Waziri Mwigulu Nchemba amesema Serikali ina mpango ya kupandisha hadhi ya Tanzania kuwa na uchumi wa kidijitali na mojawapo ya hatua kubwa inayochukuliwa ni kuwa mfumo madhubuti ya kidijitali...
Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba ametaja athari za Kimbunga Hidaya na Mvua za elnino kuwa ziliharibu barabara 68 nchini, ambapo ma-culvet 189 yaliharibiwa. Aidha ni jumla ya kilometa 528...
KAZI YAKAMILIKA UTEKELEZAJI MRADI WA MAJI SAME-MWANGA
Mradi wa Maji Same-Mwanga maelekezo ya Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia makamu wa Rais Mhe Dkt...
Kwa wataalam wa bajeti na masuala ya uchumi, ni waziri gani wa fedha amewahi kukopa fedha nyingi kwa muda wa miaka mitatu ya uongozi wake kama Mwigulu Nchemba?
Kukopa siyo tatizo, je mikopo hii...
BREAKING: Prof Ibrahim Lipumba leo ametangaza nia ya kurudia wadhifa wake wa Mwenyekiti Taifa wa CUF, amemuomba Katibu Mkuu atengue maamuzi yake ya kung’atuka katika wadhifa huo mwaka jana...
Ukikaa kwa makini na kutuliza ubongo utagundua kuwa CCM n chama kinachofaa kuwepo madarakani hii ni kutokana na mambo haya yafuatayo:
Elimu bure
Siasa za uwazi
Miundombinu imara (barabara)
Huduma...
Makamu mwenyekiti wa UVCCM Taifa Rehema Sombi amewataka Vijana kuendelea kutumia mitandao ya kijamii bila kujali ni Mtandao gani
Sombi ametoa kauli hiyo mkoani Geita. Ikumbukwe mwenyekiti wa...
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) CPA Charles Kichere lwo Ikulu akiisoma ripoti ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2021/2022, amesema deni la Serikali kwa sasa ni Tsh. Trilioni...
Kwamaelezo ya Tundu Antipasi Lisu aliyoyatoa kwenye mikutano yake ya hivi kalibuni niwazi kua Tanganyika iliuhitaji zaidi muungano kuliko Zanzibar, ndiomana tukawa tayali kuingia hata hasara ili...
Wakati akiongelea hali ya uchumi na mpango wa maendeleo bungeni leo Juni 13, waziri Kitila Mkumbo amesema wataendelea kuzingatia nafasi ya madini kukuza ujazo wa mauzo nje ya nchi na kuzingatia...
TAARIFA KWA UMMA: MAMEYA NA WAFANYABIASHARA COMORO KUSHIRIKI MAONESHO YA SABASABA
Kufuatia juhudi za utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi, Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro kwa kushirikiana na...
Wakuu, Wahusika,
Ni matumaini yangu mmejaa rehema na amani Asubuhi hii katika kukabiliana na majukumu yenu. Nawaombeni muda wenu mchache kutathmini Uzi huu ili kuweza kulinusuru Taifa.
Mada...
Nchi ya Senegal imeanza uzalishaji wa Mafuta ghafi Kwa mara ya kwanza ambapo itaanza na mapipa 100,000 Kwa siku Kupitia Kampuni ya Australia.
Visima vya Mafuta vilivyopo ndani ya Bahati(kama gesi...
Hakuna cha muda mfupi wala cha muda mrefu sera ile ni kuliuwa taifa.
Tunaposema kufungua mipaka sasa tuko SADC,EAC mahusiano na Burundi na Congo utaenda Angola au South Afrika kuongea kiswahili...
Niseme tu kwa ufupi yule Mwamba alikuwa ni Mbeba Maono wa Ukweli siyo wa Mchongo
Mzee Mwinyi: Mambo yaliyotushinda Sisi Watatu kwa Miaka 30 Magufuli kafanya kwa Miaka 3
Dr Shein: Wakati Magufuli...
Kama unabisha soma katiba ya CCM halafu uniambie wapi ni pabaya
Hata yale yanayodhaniwa ni madhaifu mfano Fomu Moja Yako kwenye Utamaduni wa chama siyo katiba
Sasa Njoo kwa Watani zetu Chadema...
Ni vema nyakati hizi tukawa tunaelezana mambo kwa usahihi kabisa tukiongozwa na nguli wa industry husika
Kwa sasa story ya mjini ni mikopo
Niwaombe Nguli wa Finance watujuze Mikopo Nafuu kwa...
Tanzania imefanikiwa kupata Mkopo wa Shilingi Trilioni 2.75 kutoka WB Kwa Ajili ya mradi wa DMDP 2 Jijini Dar na Kukuza Uchumi kupitia sekta binafsi Kwa kuondoa vikwazo vinavyokwamisha Ustawi wa...
Mochwari ya Muhimbili inazidi kunishangaza. Wakati kuna vituko vya kuchanganya maiti likijitokeza kwa zaidi ya mara mbili na Baadhi yao walichukuliwa hatua na wengine kubakizwa kuna hili lingine...
Uhuru uliopitiliza kikwazo kimaendeleo, kwa maslahi mapana ya taifa sheria maalumu ya kuweka watu kizuizini ianzishwe
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu wazalendo
kwa hali iliyopo ya uhuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.