Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Kati ya hayo maeneo mawili wapi ni pazuri zaidi kumiliki kiwanja cha makazi ukumbuke kiluvya ni mwanzoni kabla hujafika kibaha ukiwa unatoka Dar es Salaam...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu kwema naombeni ushauri, hilo ni pagale langu nimepiga plasta nimeweka grills na mageti bado sijahezeka ila ninampango wa kuhezeka mwakan nauliza niliweka rafu floor haitokua shida asanten
10 Reactions
62 Replies
2K Views
Niliweka nadhiri kwamba kabla ya kufikisha miaka 35 hapa duniani lazima niwe nimejenga nyumba yangu na nimehamia kwangu, ndoto hii imetimia tarehe 23/2 nimehamia kwangu na kila nikiamka asubuhi...
89 Reactions
168 Replies
13K Views
Nitajuaje kama nyumba ninayotaka kununua ina migogoro? Nitajuaje kama labda nyumba ina mkopo bank?, nitajuaje kama kiwanja kipo na migogoro? Na mshikaji wangu ana budget ya million 25 anataka...
0 Reactions
5 Replies
360 Views
Habarini wajenzi Naomba tusaidiane kimawazo, kwa kuangalia ramani hii ya jengo, thamani yake yaweza kua shilingi ngapi? Natanguliza shukrani.
1 Reactions
10 Replies
346 Views
UVCCM YAGAWA SIMU 20,KADI ZA CCM 8,000 NA UVCCM 1,000 KUZIDI KUIMARISHA USAJILI WA WANACHAMA KIELEKTRONIK, MKOA WA LINDI Mwenyekiti wa jumuiya ya umoja wa Vijana wa CCM ndugu Mohammed Ali...
0 Reactions
1 Replies
200 Views
Wakati wowote ukitaka maana a wa ujenzi na ramani wasiliana nasi kwa 0621003092 We’re the Nation Of The People Limbu Nation Builders.
2 Reactions
0 Replies
198 Views
Nguvu ya kuanzia msingi hadi kwenye lenta inakuwaga ya kasi san,a kuanzia hapo hadi kumalizia wengi hurudi nyuma nini shida?
16 Reactions
89 Replies
4K Views
Ghawizah, Naomba msaada kwa yeyeto mwenye kuchora ramani anichoree ramani yenye sifa zifuatazo. ♤ Iwe ya vyumba vitatu(kimoja masta sio selfu tu), sebule na dinning. ♤ Iwe na public toilet. ♤...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama taifa tunaelekea....!!!! Kila kitu ni hovyo tu...ukisikiliza maneno yao unasema yes! Watu ndio hawa, ili ukweli ni hovyo hovyo
2 Reactions
0 Replies
140 Views
Kama mada inavyoijieleza hapo juu, ningependa kuwauliza wanaJF ni vitu/mambo yapi ya kuzingatia unapotaka kuanzisha kampuni ya usanifu majengo(Architects)? Napitia comments kwa maoni, ushauri na...
1 Reactions
2 Replies
241 Views
Natumai mko poa.... Wandugu mnisaidie ktk Moja na mbili kibishi Kuna eneo likubwa tu nikalipata ...likanikwangua ....ila lenyewe thamani si inapanda....hainiumizi Ni karibu ekari Moja na robo hivi...
1 Reactions
6 Replies
268 Views
"Maendeleo ya China katika miundombinu ni ya hali ya juu ni zaidi ya mara 100 ya Marekani." –Elon Musk Elon Musk aliposema hivyo hakutia chumvi ni uhalisi. Kihistoria tangu zamani Wachina wako...
4 Reactions
5 Replies
391 Views
Kama somo linavyojielewa hapo juu Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill)...
22 Reactions
378 Replies
67K Views
MAWAZIRI WA TANZANIA NA KOREA WAKUTANA, KUSHIRIKIANA KATIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU. Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa (Mb) pamoja na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe...
0 Reactions
0 Replies
176 Views
Habari wadau Nataka kuweka tank juu la 3000 lita liingize maji ndani sababu maji ys dawasa hayaeleweki yaani kutoka siku tatu mfululizo ni bahati kwahyo ikitokea hakuna ni mwendo wa kutoka na...
0 Reactions
5 Replies
992 Views
Je, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani? Nahitaji ramani pia
4 Reactions
133 Replies
30K Views
Ni urembo safi wa nguzo na madirisha ,ipende ngumba yako.
3 Reactions
13 Replies
828 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) akiwa ameambatana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi (Mb) wamekutana na kuzungumza na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya...
1 Reactions
2 Replies
197 Views
Nimekaona sehemu haka kanyumba nikakapenda, kapo simple, bila shaka ni chumba na sebule.
10 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom