Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa bahati mbaya Afrika umaskini, maradhi na ujinga ni mkubwa kiasi kwamba waafrika tumeachwa hoi tumetopea kwenye ugiligili wa shida zetu hata kushindwa kuwa na vipaumbele vyetu. Mwaka huu...
2 Reactions
53 Replies
593 Views
WADAU wa Bandari wameishauri serikali kuruhusu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuendelea kukusanya tozo itokanayo na huduma za bandari (wharfage) kama ilivyo sehemu zote duniani. Ushauri huo...
0 Reactions
2 Replies
535 Views
Wanabodi, Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba...
7 Reactions
39 Replies
1K Views
Kukosekana Mbowe Lissu Bungeni 1. Maswali ya papo kwa pao yamepotea, na hata yakiwepo sio yale tuliozoea 2. Mijadala mikali ilikuwa inamsha hisia kwa Watz sas haipo 3. Bunge kufatiliwa na watu...
3 Reactions
1 Replies
174 Views
Serikali imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 136.2 kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakala ya Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), kwa ajili ya kurejesha hali ya awali ya miundombinu ya...
0 Reactions
5 Replies
427 Views
1. Unaosema wanakutukana ni kuwa wanasema HARD FACTS about you hakuna mwenye ubavu wa kukutukana.. Wanachokisema wanasiasa wa upinzani kwenye majukwaa ni facta probantia or to the worst side ni...
40 Reactions
39 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa masharti ya kifungu cha 10 cha sheria ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani No. 1 ya mwaka 2024. WASIOKUWA NA SIFA YA KUANDIKISHWA >Iwapo mtu yupo chini ya kiapo cha utii wa...
0 Reactions
14 Replies
306 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimefuatilia mijadala mbalimbali ya kisiasa inapokuwa ikifanyika katika maeneo mbalimbali, iwe ni mitaani au kwenye mitandao ya kijamii. Nimekuja kugundua kuwa CHADEMA na...
5 Reactions
140 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,amekutana na kufanya mazungumzo na mgombea Urais wa Msumbiji Kupitia FRELIMO...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Mafanikio ya Yanga na Klabu nyingine yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na hamasa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia ambapo amekuwa akitoa shilingi milioni tano kwa kila goli linalofungwa katika hatua ya...
11 Reactions
17 Replies
750 Views
Kwa wiki nzima watu wamekuwa wakijadili uwezo wa akili wa baadhi ya viongozi wa UVCCM na baadhi ya viongozi wa dini, kufuatia kauli zao kuwa eti Serikali iufungie mtandao wa X (zamani twitter)...
0 Reactions
2 Replies
171 Views
Amayesema hayo wakati Akisoma Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, leo Juni 13, 2024 === Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amependekeza kutoa msamaha kwenye...
0 Reactions
13 Replies
637 Views
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kwa tathmini za deni la taifa la Tanzania, bado tuko vizuri kukopa zaidi ikifananishwa na nchi zote za Africa Mashariki na SADC. Mwigulu amesema hayo...
2 Reactions
12 Replies
636 Views
Nawakumbusha tu Leo ndio ile siku tuliyoishbiri kwa hamu Tanzania na Africa Mashariki kwa ujumla Usiondoke JF 😄
3 Reactions
32 Replies
646 Views
https://www.youtube.com/watch?v=KrVDElRFPyc
1 Reactions
6 Replies
399 Views
Rais Magufuli anafungua kiwanda cha ngozi kinachomilikiwa na tajiri maarufu nchini Dr Rostam Aziz Kihonda mkoani Morogoro. Tukio liko mubashara TBC Channel ten na ITV Up dates; Rais Magufuli...
13 Reactions
147 Replies
18K Views
Mawakala hao wamekuwa wakikusanya kodi kutoka kwa Wananchi na wamekuwa wakiziwasilisha kusikotakiwa kwa mujibu wa sheria. Ni vyema ifahamike kuwa kodi. Ifahamike kuwa yoyote anayekusanya sio yeye...
2 Reactions
2 Replies
303 Views
CHADEMA, kama chama kikuu cha upinzani, imekuwa ikisisitiza hitaji la Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya kama msingi wa kushiriki uchaguzi wowote. Msimamo huu umetokana na malalamiko ya mara kwa...
3 Reactions
27 Replies
598 Views
TANESCO KUOKOA BILIONI 30 KILA MWAKA MKOA WA KAGERA UTAKAPOINGIA KWENYE GRIDI YA TAIFA 📍Yasaini mkataba na kampuni ya Mhandisi Mshauri ya Shaker na kampuni ya usimamizi miradi ya umeme ya PDC...
0 Reactions
0 Replies
247 Views
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu ametoa taarifa ya Michango ya Gari hadi Leo hii Jumla ya Michango ni tsh 76,615,957 ambapo kwa wastani ni sawa na tsh 3,192,332 kwa siku Mungu...
10 Reactions
38 Replies
1K Views
Back
Top Bottom