Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Wasalam... Ikiwa ni ijumaa safi kabisa yenye baraka na fanaka tele... Bila kuwachelewesha leo naomba niwakutanishe na mafundi wote ambao wapo hapa jf kutatua shida mbali mbali ukiachana na mimi...
7 Reactions
28 Replies
850 Views
Wataalam wa Saikolojia naomba mnisaidie. Jinsi ninavyo zidi kupata pesa, na ndio idadi ya kutembea na wanawake inaongezeka sana, tena nawapata Kwa urahisi sana tofauti nikiwa Sina pesa Ila...
6 Reactions
20 Replies
790 Views
DKT. NCHIMBI AWAAGIZA MWIGULU NA BASHUNGWA ULIPAJI FIDIA BUKOBA MJINI. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi amemuelekeza Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kuiwezesha...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
SERIKALI KUJENGA DARAJA LA KALEBE NA KYANYABASA – BUKOBA VIJIJINI Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali inakamilisha taratibu za kuanza ujenzi wa Madaraja makubwa mawili ya...
0 Reactions
1 Replies
182 Views
BASHUNGWA KUSIMAMIA MAELEKEZO YA DKT. NCHIMBI, BARABARA INAYOUNGANISHA KAGERA - KIGOMA KUKAMILIKA OKTOBA, 2024 Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuhakikishia Katibu Mkuu wa Chama cha...
0 Reactions
0 Replies
213 Views
Kumekuwa na malalamiko mengi kuwa nyumba za kuficha Bati maarufu kama Contemporary au Hidden Roof zina shida ya kuvuja sana, sasa wataalamu au mliofanikiwa kujenga hizo nyumba hebu tushauriane...
10 Reactions
87 Replies
8K Views
DKT. NCHIMBI AMUAGIZA BASHUNGWA, UJENZI WA BARABARA YA KYERWA - KARAGWE KUANZA Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel Nchimbi amemuelekeza Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa...
0 Reactions
1 Replies
190 Views
LIFAHAMU DARAJA LA RUAHA MKUU - MOROGORO Muonekano wa Daraja la Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 katika barabara ya Mikumi- Kidatu - Ifakara sehemu ya Kidatu - Ifakara kilometa 66.9...
0 Reactions
6 Replies
697 Views
Ndugu zangu, habarini. Naomba ushauri, nataka kujenga. Nimepigiwa mahesabu kwamba paka nyumba kuisha ninatakiwa mifuko 300 ya cement. Sasa, nafikiria kununua toka kiwandani kwa jumla ili kupata...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Agosti 5, 2024 kumefanyika makabidhiano ya mradi wa ujenzi wa nyumba 74 za waathirika wa maporomoko ya matope zilizopo katika eneo la Warret Wilayani Hanang kati ya Suma JKT na Ofisi ya Mkuu wa...
0 Reactions
2 Replies
410 Views
Kuna wanaoshinda kutwa nzima na mafundi apo saiti wakifatilia kila kinachoendelea lengo ni kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa. Mbinu hii inataka uvumilivu mkubwa maana kushinda tu sehem nayo ina...
9 Reactions
61 Replies
4K Views
RAIS SAMIA AIELEKEZA TANROADS KUTOA KIPAUMBELE KWA WAKANDARASI WAZAWA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wakala ya Barabara Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
254 Views
Ujenzi wa nyumba zetu za kuishi za watu mbalimbali zege halikwepeki ila umekua ni mtihani mkubwa sana juu ya upatikanaji wa "materials" Atokee tajiri mmoja basi aanzishe "dry ready mix concrete"...
3 Reactions
13 Replies
798 Views
Wanajamvi tuchangiane mawazo tafadhali kwa wale ambao wamekutana na kazi hizi mbili; 1. Mfumo wa choo cha kizamani, namaanisha unamuita fundi anachimba shimo anajengea vizuri kama tunavyofanya...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
BILIONI TATU (3) ZAKAMILISHA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA MOROGORO DC Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ina jumla ya Tarafa 6, Kata 31, Vijiji 149 na Vitongoji 733 pamoja na Watumishi wa...
0 Reactions
2 Replies
359 Views
Habari za leo wakuu Nina plan kujenga kagorofa total ocuppied space ya mjengo ni 238sq Nataman kujua makisio ya labour charge kama fundi, Natamani kujua makisio kwa floor 14*17 Naombeni msaada
1 Reactions
4 Replies
670 Views
Nyumba ina ukubwa wa mita 14 kwa 12.5, Ina vyumba 3, Sebule 1, Dinning room na jiko. Fundi ameniambia labor charge ya kuweka zege/rough flow ya inchi mbili nyumba nzima ni 500,000/-, Na ya...
3 Reactions
80 Replies
23K Views
Wanajukwaa Habari, Naomba kuwekwa wazi hivi hizi nyumba za NHC kwa hapa Dar zinapatikanaje? Au wanaoishi hizi nyumba wameshazinunua au hawahami? Mwenye experience kidogo please
3 Reactions
31 Replies
2K Views
  • Redirect
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) inaendelea na ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam Awamu ya Nne (BRT 4)...
2 Reactions
Replies
Views
WAZIRI BASHUNGWA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA KOREA KUSINI, WAJADILI NAMNA YA KUBORESHA MIUNDOMBINU NCHINI Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka nchi...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Back
Top Bottom