Geee! Tumechoka na kauli zako zisizo na vitendo kila kukicha! Vunja baraza lako la mawaziri na mafisadi wote na waroho wa kujilimbikizia utajiri kupitia nyadhifa zao uwatose! Na wewe mwenyewe kama...
Dk Slaa aibua ufisadi mwingine wa Sh1 trilioni
Na Tausi Mbowe, Dodoma
MBUNGE wa Karatu, (Chadema), Dk Willibrod Slaa, ameibua kashfa nyingine na kudai kuwa zaidi ya Sh1 trilioni zimepotea...
Sitta atoboa siri kupiga 'stop' mjadala
Na Reuben Kagaruki
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Samwel Sitta, ametoboa siri ya kusogeza mbele mjadala wa Ripoti ya Richmond...
Wabunge wembe huo huo
Habari Zinazoshabihiana
Wabunge hii ni changamoto kwenu 27.01.2008 [Soma]
Cheyo, Ole Sendeka waungwe mkono 03.02.2008 [Soma]
Rais Kibaki kafanya...
Angry MPs reject Karamagis Energy, Petroleum Bill
MEMBERS of Parliament refused unanimously Friday to listen to Energy and Minerals Minister Nazir Karamagi and his team of resource persons at...
JK atau Dar na kusema migogoro kama ya Kenya haiwezi kuwachukulia muda viongozi wa Au na badala yake wanajikita katia kuleta maendeleo ya Afrika. Kauli hii kidogo imeniacha hoi labda ningoje...
Chadema candidate falls ill on the campaign trail
By Polycarp Machira
By Polycarp Machira
THE CITIZEN
Chadema's candidate for the Kiteto by-election, Mr Victor Kimesera, was...
jee wapinzani wako tayari kwa mashirikiano haya?
au wataona kuwa wanategwa maana wao kila kitu waoga wanaogopa kivuli chao
source majira
Kikwete: Huu ni mwaka wa kushirikiana na wapinzani...
MWENYEKITI wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kwa sasa Tanzania imekosa viongozi wawajibikaji.
Alisema kutokana na hali hiyo, kosa linapotokea katika idara wanazoziongoza...
Uswidi yaridhishwa na siasa Zanzibar
Na Ali Suleiman, Zanzibar
SERIKALI ya Uswidi imesema imeridhishwa na hali ya kisiasa ya visiwa vya Unguja na Pemba ambapo amani na utulivu...
Resign, Butiku tells tainted politicians
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
MWALIMU Nyerere Foundation Executive Director Joseph Butiku has called for the resignation of cabinet ministers and...
Takhriban miaka 14 iliyopita tulishikwa na butwaa tuliangalia jirani zetu wa Rwanda wakichinjana kwa mapanga.
Tuliangalia tukikosa la kufanya hadi idadi ya waliopoteza maisha yao ilipofika karibu...
Maalim Seif amsifu Balozi Karume kuhusu hatima ya Zanzibar
Na Mkinga Mkinga
SIKU chache baada ya Balozi wa Tanzania nchini Italia, Ali Karume, kutangaza azma yake ya kutaka kugombea urais wa...
Habari za kawaida
Posted Date::2/2/2008
Shule zenye majina ya viongozi hoi mtihani kidato cha nne
Na Joyce Mmasi
SHULE za sekondari zenye majina ya viongozi, zimeonekana kufanya vibaya...
Tanzania... my beloved motherland.. How I long for you! I weep for you. To see your demise saddens me, enrages others and leads to many outcomes. Everytime I log onto JF the word I am most likely...
Mzimu wa ufisadi wawafuata makandarasi
na Mwandishi Wetu
Tanzania Daima
SAKATA la ufisadi katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), linaonekana kuibua tuhuma nyingine kadhaa baada ya waliokuwa...
Mie naona kwa jinsi hali ilivyo na ambavyo watawala wetu wanavyolindana.
Hakika kwa njia ya Ballot mafisadi wa tz kamwe hawataondoka badala yake watarithishana uongozi leo baba,kesho mwana...
Tunasubiri kuona utekelezaji wa hiliJK: Fedha zote zilizoibwa BoT zitarejeshwa
2008-02-01 08:50:57
Na Joseph Mwendapole
Rais Jakaya Kikwete, amewahakikishia Watanzania kuwa, fedha zote...
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon amempongeza Rais Jakaya Kikwete, kwa kuchaguliwa kuongoza Umoja wa Afrika (AU) katika kipindi cha mwaka mmoja.
Pongezi hizo alizitoa juzi usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.