayopatika kwa mwezi ni zaidi ya shilingi 1billion out of which 6% wanagawana Mhifadhi mkuu na timu yake ya...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Hivi kwa nini lazima kulipia au kusajili namba upya kama gari lenye ZNZ likishaingia Dar baada ya Miezi 6? Mbona suala hili halilalmikiwi? Zanzibar ni Tanzania lakini kwa nini serikali yetu...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Tukio La Ajabu Angalia Attachment
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii ni Made in Tanzania tu! Januari 23, 2008 JOHN Nolan, yule raia wa Ireland aliyejaribu kuighilibu Serikali ya Tanzania imruhusu aanzishe mashamba ya kamba (prawns) ambayo yangeiharibu...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Baada ya hekaheka za Richmond Bunge kuendelea na kikao Ijumaa Na Waandishi Wetu, Dodoma BUNGE linaendelea na kikao chake Ijumaa, baada ya kuahirishwa kutokana na mtikisiko wa kuvunjika Baraza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mjadala wa Richmond unashika kasi sasa .Grace Kiwelu akitoa hoja bungeni amesema anaomba wote walio tajwa na kujiuzuru ili kuepusha wao kukimbia Nchi na wapelekwe Mahakamani na pia amemshauri...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jana Muungwana alitoa Maneno haya wakati anawaapisha timu mpya ya Mtandao na usajili mpya wa wachezaji wa akiba "Anyone who does not Obey You (PM) let me know immediately and i will act...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Asubuhi hii nilifika kazini nikiwa mchovu baada ya kukesha kwenye simu kujua nini kinaendela kule idodomya. Nilikuwa bado na hasira na uchungu baada ya kufikia hitimisho kuwa Tanzania kuna watu...
0 Reactions
67 Replies
9K Views
Mbunge wa Iringa, Mheshimiwa Chogga, enzi za Nyerere, aliwahi kusema kwamba China, kwa sababu ya uhusiano wake na Tanzania wakati ule, inafikiri kupeleka wanawake nchini Tanzania (aliwahi kusema...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wana JF, Hapa kuna kipande cha habari zingine, zimepatikana kwa mdau mmoja hapa. Sina uhakika sana na habari hizi. Naomba senior JF members and experts angalieni ukweli wake. Ndugu JK, Watu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Baraza la mawaziri maswali bado ni mengi TANZANIA DAIMA JANA Rais Jakaya Kikwete, alitangaza Baraza jipya la Mawaziri baada ya kulivunja la awali wiki iliyopita kutokana na aliyekuwa Waziri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakati wadau mbali mbali wanalalamika kuhusu wageni kupewa ajira za chee katika idara mbali mbali ,kuna wengine inaonyesha hawashituki kuhusu malalamiko haya na ndio wanaendelea kuleta ndugu ...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakati ule kikwete amefanikiwa kuchaguliwa na watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote kila mtu alikuwa anajiuliza baraza la mawaziri litakuwaje lakini hakuna aliyekuwa anajiuliza waziri...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Watanzania wamepoteza kabisa imani na serikali iliyo madarakani kufuatia kashfa nyingi zinazowakabili watendaji wakuu wa awamu ya tatu na ya nne. Kashfa hizi zinahusiana na kusaini mikataba feki...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimetumiwa hiyo kwenye email yangu, Nikaona nishare na wana JF wenzangu ------------ --------- --------- --------- --------- --------- --------- --------- --------- --------- ---------...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nadhani mtakumbuka baada tu ya kuchaguliwa Urais alilihutubia Bunge..na kusema "tusije tukalaumiana baadae"...Habari nilizozipata zinasema kwenye hiki kikao ameonya na kuaasa wale wote ambao...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Privatisation: Good for foreigners, bad for Tanzanians By KARL LYIMO lyimok@gmail.com THE EAST AFRICAN In 1992/93, Tanzania undertook a privatisation programme that was expected to hand...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Finally, one of the longest serving politicians in the country Mr. Kingunge Ngombale Mwiru has retired from active politics. Mr. Kingunge has decided to retire on the eve of the announcement of...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Back
Top Bottom