Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ninawagawa wapiga kura katika makundi makuu matatu 1. Viongozi waandamizi 2. Baraza la wanawake 3. Baraza la vijana FAM anatarajiwa kushinda kwa kutumia kundi la kwanza na la pili maana ndio...
4 Reactions
28 Replies
878 Views
Viashiria vinaanza kuonesha kuwa kuna uwezekano wahuni waliamua kumdhuru lissu ili kuichafua Serikali ya Magufuli. Tukio hili limeshangaza wengi na hayati Magufuli alishindwa kulilieleza kutokana...
8 Reactions
85 Replies
4K Views
Mwana JF nguli, Akihojiwa Radio DW Pascal Mayala, amemchambua Dr Bashiru. Amesema Dr Bashiru kapata ajali kubwa sana kisiasa na hatoinuka tena. Pia kadai Magufuli amiini usiamini alikuwa...
27 Reactions
203 Replies
26K Views
Inadaiwa Halima Mdee alivuliwa uanachama na Kamati kuu ya Chadema. Kuvuliwa uanachama maana yake Halima Mdee alipoteza Ubunge automatically. Sasa ilikuwaje tena Freeman Mbowe amtafutie kazi...
2 Reactions
48 Replies
3K Views
Katika kukiunganisha chama na kuondoa tofauti zetu, tafadhali sana Mh. Freeman Mbowe, mara baada ya kushinda kwa kishindo katika nafasi ya uenyekiti, mteue ndugu Halima Mdee kuwa katibu mkuu wa...
2 Reactions
12 Replies
670 Views
Tokea tupate uhuru nchi imekuwa ikiongozwa na serikali za chama kimoja tu, CCM [TANU]. Katika hii miezi mitatu ya utawala wa Magufuli tumeshuhudia uozo wa aina nyingi ukifunuliwa. Nina imani...
29 Reactions
145 Replies
15K Views
Picha: Dkt. Willbrod Slaa Mwanasiasa Willbrod Peter Slaa amefanya mahojiano na kuzungumza mambo mengi kuhusu siasa, mahojiano haya ni mwendelezo ya interview aliyofanya wiki iliyopita. TAARIFA...
55 Reactions
446 Replies
25K Views
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki...
19 Reactions
300 Replies
17K Views
Huyu Mzee Ali. M. Kibao aliwahi kuwa Mwanajeshi kwa nafasi yenye hadhi kiasi flani. Hakuwa mtu wa mitandao sana. Huwezi msikia akipinga jambo la Serikali au kukemea. Alikuwa silent sana. Na...
35 Reactions
182 Replies
13K Views
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician! Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali! Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko...
16 Reactions
122 Replies
2K Views
Hellow!! Najiuliza, hivi Inawezekana vipi kumtuliza kirahisi Simba au faru aliyejeruhiwa Kwa risasi Kwa vipande vya Fedha? Ama Kweli ,RUSHWA hupofusha ufahamu. Karibuni 🙏
0 Reactions
3 Replies
154 Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati bwana Dotto Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Imefuta zaidi ya tozo na kero 370 Kwa lengo la kukuza biashara na uwekezaji Nchini. Bwana...
0 Reactions
21 Replies
690 Views
Binafsi huwa natamani sana siku moja kumuona Tundu lissu akiwa na mafanikio makubwa sana katika siasa sababu naamini ni mzalendo na msema kweli. Lakini kwa namna nilivyowasikiliza Makonda na...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Nawatakia Watanzania wote X-Mass Njema Mungu wangu mwenye nguvu sana atutee wote hasa tunapoingia mwaka 2025 tuliombee sana Taifa na CHADEMA
16 Reactions
50 Replies
941 Views
Mhe Tundu Lissu tunajua utashinda Uchaguzi huu kwa zaidi ya 80% Ombi letu sisi wafia chama tunaomba mara baada ya kushinda Mrudishe Zaynab Ashraf pale Makao Makuu ya Chama, Tatizo la Mbowe ni...
2 Reactions
8 Replies
367 Views
Ilikuwa ni kama utamaduni wa jumba jeupe kufanya hivyo kwa mahospitali, vituo via yatima au wazee. Labda mnikulu yuko bize, amesahau kufanya hivyo krismas hii
0 Reactions
6 Replies
194 Views
Moderators spare this clip Lisu ni kigeugeu. Hafai kuwa kiongozi. Akili zake zimekwenda tenge kidogo amesahau clip hii! akili haiko sawa Msikilize please maana amewananga wenzake kuhusu...
3 Reactions
45 Replies
803 Views
Uchaguzi wa mwenyekiti CHADEMA (T) safari hii na awamu ni very unique... Ni wa kipekee kwa sababu awamu nne (2004, 2009, 2014 na 2019) ambazo mwenyekiti wa sasa Mh Freeman Mbowe alikuwa akishinda...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwigulu ameeleza kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndo sababu ya CAG kama taasisi/ofisi kuongezewa bajeti zaidi ya 60% ya awali ili aweze fanya ukaguzi kila kona na kila angle. Leo hii CAG wa...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Nawasalimu Wakuu, Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu? Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata...
96 Reactions
451 Replies
48K Views
Back
Top Bottom