Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nawaza tu maana sikumbuki uchaguzi ambao Freeman Mbowe aliwahi Kushinda kiushindani Kwenye Chaguzi za Ndani Hata tulipokuwa Bavicha aliteuliwa tu na Mzee Shanga kuwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa...
2 Reactions
4 Replies
277 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC- Organ), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
4 Replies
360 Views
Kwenye historia ya vita na mahusiano ya kimataifa, kuna nadharia inaitwa “Thucydides Trap” ambayo utumika kuelezea ulazima wa kutokea mgogoro au vita endapo taifa linalochipukia linapotishia...
12 Reactions
54 Replies
4K Views
Wanabodi. Kama kawaida yangu, kila nikipata muda, nashuka na zile makala zangu elimishi za KMT - "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "morality": "Je ni lazima kuusema...
23 Reactions
221 Replies
22K Views
Wakuu, Kwahiyo Abdul ni nani serikalini hadi aanze kumhoji kuhusu serikali kushindwa kumlipa Lissu pesa za matibabu? Yaani anaenda kupull strings kama nani? Naona Wenye anatumia nguvu nyingi...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
Narudia kuuliza mara Kwa mara, Abdul mpaka kufunga safari kwenda Tegeta kwa Lissu akitokea Ikulu akiambatana na jamaa yake Wenje. Lengo hasa la Abdul ni nini au atanufaika vipi kupigania kwa mama...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Lissu ameulizwa kwanini ameongea sasa kuhusu rushwa za mama abdul na mwanaye anakuja kuongea sasa, amejibu hivi; Nilihitaji kukusanya taarifa zaidi kabla sijangumza, kabla ya kuzungumza kwenye...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Mnyika alikuwa mtu wa kwanza kutangaza kutekwa kwa Mohamed Kibao ndani ya Dk kumi kama tangu kutekwa pale tegeta na kuelezea kwa undani sani tukio zima as if ni jambo alilolijua muda mrefu hadi...
2 Reactions
15 Replies
628 Views
Mwenge wa uhuru tunaambiwa kwamba unaleta amani pasipo na amani, unaleta tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki. Tanzania tumekuwa tukitumia mabilioni ya fedha za walipa Kodi kugharamia...
9 Reactions
36 Replies
669 Views
Wakuu salamu! Kwenye Ulimwengu huu unaobadilika ni vigumu sana kupanga mpango na ukaenda vyema kama ulivyotarajia.Nchi nyingi kubwa zenye taasisi serious za kiusalama hazijawah kuwa 100% correct...
1 Reactions
3 Replies
173 Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, John Heche, amemshutumu Ezekia Wenje, akidai kwamba hali ya sasa ya chama imechangiwa na hatua zake. Pia, Soma: Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti...
14 Reactions
38 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Kwa walio fuatilia mdahalo huu ambao umetamatika usiku huu, binafsi haya ndiyo niliyofaelewa kutoka kwa wawakilishi wa wagombea wa nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa. 1. Wawakilishi Team Mbowe...
14 Reactions
139 Replies
5K Views
Bila shaka yoyote ile sasa ni dhahiri kwamba Ben Saanane alikwishauawa kikatili, na ni dhahiri kwamba Maiti yake ilitupwa (Rejea Kitabu kinachouzwa kwa kasi cha shujaa Kabendera) Ninaamini...
4 Reactions
27 Replies
905 Views
Kabendera sisi tunauelewa wa kutosha ni kweli unachuki na jpm lakini uongo huu uliouandika hauna tofauti na vitabu vya yericko nyerere mwenye elimu ya hapa na pale. Wote tunafahamu raisi ni...
16 Reactions
81 Replies
3K Views
Je, leo hii wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, waafrika tutaweza kuwazuia kweli ? Tanganyika itaweza kuwazuia wajerumani wakianzisha vita ya kurudi katika koloni lake ...
3 Reactions
39 Replies
531 Views
Watanzania wengi wanahoji kama Uenyekiti wa Chadema tu ulimtoa Imani na kuondoa Ukomo wa Uongozi itakuwaje Siku akiingia Ikulu?! Wengi wanadhani ataondoa Mihula ya Rais Kwenye katiba na kufanya...
0 Reactions
1 Replies
98 Views
The 47 Most Prominent Tribes in Africa 1. Maasai (Kenya🇰🇪, Tanzania🇹🇿): Migrated from the Nile Valley between the 15th and 18th centuries AD. 2. Zulu (South Africa🇿🇦): Rose under Shaka Zulu in...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Heshima Mbele, Mbowe aifilisi NSSF *Adaiwa milioni 1,200, hataki kulipa *Atumia sheria kukwepa asifungwe *Adai iliyokopa ni kampuni si yeye na mwandishi wetu MWENYEKITI wa Chama cha...
2 Reactions
1K Replies
102K Views
Hebu tujiulize Mhe. Mbunge kwa kipindi cha miaka 4 na miezi 6 amefanyia nini makundi yafuatayo. 1. Vijana ( bodaboda, bajaji, timu za mipira, wanavyuo, vijana wa mtaani, na wahitimu wa fani...
1 Reactions
7 Replies
201 Views
Msikilize kwa makini if interestd anyway! Nawakaribisha machawa wote wa FAM na TAL, kuna cha kujifunza kikubwa kuhusu wajumbe kuwa informed who to vote for! Maridhiano basi, sasa utatumia mbinu...
4 Reactions
56 Replies
2K Views
Back
Top Bottom