Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Naomba kusaidiwa Nimejenga water tower yenye height ya mita 3.5 nimeweka tank la lita 5000 inlet line size yake ni robo tatu na outlet line size yake ni inchi moja na nusu, water tap ni 4 za (2 za...
2 Reactions
5 Replies
298 Views
Nataka kununua nyumba hii, mdau kaniambia Milioni 25. Ina yafuatayo √ Ina ukubwa wa SQM 100, + HATI. √ Ni nyumba ya chini, sio ghorofa √ Ina sakafu ya kawaida, haina tiles. √ Ina vyumba viwili...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba msaada wa kunifanyia makadirio ya nyumba ya kisasa yenye bedrooms 3 plus master room 1 ambayo itakuwa basement planned to be a kitcheni. Tukianzia kwenye boma lake itachukua sh ngapi...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Wajumbe wa bodi ya Tanzania Red Cross Society wakiongozwa na Rais wa Chama hicho Mh David Kihenzile wameonesha kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa nyumba 35 katika wilaya ya Hanang, mkoani...
0 Reactions
1 Replies
262 Views
MALIMA AWATAKA WAKADIRIAJI MAJENZI KUJITANGAZA Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima ameitaka Taasisi ya Wakadiriaji Majenzi Tanzania (TIQS) kutokaa kimya bali ijitangaze Serikalini na katika...
0 Reactions
0 Replies
125 Views
BASHUNGWA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA SEKONDARI JAKAYA KIKWETE - CHALINZE Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Dira ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Wataalamu naomba mnisaidie kunijuza kuhusu vibali vya ujenzi, binafsi nina kibali cha serikali za mitaa ila kuna mtendaji alikuja site akaanza kufokafoka nikamwambia kibali ninacho, sasa baada ya...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Habari Wana Jf Mimi nikijana wa miaka 22 nipo Arusha nimepambana na mtaa nikanunua kiwanja Sasa bado napambana ili niwekee room Moja na choo chandani naombeni mchanganuo wa material na bei. mpaka...
7 Reactions
14 Replies
768 Views
Ujenzi wa kisasa Kwa gharama ndogo kabisaaa!Nimeamua
6 Reactions
4 Replies
369 Views
Mtu anaomba kiwanja cha makazi, wakati huo ni karani wa Masijala, anajitahidi kucheza upatu akiwa mwajiriwa na anafanikiwa kununua kiwanja Boko, Salasala au Bunju miaka hiyooo. Kuongeza kipato...
11 Reactions
30 Replies
1K Views
Nimetumia materia zote tajwa hapo juu ,linapokuja swala la ukuta kuvamiwa na fungus naona kama chokaa Ina afadhali , ila suala la ukuta kupendeza chokaa inashika nafasi ya mwisho unless upate...
1 Reactions
11 Replies
638 Views
Habari wana JF. Leo toka asubuhi home sina umeme. Kwenye mida ya saa tano asubuhi Uemme wa Tanesco ulikuwa unakatika na kurudi baadae main switch ikajizima. Sasa kila nikiiwasha bado inajirudi...
1 Reactions
15 Replies
571 Views
Barabara ya kibada-mwasonga inayoendelea na ujenzi mkandarasi hajaweka barabara ya mchepuo (diversion) kitu kinachopelekea watumishi wanaojenga barabara hiyo kuwazuia watumiaji wa barabara...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
WAZIRI MHAGAMA: HUDUMA ZA UCHUNGUZI WA MAGONJWA SASA KUPATIKANA WILAYANI MWANGA Wanachi wa Halmashauri ya Wilya ya Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro sasa kusogezewa huduma za Afya za uchunguzi wa...
0 Reactions
0 Replies
153 Views
GEITA YATIKISA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO ● Wananchi wamshukuru Rais , Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza miradi ●Miradi ya maendeleo yatekelezwa kwa asilimia 90 ⚫️ Wilaya...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi za ujenzi wa vyumba vya madarasa, mabweni na mindombinu mingine ya shule ili kuboresha...
0 Reactions
0 Replies
173 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amekagua na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Msangani Government katika kata ya Msangani iliyopo Halmashauri ya Mji wa kibaha...
0 Reactions
0 Replies
172 Views
BILIONI 11.6 KUJENGA KILOMITA 7.5 BARABARA YA LAMI KATA YA USINGE - KALIUA Serikali imetoa Shilingi Bilioni 11.6 kwaajili ya Ujenzi wa Barabara ya kiwango cha lami yenye Kilomita 7.5 inayoendelea...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Wanasema kuzaa si kazi kazi ni kulea, unaposafiri na under teenage unawajibika kuhakikisha usalama wao ikiwezekana una lala nao chumba kimoja.
3 Reactions
1 Replies
304 Views
MBUNGE ALOYCE KWEZI ATOA MILIONI 2 KUJENGA CHOO CHA KISASA SHULE YA MSINGI MWAMANSHIMBA Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Mhe. Aloyce Kwezi tarehe 04 Oktoba, 2024 akiwa kwenye mahafali iliyofanyika...
0 Reactions
10 Replies
476 Views
Back
Top Bottom