Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nimeshangaa juzi kumsikia MTU anayejiita Mbowe , Kwa kusema moja ya faida ya maridhiano ni chama kupata ruzuku ambayo ni bil 1 .6 iliyotumika kununua jengo ambalo ndo ofisi ya chadema na makao...
1 Reactions
0 Replies
111 Views
Je, Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025? Au atavuka boda na...
1 Reactions
96 Replies
2K Views
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana. Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni...
26 Reactions
305 Replies
24K Views
Tuhuma za Lissu kuhusu Abdul kuhonga watu zinaacha maswali mengi na tata sana, 1. Kwa nini Abdul ndiye anahonga watu na sio watu wa CCM au serikali? Kwa nini hawakutumika watu magwiji wa hiyo...
5 Reactions
18 Replies
525 Views
Kwanza nimpongeze Waziri Bashe kwa kuona umuhimu mkubwa wa hili. Waziri Bashe ni mmoja katika Mawaziri wachache wenye maono kwenye serikali yetu na naomba asichafuliwe aendelee, kwani Tanzania...
1 Reactions
1 Replies
503 Views
Kampeni za Lissu zinaonyesha ana visasi na ugomvi na baadhi ya viongozi, zinaonyesha kwamba hana nia njema kabisa. Anaingia kama mtu mwenye kisasi sidhani kama hata siku ya uchaguzi itafika akiwa...
7 Reactions
56 Replies
1K Views
Siyo kwamba Chadema tu ndio Kuna mgogoro la hasha ila vyama vingine havina Wahuni Wahuni kama akina Ntobi na Boni Yai CCM ndio Kuna mgogoro mkubwa sana kwa sababu Wabunge wao ni wa Viwango vya...
0 Reactions
2 Replies
126 Views
Hii ni tahadhari yangu kwa Mbowe kuwa ustaarabu na uvumilivu wake sasa ufike kikomo, vinginevyo kuna siku watu watakuzomea kama ilivyokuwa kwa Masauni leo kwenye msiba wa Mzee Kibao. Wenzako...
22 Reactions
62 Replies
3K Views
Heri ya Christmas Wanajamvi. Mjadala wa CHADEMA, kwa sasa ndio habari ya mjini, hata kwa wasiofuatilia Siasa. Imefikia hatua hata uteuzi na uapisho uliofanyika Ikulu ndogo ya TUNGUU uliofanyika...
1 Reactions
0 Replies
155 Views
Pokeeni Salam za Christmas kutoka Kwa Rais wa TLS Mh BAK Mwabukusi Kwa Watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi Yetu hii nzuri sana Salaam Maalum Ukurasani X Ahsanteni Sana Merry Christmas 🌹😃🐼🔥
1 Reactions
6 Replies
305 Views
kwa jicho la mbali naweza sema Lissu alipanga haya yanayotokea siku nyingi, pengine hata zaidi ya miezi 12 nyuma, na aliamua wapumbaza team Mbowe. Kwa hali ilivyo sasa Team Mbowe wanacheza game...
5 Reactions
12 Replies
568 Views
Siku moja tu baada ya Lissu kutumia masaa 4 akiwahutubia Watanzania na kuwapa sababu za kwa nini anatangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, huku nyuma Mbowe akaibuka na igizo la kuvamiwa na watu...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Amani wadau. Wengi wanahoji kwa nini serikali ya Tanzania haijafanya lockdown kama zilivyofanya nchi za Kenya, Rwanda ,Uganda ,USA etc.pia wadadisi wanajaribu kulezea madhara ya kutokufanya...
5 Reactions
116 Replies
10K Views
XxxxxX Twende Pamoja, kwa muda mrefu wapinzani wetu kisiasa wamekuwa wanasema udini na ukabila zaidi kwa swala la Ukabila wanalengwa watu kutoka mkoa wa Kilimanjaro anakotokea Mwenyekiti wetu wa...
17 Reactions
71 Replies
2K Views
TL alitwambia muda mrefu sana Abdul na Kiongozi CDM kumfuata kutaka kumpa Rushwa. Muda umeongea , Tumuamini lissu
1 Reactions
2 Replies
146 Views
Kwa akili zao wanajua hapo Chadema ipo madarakani sasa na watashitukia 2025 hii hapa wanapokea kipigo kikali tena. CCM mpya ya awamu ya tano haikuishia kuongoza kwenye kuwaletea maendeleo...
33 Reactions
139 Replies
44K Views
Tulionya kuwa huyu hafai kuwa kiongozi wa taasisi kama hiyo lakini bado akina Fatuma , Lisu and wasomi wazuri wengine wakampigia kampeni. Ona sasa hawezi kufungua mdomo kukemea haya yanayoendelea...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimekuwa nikishauri sana CHADEMA wazuie makada na viongozi wao kuropoka hovyo na badala yake awepo msemaji kama ilivyo kwa CCM wakawa hawanielewi. Leo hii chawa wa Mbowe ndugu Yericko Nyerere...
1 Reactions
39 Replies
645 Views
Kuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka...
9 Reactions
50 Replies
2K Views
Wanabodi, Kwanza kabisa, tukubaliane kwamba CHADEMA ya sasa hivi imepoteza kwa kiasi kikubwa Imani kutoka kwa wananchi na ushawishi wa chama hiki kwenye masuala mbalimbali nchini ni mdogo sana...
0 Reactions
0 Replies
156 Views
Back
Top Bottom