Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mmoja kati ya wale watu waliohusika na ile kashfa ya Ricmond , Mohamed Gire , amecontribute kiasi cha dola mia tano kwenye campaign ya John Mccain . Nilikuwa nafikiria ni jinsi gani tunaweza...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Akataa kuteta na wabunge *Ni mpaka atangaze Baraza la Mawaziri * Walikwenda kumwona warudi patupu Na Mwandishi Wetu, Dodoma RAIS Jakaya Kikwete jana amekataa kukutana na wabunge na baadhi ya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wiki iliyopita Tanzania imepitia katika mtihani mkubwa na kupiga hatua kubwa za kisiasa baada ya kushudia Ndege kubwa ya Uchumi iliyokuwa inapaa ikitunguliwa na Kasungura ketu hadi kufilia kuzimu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Source: Mwananchi Tunakoelekea matusi ya nguoni yatawatoka watu. hii inaonyesha jinsi watu walivyochukizwa na suala hiliPadri: Waliohusika Richmond si mafisadi bali mafisi maji Na Geofrey...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wananchi wagomea mkutano wa DC Source: Tanzania Daima na Ahmed Makongo, Magu WANANCHI wa Kijiji cha Yichobela, Kata ya Nyigogo, wilayani Magu, Mwanza, mwishoni mwa wiki waligoma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bw. Chacha Wangwe amedai kuwa kama angepata nafsi ya kumpa ushauri Rais basi angemshauri Rais "avunje bunge ili sote turudi kwa wananchi na kuwapa wananchi nafasi ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mheshimiwa Rais Kikwete, Ombi rasmi mkuu. Unapounda baraza lako jipya, tuachie wale Wabunge wetu maarufu kama bakibencha. Usiwa-Bangusilo na kuwapa Uwaziri. Twaomba wafuatao wasiwemo katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
..ndugu zangu wakati wa sakata la ripoti ya Dr.Mwakyembe likiendelea Raisi Kikwete alifanya uteuzi wa Jaji Kiongozi na Majaji wa Mahakama ya Rufaa. ..Jaji Kiongozi Amiri Manento amestaafa na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni mtihani mzito kwa JK leo *Baraza kuibua au kuzamisha matumaini ya Watanzania Na Mwandishi Wetu RAIS Jakaya Kikwete leo anakabiliwa na mtihani mwingine mgumu katika kipindi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna nafasi tatu za kujaza, kama asipofanya recycle kuwarudisha mafisadi kwa kisingizio kwamba walijiuzulu wenyewe lakini bado 'taifa linawahitaji'. Kwa kuzingatia kwamba kamati nyingine mbili...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Kuanzia mwaka Jana yule Mungu wa maajabu , Mungu wa kutumainiwa na watoa vilio aliamua kupiga kambi rasmi hapa nyumbani kwetu Afrika Mashariki na hasa Kenya na Tanzania .Najua sababu ni wetu wetu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Posted Date::2/9/2008 Viongozi wastaafu, wapinzani wamshauri kwa Rais Kikwete Na Andrew Msechu Mwananchi RAIS Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, wameshauriwa kuhakikisha kuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapinzani wanena na Peter Nyanje, Dodoma Tanzania Daima WAKATI Rais Jakaya Kikwete akikuna kichwa kuhusiana na muundo wa Baraza la Mawaziri analotarajia kuliundwa upya, kambi ya ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima Mbele wana Bodi,Nimekaa nikifikiria ni kwanini mpaka sasa ,Mheshimiwa Yusuph Makamba ambaye ni katibu mkuu wa chama Tawala ,mpaka muda huu hajatoa tamko kuhusu Tuhuma za Ufisadi za ukweli...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
ANAONEKANA ANA UCHUNGU NA NCHI YAKE
0 Reactions
16 Replies
7K Views
  • Closed
Kuna usemi kuwa watu wa usalama wa taifa huwa hawastaafu mpaka wanapokufa. Kutokana na yanayoendelea Tanzania ambapo vyombo vya ulinzi na usalama vimehusishwa na kashfa zinazoendelea karibuni za...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
na Mwandishi Wetu JARIDA maarufu la The Economist, kwa mara nyingine tena limefanya tathmini yake kuhusu mwelekeo wa kiuchumi wa Tanzania na Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika kipindi cha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Pamoja na mabadiliko ya mawiziri ambayo tunayatarajia, pia mfumo wa utendaji kazi serekalini unahitaji mabadiliko makubwa. Mpaka sasa mfumo wa utendaji kazi serikalini, kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JAMANI Nafikiria na kufaraki kuhusu hili sakata la aibu na uzalendo wa kifisadi dhidi ya nchi yangu na watu wake. Ni kweli kwamba sasa hata mkulima kijijini ameshagundua kwa nini gharama za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana katika kikao cha bunge, wachangia hoja waliopata nafasi waliwapongeza Lowasa, Karamagi na Msabahaa kwa uamuzi wao wa kujiuzuru. Kwa upande wangu sikuona sababu ya kuwapongeza watu ambao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom