Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Kabla hujaingia kwenye kundi la walio wengi wanaolalamika kuhusu ubora wa bati katika kutoboka,kushika kutu, kupauka kwa sababu ya maamuzi yao wenyewe au kupotoshwa na wauzaji wenye tamaa ya pesa...
10 Reactions
22 Replies
7K Views
Wakuu, Naulizia gharama ya PVC board za dari nje ya nyumba. Zinauzwa sh. ngapi? Kwa nyumba za vyumba vitatu, sebule, jiko, dinning room & vyoo viwili, gharama ya ufundi ni Sh. ngapi? Msaada ili...
0 Reactions
2 Replies
132 Views
2 Reactions
24 Replies
219 Views
Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?
1 Reactions
3 Replies
172 Views
Habari wakuu, Tafadhali naomba mwenyevkujua dawa ya kupaka mbao nilizopaulia zisibunguliwe anitajie nikanunue. Naona mbao zilizopaulia zimeanza kuliwa. Asanteni sana
2 Reactions
35 Replies
2K Views
RAIS SAMIA AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA J.P MAGUFULI, WAFIKIA ASILIMIA 93 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekagua ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli...
0 Reactions
1 Replies
256 Views
Ukisikia finishing ni kaburi la pesa basi hapa ni eneo mojawapo Hizo tiles na paving blocks zinauzwa kwa square meter Kisha kuna gharama ya usafiri Halafu kusawazisha na kusindilia vizuri eneo...
12 Reactions
145 Replies
1K Views
Viambaza ni sehemu ya urembo na finishing kwenye ujenzi wa nyumba.. Nyumba isiyo na kiambaza ni sawa na mchuzi chukuchuku... Ama mboga isiyo na viungo Zufuatazo ni baadhi ya viambaza vyenye...
1 Reactions
38 Replies
530 Views
Jamani fursa zipo kwenye kila kitu mpaka vile ambavyo huwezi kiuvidhania.. Leo ni zamu ya vifuu vya nazi kwenye mapambo ya maua.. Vifuu vina mpaka mapambo ya mwilini lakini leo tunaanza na maua...
4 Reactions
77 Replies
571 Views
Hizi ni dizaini za majiko ya nje kwa ambao wameshajipata au kwa ambao viwanja vyao ni vikubwa na wanapenda vitu vizuri Bar wanajenga heshima kama kawa lakini home nako hawakusahau Heshima juu ya...
18 Reactions
71 Replies
1K Views
Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni...
35 Reactions
347 Replies
55K Views
Wadau wa ujenzi Naomba kuuliza kama kiwanja chenye ukubwa wa skweamita 112 kama kinafaa kujenga gorofa la floor kwa idadi yoyote? Natanguliza shukrani.
1 Reactions
7 Replies
168 Views
MBUNGE GULAMALI AHIMIZA USHIRIKIANO KATI YA WANANCHI NA JESHI LA POLISI UFUNGUZI WA KITUO CHA POLISI NKINGA, WILAYA YA IGUNGA Tarehe: 28 Februari 2025 📍 Mahali: Nkinga, Wilaya ya Igunga – Mkoa...
1 Reactions
3 Replies
93 Views
Habari....tuna offer kwa ajili ya mashimo ya choo yasiyo jaa! Natoa offer ya kununua mabomba na kujenga chemba zote...karibu boss MIKOA YA DSM, NA PWANI YOTE Shimo moja kwa laki 8 na mashimo...
1 Reactions
4 Replies
126 Views
Serikali kupitia Wizara ya Afya imewekeza Shilingi Bilioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kituo cha tiba mionzi pamoja na ununuzi wa vifaa tiba lililopo katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda...
2 Reactions
6 Replies
124 Views
1.unaweza kuikodisha anytime 2.una weza kuzalisha tofali mwenyewe weekend ukapiga kazi mwenyewe au assume kila usiku wewe ukawa ukazalisha tofali 200 hata kama ni kwa msaada wa kibarua means Kwa...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Nimeenda dukani kununua wall putty, nimekuta kampuni ya "Billion" na ya "Best Powder" ambazo sijawahi kuzitumia, always huwa natumia White Skim ya Magic Builders ambayo kwa sasa haipo eneo...
0 Reactions
4 Replies
149 Views
Habari wakuu, Kumekua na aina/brand nyingi sana za gypsum boards siku za karibuni. Katika ufuatiliaji wangu, nimekutana na brand zifuatazo: Made in India(bei kubwa Tsh 22000-27000) -Gyproc...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom