Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Wakuu. Hivi kwa milioni 26 za Kitanzania unaweza kujenga nyumba ya vyumba viwili, sitting room, jiko na choo na ikaisha full kuhamia?
7 Reactions
47 Replies
4K Views
Nina swali dogo wataalamu! Kuna plot moja nilinunua miaka kadhaa iliyopita na nikabadilisha title. Ila kila mwaka nikilipia land rent jina bado linaonekana na mmiliki wa zamani, mara nyingi huwa...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Huu Ni utafiti mdg niloufanya ktk sekta nzima ya ujenzi wa nyumba, hasa za makazi Kuna kitu wengi hatukijui au Kama tunakijua, Basi hatujawai kukaa na kukizingatia Sana. Kiuhalisia gharama ya...
7 Reactions
21 Replies
2K Views
Naulizia kibali cha kujenga, ukiwa na cheti level 3 unaruhusiwa kujenga nyumba yoyote bila engineer? Kama ndiyo, nawezaje kupata kibali? Naomba msaada wakuu
0 Reactions
4 Replies
297 Views
kujenga kama haka hadi finishing kanaweza kugharimu kiasi gani? kwa bajeti ya kawaida tu?
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Vipi kuhusu mradi wa NHC wa safaricity arusha umetelekezwa? Anayejua muendelezo tafadhali atuhabarishe
1 Reactions
2 Replies
446 Views
MBUNGE MAVUNDE AZINDUA UJENZI JENGO LA MAPUMZIKO HOSPITALI YA MKOA WA DODOMA DODOMA MBUNGE wa Jimbo la Dodoma mjini, Mh. Anthony Mavunde amezindua ujenzi wa jengo la mapumziko la wananchi...
0 Reactions
0 Replies
333 Views
Mzigo tumesha utoa. Ni Ndogo tena Talk to us in this September to remember. 0621003092 Limbu Nation Builders.
1 Reactions
0 Replies
163 Views
HUDUMA ZA AFYA MUSOMA VIJIJINI: ZAHANATI MPYA 17 ZINAENDELEA KUJENGWA Huduma za Afya ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini, lenye Kata 21 zenye vijiji 68, zinaendelea kuboreshwa kwa ushirikiano mzuri...
0 Reactions
0 Replies
159 Views
Wadau naomba kujua gharama ya kuniletea Mchanga wa Kibahaa Lori 1 na Kokoto toka Lugoba.. Nipo maeneo ya Kibamba.. Hapa kwenye kokoto sijaamua bado kama ninunue Kokoto za kwenye Semi au Mende...
1 Reactions
4 Replies
379 Views
Karibuni sana wakuu kama unahitaji kujengewa Chemba nicheki +255624254690
4 Reactions
15 Replies
727 Views
Wakuu humu kuna watu wa aina mbalimbali ambao wana ujuzi wa mambo tofauti tofauti. Una yapi ya kumwambia kijana ambae anataka kununua kiwanja? Mambo gani azingatie ili asije akajuta huko mbeleni?
0 Reactions
9 Replies
571 Views
Samahani wakuu, Kwa wataalam wa mambo ya ujenzi naomba kuuliza swali. Hivi, kama umechimba shimo kubwa la maji taka (septic), kuna ulazima wa kuchimba shimo jingine kwaajili ya kudirect maji...
0 Reactions
10 Replies
411 Views
UJENZI WA DARAJA LA J.P MAGUFULI MBIONI KUKAMILIKA, BADO MITA 2 DARAJA KUUNGANISHWA: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amekagua na kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa Daraja la J.P...
1 Reactions
0 Replies
192 Views
Habarini wakuu naomba kufahamishwa gharama za ujenzi wa fence/uzio wa eneo la ukubwa wa sqm 91! Natanguliza shukurani!
1 Reactions
1 Replies
725 Views
Kwa nyumba ya bedrooms tatu na sebule nimejenga msingi wa coz tano nataka kujaza kifusi,je naweza kutumia magari mangapi haya ya kawaida yanayobeba mchanga kupajaza kifusi mpaka level
2 Reactions
5 Replies
322 Views
ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 830 KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL - NINO Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema Serikali imetoa zaidi ya shilingi Bilioni 830 kwa ajili ya kujenga upya...
1 Reactions
1 Replies
253 Views
SERIKALI KUJENGA UPYA DARAJA LA MBWEMKURU NA NAKIU, LINDI Serikali imesema inatarajia kujenga daraja lenye urefu wa mita 100 eneo la Mto Mbwemkuru lililopo mpakani mwa wilaya ya Ruangwa na Kilwa...
0 Reactions
1 Replies
153 Views
UJENZI WA SEKONDARI MPYA 12: FAMILIA MOJA YAJITOLEA KUCHANGIA TSH MILIONI 30 Wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini wanaendelea kushirikiana vizuri sana na Serikali yetu kwenye miradi ya ujenzi wa...
1 Reactions
0 Replies
153 Views
Naitwa Salehe nimemaliza elimu ya Bachelor of Engineering in Civil 2024 (DIT). Pia ni Civil Technician mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya mitatu katika kazi za ujenzi hususan ni Majengo. Kwa yeyote...
1 Reactions
4 Replies
416 Views
Back
Top Bottom