Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni mwanamama Tulip Siddiq wa UK Mlale unono 😄
2 Reactions
13 Replies
517 Views
Nakubalina na Rostam Aziz, Wawekezaji wa Nje waje ku compliment pale ambapo Wawekezaji wa Ndani wamekwama tena Kwa Ubia. Sasa taasisi zetu zikisia uwekezaji wao wanaweza Wazungu na hata Sasa wako...
5 Reactions
78 Replies
2K Views
Hotuba ya Lema imedhihirisha Mwenyekiti Mbowe hana Nia ya kuongoza Chadema Kwa sababu amechoka ila Kuna Watu wamemlazimisha Kwa maslahi ya matumbo yao Aidha Lema amedhihirisha Chadema ni Chama...
4 Reactions
10 Replies
416 Views
Kwa Mujibu wa Maelezo yake Wakili huyu Msomi anayeitwa Deogratius Mahinyila, anasema kwamba, siku zote imekuwa Ndoto yake kusaidia wanakijiji wenzake. Kwa kukumbusha tu ni Hivi, Huyu kijana...
9 Reactions
54 Replies
3K Views
Mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ndio habari ya nchi kwa sasa, na ndio maana kila pande ya Tanzania inausubirikwa hamu mkutano huu. Kila pande ya Tanzania macho na masikio yao yatakuwa jijini...
1 Reactions
24 Replies
469 Views
Katika hali inayoonyesha usanii mkubwa wa uongozi chini ya Mwenyekiti Mbowe, Aliyewahi kuwa mhariri wa gazeti la Tanzania Daima ndugu Absolom Kibanda, ameongea na Watanzania kupitia katika mtandao...
19 Reactions
75 Replies
3K Views
Kuna kila Dalili huu uwepo na mpango kuwa na hawa wabunge 19 Bungeni ni mpango wa kifisadi na wahusika ni viongozi wakubwa ikiwepo CHADEMA, kwa namna tu hili suala linavyopelekwa. Kuna fununu...
-1 Reactions
18 Replies
999 Views
Habari wana JF ,Ujue kwenye maisha kuna watu ambao huwezi ona wanagombana na watu au kuna watu ambao wanafanya vitu kwa ajili ya watu wengine ambavyo ni hatari kiasi kwamba hata wewe huwezi fanya...
14 Reactions
105 Replies
6K Views
Habari JF, Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA . Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu...
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Ni wamba wawili wenye tabia za mfanano ulio bayana. Wamba hao ni wazi waliingia kwenye Madaraka na kuwa vipenzi wa dhati kwa waliowaongoza katika Vipindi. Tatizo waliamua kubishana na muda...
1 Reactions
1 Replies
114 Views
Kuna ajali mbaya sana imetokea Ihemi maeneo ya Iringa karibu na kijiji cha Ifunda ambayo inamhusisha Dr. Mwakyembe Taarifa zaidi zinafuatia: Picha ni hizi Dr Mwakyembe akifikishwa hospitali...
0 Reactions
800 Replies
89K Views
Kwa taratibu za Chama hasa kwenye nchi za demokrasia Mh Mbowe angetakiwa kustaafu kwa manufaa ya uma. Waziri mkuu wa Canada ametangaza kustaafu sio kwasababu kashidwa uchaguzi lakini ni kwasababu...
2 Reactions
5 Replies
164 Views
Ikinyesha utajua wapi panavuja. Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu...
7 Reactions
50 Replies
1K Views
Nadhani wote tunaelewa Wanasiasa na Ulaghai / Kulaumu wengine ni pete na Kidole....; Mdau mmoja alisema.... To err is human. To blame someone else is politics. Nashangaa pale Chama tawala...
1 Reactions
17 Replies
736 Views
Nimesikia kwenye Radio Free Africa hapa Mwanza kuwa Chenge amehukumiwa Kifungo cha miaka 2 ama Faini ya Shs za kitanzania mia saba elfu tu, Shs 700,000/= ambapo amelipa palepale mahakamani...
1 Reactions
45 Replies
5K Views
Wana JF -- kuna habari kwamba yule Bwana wa Vijisenti, Andrew Chenge anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay kwa kuua watu wawili kwa kugonga Bajaj. Habari zaidi bado hazijapatikana. Tafadhali...
2 Reactions
445 Replies
61K Views
Yani mpaka rahaaa Tundu Lissu anamwaga dhahaabu, Dk silaaaa anaharibuuu kabisaa Kulee Lemaa anashtua taifa na wake zao 19 WA wakubwaaa Yaani natamani kuonana uchaguzi inajirudia kila Mwaka...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
https://www.yahoo.com/news/american-battleground-single-state-took-120042230.html
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Sijui katiba inasemaje imenshtuaa Leo wakati Odemba WA Star tv anahoji aliuliza swali WAKILI na baadhi ya wanachama kwenye mdahalo Vipi Mbowe MH akishindwa Itakuwaje? MMOJA akajibu atabaki kuwa...
1 Reactions
5 Replies
231 Views
Back
Top Bottom