Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imepongeza ubunifu wa Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) katika ujenzi wa daraja la kamba za chuma kwenye barabara ya Tipri, Halmashauri ya Mji wa...
1 Reactions
3 Replies
198 Views
Wakuu jamii forum kisima Cha maarifa nataka nianze ujenzi nisaidieni ramani nzuri ya kisasa chumba sebule jiko choo ndani nitashukuru sana wakuu na ikipendeza kama mafundi mpo mpate na kazi...
5 Reactions
27 Replies
691 Views
KAMATI YA BUNGE YA TAMISEMI YATAKA ULINZI WA DARAJA LA MAWE GARKAWE OR-TAMISEMI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, imewataka wananchi kuacha shughuli za kilimo kando ya mto ulipojengwa...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Ila wajameni ujenzi una raha yake hasa pale mwanzonimwanzoni
3 Reactions
13 Replies
700 Views
Habari Wakuu, natumai mnaendeea vizuri. Msaada tutani kwa mwenye kufahamu dawa za Kichina zinasaidia kushusha maji kwenye shimo la choo kinachojaa haraka.
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Nataka kupaua mtindo wa kiduku sitaki mapaa manne nitapauaje naomba kama kuna mwenye ramani nzuri ya paa anisaidie
1 Reactions
10 Replies
418 Views
Serikali imedhamiria kuboresha Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuijenga upya ili kuwezesha huduma zote kutolewa ndani ya jengo moja litakalokuwa na vitanda 1,757 kutoka 1,435 vya sasa ambapo...
0 Reactions
1 Replies
104 Views
Toa maoni yako
4 Reactions
11 Replies
328 Views
Habari naomba nipate wauzaji wa material ya terrazzo floor
0 Reactions
1 Replies
92 Views
Never forget the ring beam. Never skip it either.no matter how broken. It's like a belt in your trousers 👖 or the elastic in your underwear 🤔. With them (it) things will fall apart. Your house is...
1 Reactions
2 Replies
163 Views
RC LINDI, TELACK: MIRADI YA ELIMU IKAMILIKE KWA UBORA UNAOTAKIWA Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mh. Zainab Telack amewataka Halmashauri ya Mtama kuhakikisha wanawasimamaia fedha za miradi ya ujenzi wa...
0 Reactions
0 Replies
62 Views
Kwa ufupi. Hii list ya materials ya plumbing, imekuwa ikinunuliwa sana kwa makadilio ya nyumba ya vyumba vitatu, Sasa kwa aliye kwenye ujenzi unaweza kupata list hii au ikaongezeka kidogo au...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Money talk bandugu . ukiwa nazo huhitaji kubanana na watoto sebuleni.. Wala weekend huhitaji kuikimbia nyumba yako.. Pembeni ya garden yako unaweza kuweka kitu kama hiki❤❤❤
1 Reactions
118 Replies
1K Views
Kwenye ujenzi wa nyumba hakuna kitu kinakula gharama na kuleta stress karma 'finishing' Leo tutaangazia kipengele cha urembo wa kwenye kuta.. Hapa badala ya kubandika mapichapicha yenye gharama...
4 Reactions
103 Replies
977 Views
Habari wanajukwaa, Naomba mwenye uzoefu wa kujua eneo la sq metre 400 (20×20) linahitaji nguzo ngapi na waya kiasi gani kwa kujenga fence (uzio)? Asanteni
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari za jioni ndugu zangu, Naomba kuuliza kiwanja chenye ukubwa wa 15x15 kinaweza kutosha nyumba ya vyumba vitatu sebule jiko na choo Kwa wanaojua naombeni msaada mnijulishe wadau maana Kuna...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
Hii ni kazi niliyofanya, picha ni kabla ya na baada ya kufanya kazi. Nilianza kwa kupiga ukuta plasta, nikamalizia kwa kuweka vipande vya tailiz chini. Ukihitaji nipigie 0624254690
11 Reactions
25 Replies
760 Views
Wakuu kama lipu imeshafanyika je unaweza kupaka rangi nyumba bila kuweka wall putty? Hii putty ina ulazima gani wakuu?
0 Reactions
14 Replies
430 Views
Nimemaliza Kupiga Mbao, site yangu wameshakuja watu wa sales wa makampuni mbalimbali, na wamenipiga saundi za kutosha. Mafundi nao waliopiga mbao wamenishauri ila walivyoona nimepagawa sielewi...
9 Reactions
135 Replies
15K Views
Leo nimefanya window shopping kwenye moja ya kiwanda kikubwa cha mabati nimeshangazwa sana kukuta bati zimepanda bei sana! Sijui tunaelekea wapi na nn hatma ya hili. Bati ya gauge 30 leo hi ni...
14 Reactions
154 Replies
17K Views
Back
Top Bottom