Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika dhidi ya Dola kiasi kwamba watu wanatafuta Shilingi kuliko kutafuta Dola. Hali hii imejilo baada ya kuimarika Kwa Mauzo Nje ya Nchi na kumiminika Kwa...
3 Reactions
83 Replies
2K Views
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii, Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=? Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si...
36 Reactions
229 Replies
7K Views
Ukiangalia dini zote kubwa mbili za Uislamu na Ukristo zinazuia wanawake kuwa viongozi lakini ukiacha Uarabuni sehemu nyingine zote za dunia ikiwemo Tanzania hayo maelekezo na Tamaduni za dini...
5 Reactions
34 Replies
880 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili mkoani Tabora kwa ajili ya ziara ya siku mbili, ambapo baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Tabora, na kupokelewa...
1 Reactions
1 Replies
190 Views
Uchaguzi wa CHADEMA unafanyika mapema mwaka ujao. Mimi nawasihi Wana CHADEMA twende na Tundu Lissu tuachane na Viongozi wanaoendekeza RUSHWA ndani ya Chama. Tundu Lissu atakijenga Chama chenye...
2 Reactions
0 Replies
175 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje...
1 Reactions
126 Replies
2K Views
Wakati joto la Uchaguzi Mkuu katika nafasi za Udiwani na Ubunge unaotarajiwa kufanyika hapo mwakani 2025 likiendelea kupanda, imeelezwa kuwa baadhi ya wanasiasa waliopo madarakani wameanza kupata...
3 Reactions
9 Replies
418 Views
https://youtu.be/DH4p2T6eIcI?si=SoYq_5G1ZgUb8z9f
0 Reactions
1 Replies
120 Views
Hata baada ya viongozi wao kutekwa na kuuawa hadharani na vikosi vilivyotumwa, na hata baada ya RPC wa Songwe kutumikishwa kumkamata Mbowe kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa, na hata baada ya...
6 Reactions
34 Replies
992 Views
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin...
28 Reactions
57 Replies
3K Views
Dar inapangwa upya, Sinza inasukwa upya, maeneo jirani na Mlimani City yanasukwa upya. Serikali inaenda kutwaa eneo la ukubwa wa mita za mraba 233,000 na kulipanga upya. Maeneo kama Sinza yana...
14 Reactions
204 Replies
8K Views
Wakihutubia mkutano kwa pamoja Tundu Lisu,John Mnyika, na Godbless Lema (Singida mjini jana), walisema kuwalazimisha watu kuchangia mwenge ni dhuruma iliyopitiliza kwani mwenge kila mwaka...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kidumu Chama cha mapinduzi. Nimeanza na salamu mapema ili ujumbe ufike vizuri kwa watu wote. Lissu ame na atasaidia sana Chama changu cha Mapinduzi. Ni kama kioo. Anahitajika mtu kama Lissu...
4 Reactions
5 Replies
188 Views
Katika kipindi cha Julai 2023 hadi Machi 2024, Shirika la Madini Tanzania STAMICO lilipata kandarasi tatu (3) mpya za uchorongaji madini kama ifuatavyo; Kampuni ya Fluxing Resources ya Chemba -...
1 Reactions
0 Replies
172 Views
Zambia, Hakainde Hichilema amekuwa Rais wa chama cha UPND kwa miaka 18 Kenya, Raila Odinga amekuwa Kiongozi mkuu wa ODM kwa miaka 20, ameachia uongozi kugombea nafasi ya uongozi AU. Uhuru Kenyata...
3 Reactions
8 Replies
255 Views
Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa...
15 Reactions
106 Replies
7K Views
Viongozi wengi wa Africa wakiingia Madarakani huamini wao ndio pekee wanaweza kuongoza na hata kama mambo yakienda vibaya bado huamini wenyewe pekee ndio huweza yaweka yakae sawa . Tabia hii ni...
5 Reactions
23 Replies
546 Views
Kutokana na maneno aliyoyasema mbowe akiwa nawaandishi wa habari nyumbani kwake Jana tarehe 18.12.2024 imejidhihirisha kuwa CHADEMA NI Mali ya mbowe maana kwa kinywa chake na nukuu" CHAMA CHANGU...
0 Reactions
1 Replies
161 Views
Chama changu cha Mapinduzi Tukitaka kuendelea kuongoza nchi tubadili mbinu Hakikisha hatuweki mtu anayetumia nguvu kubwa kijibrand badala ya kazi kumbrand, kuna Vijana ambao kwakweli tuwe wakweli...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Huwezi ukawa serious unataka mabadiliko Utapokea Rushwa toka chama tawala. Huwezi kuwa serious unahubiri mabadiliko ukapokea maelekezo toka chama tawala nani agombeee na Nani asigombee. Huwezi...
13 Reactions
66 Replies
1K Views
Back
Top Bottom