Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Watu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali. Mbowe...
39 Reactions
228 Replies
6K Views
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa...
17 Reactions
151 Replies
4K Views
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujiuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris...
13 Reactions
186 Replies
12K Views
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa CHADEMA walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama...
16 Reactions
747 Replies
81K Views
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu...
59 Reactions
201 Replies
14K Views
Katika kitabu chake cha In the Name of the President, Ndugu Eric Kabendera ameonyesha kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa COVID-19. Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Magufuli masharti ya watalaam...
27 Reactions
190 Replies
6K Views
Salaam wakuu, Kuna usemi kwamba siasa za Afrika zinafanana. Hakainde Hichilema Namfananisha na mpinzani flani wa nchi flani ya waliolala. Je, kuna mambo makubwa yapi amefanya mpaka sasa kuliko...
0 Reactions
8 Replies
394 Views
Katibu mkuu wa CHADEMA anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari kesho 07/01/2025 saa tano asubuhi katika makao makuu ya chama hicho.
0 Reactions
0 Replies
228 Views
Ilikuwepo Manchester united Ilikuwepo Barcelona Ilikuwepo Brazil Hizi ktk soka zikivuma lkn hivi sasa hazivumi tena. Kisiasa Huu ndio wakati wa Lissu kufifia kabisa ktk siasa. Baada yauchaguzi...
3 Reactions
6 Replies
184 Views
Hiyo combination ni sahihi? Lissu bado hajani-convince hawezi kuongoza chama kwa ufanisi, Wenje ni mission town hana bei. Kwa hiyo hadi sasa hata ukiniamsha usingizini Mbowe bado ni mgombea...
3 Reactions
30 Replies
663 Views
Kati ya maagizo ambayo 'Prfesa Ndumila Kuwili' a.k.a KIBWETELE, alipewa ni kuhakikisha 'anaking'oa' meno MADECHA au anainywesha kinywaji kitakachoikata sauti. Katika kuhakikisha hilo linatimia...
9 Reactions
10 Replies
710 Views
Huyu kijana ni miongoni mwa watoto wa viongozi wa Kiafrica waliolewa madaraka ya Baba zao , amejaa dharau , kiburi na Majivuno ya kijinga sana , ana kiburi kuliko hata watoto wa Saddam Hussein ...
27 Reactions
114 Replies
8K Views
Mjumbe wa NEC CCM na mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Ndugu Nimrodi Mkono muda huu amesaini waraka ambao utapelekwa Bungeni kesho kuhusu kura ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu. Huyu amekuwa...
46 Reactions
218 Replies
23K Views
Chama cha ACT-Wazalendo kimefungua mashauri ya uchaguzi 51 ya kupinga matokeo na mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024 na kusimamiwa na Ofisi...
0 Reactions
2 Replies
309 Views
Nimesikiliza Hotuba ya Heche leo akitangaza kugombea Umakamu Mwenyekiti CHADEMA, nimegundua kisiasa Heche ni Mkubwa sana kuliko Lissu ingawa kiharakati Lissu kamuacha mbali sana Heche. Heche...
6 Reactions
34 Replies
1K Views
Muda mrefu sijasikia kuhusu mapigano yanayowahusu M23. Je, majeshi ya SADC yametuliza mambo?
1 Reactions
2 Replies
194 Views
Mpaka sasa Halima Mdee wa CHADEMA amepoteza Jimbo lake la Kawe baada ya Askofu Josephat Gwajima wa CCM kumshinda kwa Kura 194,833 huku yeye akiwa naKura 32,524 Nini maoni yako? Mwandishi wako...
11 Reactions
170 Replies
17K Views
Mimi namtazama Tundu Antipas Lissu kama spirit Fulani ya Uamsho Ni vema wanaccm huko majimboni mkatafuta akina Tundu Lisu wa Mchongo wawasaidie kuwang'oa akina Jah people nk Navalonge swela 🐼...
0 Reactions
3 Replies
212 Views
Uamuzi wa Heche wa kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA unaweza kukisaidia sana chama chake kwa sababu zifuatazo: 1. Hotuba yake imeonekana level heade. Kuingia kwa Heche katika...
1 Reactions
3 Replies
300 Views
Si vibaya, mwanzo mwanzoni, kuweka wazi kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania. Lakini, ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za dunia nzima, nikianza na za kwetu...
4 Reactions
37 Replies
952 Views
Back
Top Bottom