Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Nahitaji kuchukua mtambo wa umeme wa jua wa kulipia kidogo kidogo. nahitaji mtambo wa taa tano (bila TV) Makampuni ambayo ni machaguo yangu ya mwanzo ni Sunking na Dlight. Niliyogundua wakati...
2 Reactions
25 Replies
478 Views
Hizi ni baadhi ya picha za majengo mbalimbali mitaani kutoka uwanja wa Vita uko ukraine. Kinachoshangaza hata majengo ya serikali (magorofa Hadi nyumba za Kawaida) Nayo hayana beams Wala columns...
4 Reactions
93 Replies
9K Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
RAIS DKT. SAMIA: BARABARA YA BAGAMOYO - PANGANI - TANGA NA DARAJA LA PANGANI KUUFUNGUA MKOA WA TANGA KIUCHUMI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
4 Replies
214 Views
Nyumba ya mbao kuna vitu havitakuwepo. Gharama ya kubeba tofali ulikozinunulia au kama umefyatulia nyumbani hakutakuwepo na wasaidizi wengi wa fundi unaweza kuwa mwenyewe msaidizi. Kokoto na...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Tunauza mbao zilizokomaa zadawa buguruni 2/2 2900 2/4 5000 1 by 8 12000 1by10 16,000 Misumali inch 4 bei 3500 Misumali ya bati ya rangi pakt kg1 bei 10,000 .. Zote hizo ni ft 12...
0 Reactions
2 Replies
118 Views
RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI BARABARA YA BAGAMOYO - PANGANI - TANGA NA DARAJA LA MTO PANGANI (M 525) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
1 Replies
138 Views
RAIS SAMIA ASIKIA KILIO CHA WANANCHI BARABARA YA SONI - BUMBULI - OROGWE Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesikia kilio cha wananchi wa Bumbuli, mkoani Tanga kuhusu ujenzi wa barabara ya Soni -...
0 Reactions
1 Replies
126 Views
RAIS SAMIA: SERIKALI INAENDELEA NA UJENZI BARABARA YA AMANI - MUHEZA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Serikali inaendelea na ujenzi wa...
0 Reactions
1 Replies
92 Views
Zijue aina za tiles zinazozalishwa na goodwill Habari za muda huu wakuu leo nimekuja kwenu kwa kuwaelezea kwa uchache kuhusu tiles za Goodwill Kwanza kabisa goodwill ceramic ( T) company limited...
8 Reactions
29 Replies
10K Views
Naombeni mnisaidie sehemu yenye vyumba vya 30000 kwa dar
5 Reactions
156 Replies
2K Views
Hivi vinafaa zaidi kwa watoto, sehemu za jumuiya ama kwa wapenda ng'areng'are.. Usukumani hivi utauza sana (joke)😂 Kama si mpenzi wa rangirangi hivi havikufai kabisa.. Vipite kama huvioni😂
3 Reactions
158 Replies
743 Views
HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA TANGA BOMBO KUWA NA MUONEKANO MPYA Serikali kupitia Wizara ya Afya imejipanga kuanza ujenzi na ukarabati wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga (Bombo) kwa kuanzia na...
0 Reactions
3 Replies
176 Views
Hizi ni picha za mtandaoni.. Hivyo si lazima uagize nje kwa gharama kubwa ama uingie dukani Ukipata vipimo sahihi kulingana na ukubwa wako na ukawapata mafundi mahiri basi unaweza kupendezesha...
5 Reactions
84 Replies
1K Views
Wakuu mko vizuri? Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa. Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa...
57 Reactions
338 Replies
8K Views
Nimejaribu kuwaza namna na mpangilio wa Makazi haswa kwa uzoefu wangu kuishi Jiji la Dar. Inakuwaje huwezi kuona hili ni eneo flani wanaishi matajiri na halipaswi kuwa na viklabu uchwara au maduka...
4 Reactions
19 Replies
517 Views
Kuna siku ndugu yangu anayeishi uingereza aliniambia, inashangaza sana kwa nchi kama Tanzania ambapo mchanga unapatikana kila mahali halafu bado kuna watu hawachangamki kujenga na kumiliki nyumba...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Ukiachilia uwepo wa Mafundi, na matilio kama mchanga, kokoto, sumeti na uwepo wa fedha!?
3 Reactions
23 Replies
424 Views
Hapa nitaelezea Sababu za msingi zinazosababisha majengo yanayofanana kujengwa kwa gharama tofauti. Tuzungumzie mchoro wa nyumba ya vyumba vitatu vya Kulala kimoja kati ya hivyo ni master...
72 Reactions
574 Replies
111K Views
Back
Top Bottom