Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

RAIS SAMIA AELEZA JITIHADA ZA KUFUNGUA MKOA KATAVI KWA MIUNDOMBINU YA BARABARA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Serikali inaendelea na...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Wadau wote wa JF poleni na majukumu. Nimetenga 5M hadi 7M, Natafuta kiwanja Mwanza kiwe halmashauri ya ilemela au nyamagana. Sifa za eneo 1. Kiwe sehemu tambalale au mwinuko mdogo unaoruhusu...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari wakuu, Katika Pitapita zangu Juzi nilibahatika kupita Jiji la Mwanza baada ya miaka mingi kupita, Ni wazi kwamba niliwahi kuishi Mwanza miaka kadhaa nyumba baada ya kutoka mkoani, Kusema...
18 Reactions
245 Replies
8K Views
Ety wakuu,, hivi ratio nzuri kati ya Cement mfuko mmoja(Kg 50) na mchanga ni kiasi gani kwa matumizi ya kuchapia nyumba(Plaster). Maana nataka ukuta ulio imara zaidi hata msumari husiingie.. Hawa...
2 Reactions
28 Replies
12K Views
UJENZI WA DARAJA LA J.P MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) WAFIKIA 85%. Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) lenye Kilometa 3.2 pamoja na Barabara unganishi ya Kilometa 1.66, linalojengwa...
2 Reactions
4 Replies
514 Views
ZIARA YA ya MAKAMU WA RAIS MKOANI KIGOMA - Mkutano wa Hadhara Kata ya Makere, Muhambwe Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mhe. Dkt. Florence Samizi amesema kuwa Jimbo la Muhambwe linaongoza kwa...
0 Reactions
1 Replies
204 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Serikali inaendelea kuboresha miundombinu ya barabara katika Mkoa wa Katavi ambapo sasa barabara ya...
0 Reactions
1 Replies
320 Views
HUDUMA ZA AFYA NDANI YA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI Ukubwa wa Jimbo letu: Kata 21 zenye vijiji 68 na vitongoji 374 Idadi ya hospitali, vituo vya afya na zahanati: (1) Hospitali ya...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Goguryeo nimeamua nisihonge tena, baada ya msoto mkali wa Ajira bila kuwapo Kwa tumaini, nimeona sasa kidogo nachokipata nianze nunua walau tofali. Wakuu wangu naamini mnaweza nisapoti walau...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
BASHUNGWA ATOA TAMKO MPASUKO WA BARABARA BUSUNZU - KIGOMA, SIO UPIGAJI. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa uchunguzi umebaini mpasuko wa ardhi na kuporomoka kwa tuta la barabara...
0 Reactions
0 Replies
332 Views
DKT. MPANGO AKAGUA UKARABATI NA UPANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amekagua na kupokea taarifa ya maendeleo ya...
0 Reactions
0 Replies
346 Views
Kwa matumizi yetu ya kawaida ya nyumba ya kawaida. Mtu ataingia gharama kiasi gani akitaka kutumia umeme wa sola tu? Anahitaji installation ya Kw ngapi. Labda anatumia panels za watts 500...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
MKOA WA KIGOMA UTAKUWA MWANZO WA RELI KATIKA SEKTA YA MIUNDOMBINU: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu...
0 Reactions
0 Replies
241 Views
DKT. MPANGO AAGIZA KUKAMILIKA UJENZI WA BARABARA YA MALAGARASI -UVINZA IFIKAPO MACHI 2025. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amemuagiza Waziri wa...
0 Reactions
0 Replies
274 Views
Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro wameendelea kuchukua hatua za haraka kuziba mashimo yaliyotokeza katika barabara kuu ya Morogoro – Iringa hasa eneo la hifadhi ya Taifa...
0 Reactions
1 Replies
335 Views
Fundi wa paa,naomba unicheki DM....weka na sample ya kazi zako ...
2 Reactions
14 Replies
636 Views
It is just an idea na hizi dimensions na layout nimejaribu kuweka ili mwisho iwe kama hapa chini Hints Colums za kubeba slab iwe 2.5m Msingi wa kulia uwe coz 8 na kushoto uwe 4 tu ili ifanye...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za humu wakuu, Hivi gharama rasmi za ujenzi wa ghorofa za economic apartment zikiwa rosheni 8 mpka 10 znaeeza kukadiriwa kwa kias gaan?
1 Reactions
21 Replies
1K Views
NITAKUJA KUMKABIDHI MKANDARASI, UJENZI WA LAMI BARABARA YA OMURUSHAKA - KYERWA: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS)...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
Habari za asubuhi wana jukwaa wenzangu. Naenda moja kwa moja kwenye maada nipo kwenye hatua ya kupau nyumba. Nimeumiza kichwa sana kuwa ni bati gani ambazo zitaendana na uwezo wangu ALAF achana...
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Back
Top Bottom