Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Nyumba hii ina 1 Master bedroom LIving room KItchen Dinning Store Public toilet Kama una ushauri unaweza kutoa ushauri Kama unahitaji tukuchoree raman yenye muonekano huu nichek 0743257669...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa fedha zaidi ya Bilioni 44 kwa ajili ya ununuzi wa Vifaa Tiba pamoja na Bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa...
0 Reactions
1 Replies
198 Views
Nimeona haya mashimo ya Choo mtandaoni je Ubora Wake ni Mzuri tusije Kujichanganya tukahama Kwenye Uchumbaji wa Mashimo marefu tukajuta Baadae: Sifa zake wanasema. 1. Hayajai kamwe 2. Hanachukua...
6 Reactions
48 Replies
4K Views
PIC YATAKA WAKANDARASI KUMALIZA KWA WAKATI UJENZI KIWANJA CHA NDEGE MSALATO Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeuelekeza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS)...
0 Reactions
0 Replies
67 Views
Wakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo...
37 Reactions
186 Replies
10K Views
Offer: Ewe Mtanzania Nyumba Ni Choo Pata Huduma ya Ujenzi Wa Choo Cha Kisasa Kisicho Jaa Kwa Gharama Nafuu Na Rafiki Kwako Tunaptikana Temeke Dar es salaam Pia Mikoani Tunafika. BEI ZETU NI KWA...
0 Reactions
3 Replies
181 Views
Lete vihoja nini kilitokea ulipokamatwa na wakaguzi wa vibali vya ujenzi
1 Reactions
23 Replies
899 Views
Nje ya kutumika kama miti kwenye ujenzi na chanzo cha pombe ya ulanzi.. Mianzi pia ina matumizi mengine kwenye kupendezesha nyumba hasa kwa wapendao vitu asilia Special dedication kwa Malchiah na...
9 Reactions
726 Replies
4K Views
Tunaboresha makazi yako kwa garden za KISASA, na kujenga makazi kwa gharama nafuu Sana. Tupigie kwa Namba 0714693107.
2 Reactions
1 Replies
124 Views
TAUHIDA GALLOS AWATAKA WANAWAKE NCHINI KUJITATHIMINI ILI KUWA BORA ZAIDI KIUTENDAJI Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Magharibi, Mhe. Tauhid Gallos Nyimbo amewataka Wanawake nchini kujitathimini...
0 Reactions
0 Replies
40 Views
UJENZI WA SEKONDARI MPYA MUSOMA VIJIJINI: TWENDE KWA KASI KUBWA Kumbukumbu: Naomba kuwakumbusha kwamba hivi karibuni Mbunge wa Jimbo aligawa Saruji Mifuko 150 kwa kila kijiji kinachojenga...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Karibu ofisini kwetu ujipatie Accessories na Aluminium Kwa bei ya kiwandani. Bei zetu ni rafiki sana , Kwa DSM ukinunua mzigo utapata free delivery na Kwa mikoani ukinunua mzigo tutaupeleka hadi...
1 Reactions
17 Replies
607 Views
This is Africa and its traditions Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako 1: Muembe 2: Mbaazi 3: Muashoki 4: Mpanga Uzazi 5: Mbuyu Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza...
17 Reactions
137 Replies
3K Views
Naitaji Raman ya nyumba kwa budget ya 30M Raman yenye vyumba vitatu Master room Sitting room 2plain room Kitchen Studying room Store Public toilet UKUBWA WA ENEO NI 70 kwa 40
5 Reactions
13 Replies
451 Views
Kama unapenda vitu vya kipekee na ubunifu uliotukuka, kamwe huwezi kukutana na kazi hizi kisha ukaacha kutia neno.. Hapa ni ubunifu, usanifu na uchongaji uliotukuka... Siishi kuzitamani hizi...
4 Reactions
80 Replies
816 Views
Habari zenu wajenzi wa taifa hili,natumai mko vizuri kabisa. Back to the point, naombeni msaada juu ya hizo cement au powder za waterproof nahitaji kufahamu uwezo/ubora/na uimara wake pia nijue...
0 Reactions
1 Replies
89 Views
4 Reactions
148 Replies
1K Views
Back
Top Bottom