Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

1. Uzoefu wa Uongozi Ufafanuzi: Mbowe ana uzoefu wa muda mrefu katika siasa na uongozi wa CHADEMA, akiliongoza chama kupitia changamoto mbalimbali za kisiasa na kuhakikisha kinaendelea kuwa chama...
1 Reactions
32 Replies
633 Views
Kama Maria anataka kufanya majadiliano ya matukio yanayotokea hivi sasa, ni lazima afanye kistaarabu,bila kutukana. Kila siku tunaona watu wanajadili current events katika talk radio. It is...
0 Reactions
32 Replies
907 Views
Mungu asante sana kwa utukufu wako na uhai unaotupa watoto wako. 'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa' Nilikuwa nawaza...
100 Reactions
266 Replies
26K Views
Kinachomtofautisha Tundu Lissu wanasiasa wengi hapa Tanzania ni usomi wake. Jenerali Ulimwengu hakukosea aliposema kwamba kila anapozungumza Lissu yeye humsikiliza kwa makini sana. Mara nyingi...
13 Reactions
46 Replies
2K Views
Na wote hapo mna Kwa kukimbilia. Lisu Ubelgiji Lema Kanada Heche Kenya Bavicha hana Kwa kwenda. Natamani sana Msusie Uchaguzi Mkuu Ili Kuwaongezea Mwendo CCM...
1 Reactions
46 Replies
655 Views
Nimefuatilia Uchaguzi wa BAVICHA unaonekana umejaa wahuni wasiojitambua kabisa wakiongozwa na Mwenyekiti wao,nimeona wengine wanasema walifoji vyeti ili wagombee,wengine wanasema bila Posho hakuna...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Wakuu, Matajiri wa Kiafrica Ni wapambanaji sana Ili kuleta ustawi wa Familia na Koo zao, Huwa hawalali Na Kiukweli hujitahidi kadiri ya Uwezo wao familia Kusimama! Pamoja na Mazonge yote watu...
1 Reactions
1 Replies
125 Views
Mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa...
33 Reactions
186 Replies
4K Views
Hizi ni Takwimu ambazo tumezipata huku kwetu Lumumba. Zikionesha Mbowe bado anakubalika vizuri tu. Mikoa ambayo inamuunga Mkono Tundu Lissu. 1. Ruvuma 2. Rukwa 3. Katavi 4. Simiyu 5. Shinyanga 7...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Amenadika Mdude Nyagali kwenye Mtandao wa X. Kwa wale wageni ambao hawajui mambo ya uchaguzi ndani ya vyama n.k. 1. Posho za wajumbe hutolewa mapema tu wanapowasili na wahasibu walioteuliwa...
0 Reactions
3 Replies
546 Views
Mwenyekit wa Bavicha mwalimu John Pambalu atastaafu rasmi 13 January, 2025 baada ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar Ameandika ukurasani X Sabato njema
13 Reactions
123 Replies
3K Views
MWENYEKITI mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema atafanya maombi kwa Mungu kupata upande sahihi wa kuunga mkono katika mvutano wa kumpata...
3 Reactions
30 Replies
792 Views
Yericko alizaliwa huko Iringa miaka ya 1984 akiwa ni mtoto pacha na mwenzake. Yericko ni miongoni mwa watoto 7 wa mzee MKANA kutoka huko kwao.Kijijini Maduma Iringa! Baada ya kumaliza shule ya...
48 Reactions
156 Replies
6K Views
Anaandika mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu katika ukurasa wake wa x -- Kumbukeni tuna chama cha kujenga baada ya uchaguzi. Udhaifu wa usiyemuunga mkono haumfanyi unayemuunga mkono kuwa...
2 Reactions
10 Replies
525 Views
Harakati Harakatini Msingi mkubwa wa haki za binadamu ni mapokeo ya Universal Declaration of Human Rights ya mwaka 1948 ambapo humo kuna vipengele 30 vya hizi haki za binadamu. Ni document ya...
3 Reactions
10 Replies
316 Views
Itakumbukwa Mbowe alikamatwa Mwanza na kufunguliwa kesi ya uchochezi na uhaini na kukaa rumande kwa miezi nane (8). Kesi ya awali ilisikilizwa na Jaji Siyani ambaye baada ya kumkuta Mbowe ana kesi...
5 Reactions
10 Replies
523 Views
Huyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine. "Cha kwanza ni kwamba huyu...
12 Reactions
223 Replies
9K Views
Amefanya kazi nzuri sana pale BAZECHA na anaendelea kufanya kazi nzuri zaidi pale BAVICHA. Ni matumaini ya kila mwanachadema mzalendo kwamba, the field marshal matonya engr. Benson Kigaila...
0 Reactions
15 Replies
566 Views
Mheshimiwa Lissu Mara kadhaa tumekusikia ukizungumza kuhusu Deusdedith Soka kwa mafumbo lakini ukiimply kuwa Soka hatunaye tena duniani. Kwenye hotuba yako ya mwaka mpya ulimtaja Soka kwa kauli...
9 Reactions
52 Replies
2K Views
Lema awaambia wajumbe yeyote anayewashawishi kwa pesa na kutaka kuwafungia chakula wachukue halafu wakishakua waende kwenye kuwachinja kwenye uchaguzi. Pia soma...
5 Reactions
29 Replies
901 Views
Back
Top Bottom