Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habari wana bodi! Tazama huu mchoro kisha uniambie umeona mapungufu gani na nini kipunguzwe au nini kiongezwe ili kuleta kitu kizuri zaidi. Eneo: 40m x 20m = 800sqm Ninatanguliza shukrani.
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Kama unahitaji kufanya finishing za mjengo wako, basi kwa upande wa rangi, hakuna rangi bora kama za Silkcoat paint. Hizi ni rangi za kituruki -Hapa nazungumzia Stone au wengi wanapenda kuziita...
1 Reactions
4 Replies
777 Views
Habari! Nina wasalimu kwa unyenyekevu mkubwa Recreational pond ni aina mpya ya bwawa yanayofanana na mabwawa ya asili ambayo yanaweza kutumika kwa madhumuni mbalimbali, kama vile kuogelea...
3 Reactions
22 Replies
812 Views
Habari ndg zangu naomba msaada wa kupata ramani ya chumba 1 choo na sehemu ya jikoni tafadhali
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wanaJF, Ningependa kushiriki nanyi mambo machache kuhusu ujenzi kwa wale wanaoendelea na ujenzi, au wanaotarajia kufanya hivyo siku chache zijazo. 1. YAPASWAYO KUFANYIKA KABLA YA KUANZA...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) ipo katika hatua ya kumtafuta Mkandarasi kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa ujenzi wa madaraja mawili ambayo ni Daraja la Mkili lenye urefu...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
RAIS SAMIA AIPONGEZA AfDB, UTEKELEZAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA NCHINI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameishukuru na kuipongeza Taasisi ya Benki ya...
0 Reactions
0 Replies
104 Views
TANROADS GEITA YATEKELEZA MAAGIZO YA WAZIRI BASHUNGWA//YAKAMILISHA USANIFU BARABARA YA USHIROMBO-NYIKONGA-KATORO Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imetekeleza maelekezo ya Waziri wa Ujenzi...
0 Reactions
12 Replies
760 Views
Wakuu habari za muda huu? Naomba wauzaji wa tiles au yeyote mwenye kujua nani ambae ana hizi tiles za aina hii anijuze. Nimeshazitumia sehemu kubwa ila zimepelea kama box3 nimerudi kwa alieniuzia...
2 Reactions
7 Replies
993 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua barabara ya Mbinga - Mbamba Bay yenye urefu wa kilometa 66 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami...
1 Reactions
0 Replies
155 Views
Nina milioni 15 CASH na kiwanja kipo kigamboni nataka kujenga naomba kujua kwa pesa hiyo naweza kukamilisha nyumba nikahamia kabisa?
11 Reactions
29 Replies
2K Views
MUWASA YAENDELEA KUSAMBAZA MAJI YA BOMBA MUSOMA VIJIJINI Mitambo iliyofungwa Bukanga, Musoma Mjini, kwa ajili ya kuzalisha maji kutoka Ziwa Victoria ina uwezo wa kuzalisha lita milioni 36 za maji...
1 Reactions
1 Replies
159 Views
SERIKALI KUANZA UJENZI WA SONGEA BYPASS, KUONDOA MSONGAMANO WA MALOLI SONGEA MJINI. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali imedhamiria kuondoa msongamano wa magari makubwa...
0 Reactions
0 Replies
200 Views
Habari!! Naitwa Salehe nipo Dar, ni muhitimu wa Bachelor of Engineering in Civil kutoka DIT (2024). Nina uzoefu wa zaidi ya miaka miwili kama Civil Technician (Kuanzia 2018). Pia nimefanya kazi...
1 Reactions
5 Replies
382 Views
Wajumbe  hawa jamaa mnawaonaje ukizingatia wanakimbiza maudhui zenye mrengo unaofanana.Unadhani nani anameno makali kuliko mwenzie kimaudhui?
1 Reactions
1 Replies
172 Views
Nyumba ya vyumba vinne, sebule, dining, jiko, stoo na choo cha public. Kwa mahitaji ya ramani yake na nyenginezo, ujenzi nk. tuwasiliane kwa namba 0719086787
0 Reactions
4 Replies
376 Views
RAIS DKT SAMIA ARIDHISHWA NA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE SONGEA Kukamilika kwa uboreshaji wa Kiwanja cha Ndege cha Songea kumefanya Mkoa wa Ruvuma kuwa kitovu muhimu cha biashara kwani idadi ya...
0 Reactions
0 Replies
296 Views
Nakaribisha Developers wa Eneo la Familia lililopo Barabara ya CCM Mkabala na Kituo Cha Afya Katoro.Njoo na proposal.Familia inamilki Eneo na Nia ni Kujenga Trade Centre (Tayari Jengo 1...
0 Reactions
1 Replies
166 Views
RAIS SAMIA AKAGUA UKARABATI NA UPANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA SONGEA, BILIONI 40.87 ZATUMIKA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekagua na kupokea...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
Leo Bon yai kakwama kufikishwa mahakamani kisa Jeshi la magereza halina gari ya kumfikisha mahakamani Kwa Nini zile fedha zinazotolewa kwa timu ya Simba na yanga zisitumike kununua magari kwa...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Back
Top Bottom