Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Wakuu Habarini Za Mchana, Naomba Niende Moja Kwa Moja Kwenye Mada, Naomba Kupewa Elimu Na Ushauri Sahihi Juu Ya Uwekaji Wa Madirisha Ya Aluminium, Faida Zake Na Hasara Zake, Pia Ni Kwanini Wengine...
4 Reactions
43 Replies
12K Views
WAKURUGENZI WA HALMASHAURI JENGENI VITUO VYA BODABODA - MHE. MCHENGERWA Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuhakikisha wanajenga...
1 Reactions
9 Replies
307 Views
Nataka kujua gharama ya kupiga plasta vyumba viwili nnje na ndani, chumba master na single, na katikat kuna ki korido kina Choo public, pamoja na kuweka zege chini kwenye floor kote ndani
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wa ujenzi. Tafadhali naomba maoni yenu kwenye hii ramani, mnaionaje? Ina mapungufu gani? Niifanyie MABORESHO gani? Asanteni!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
MAKANDARASI WAZAWA KUPEWA MIRADI HADI YENYE THAMANI YA BILIONI 50: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali kupitia Wizara ya Fedha imesikia kilio cha Makandarasi Wazawa na...
0 Reactions
1 Replies
209 Views
Nyumba za contemporary au hidden roofing zimekuwa ni moja ya staili ya nyumba ambazo watu wengi kwa sasa wanapenda kuzijenga haswa vijana maana ndizo zilizo za ‘kisasa’ kwa sasa! Nyumba hizi...
18 Reactions
18 Replies
8K Views
Juzi kati kwenye posts zangu za nyuma niliezea ni namna gani mafundi wanatuibia tunapoamua kujenga nikawa na hofu japo nilipokewa comments mbalimbali kama sio wote Ila jana kwenye sehemu fulani...
4 Reactions
13 Replies
794 Views
Wadau, salaam! Ceiling ya sitting room ya nyumba yangu ina ukubwa wa eneo wa 36m² (yaani urefu ni mita 6 na upana ni mita 6). Nataka kuweka taa za surface. Nimeenda dukani nikakuta kuna taa za...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Mtu yeyote aliepo dar anaefahamu sehemu ambapo Kuna room kali tuchange, tulipie, tuishi ?
4 Reactions
67 Replies
1K Views
MAKALA YA 7 Karibu katika Makala yenye kukuhabarisha mambo kadhaa Juu ya Ujenzi,leo tunaangazia japo kwa ufupi juu ya "Nyufa" 1. Nyufa ni mpasuko/Mipasuko inayojitokeza katika sehemu ya jengo I.e...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini wadau huko mliko , najua mambo yanakwenda SAKO kwa BAKO kwa upande wenu, Rejea kichwa cha habari hapo juu nilikuwa nahitaji kufaham je vyumba viwil na sebule kwenye msingi itanighalim...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Anonymous
Kuna wafanyabiashara hasa wa Turiani (Madizini) Morogoro wanawauzia watu wasiojua bati za gauge 32, wakiwaambia ni 30 gauge. Na hawataki urudishe mzigo hata ukigundua kuwa bati hizo ni fake...
1 Reactions
11 Replies
662 Views
DISEMBA 30, 2024 DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG PASCHAL AMBROSE Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita...
0 Reactions
1 Replies
243 Views
Habari za asubuhi ndg wakuu. nimejitafuta kwa miaka 14 tangu nilipohitimu chuo sasa nafikiri kujiajiri kwa sababu nimesubiri ajira kwa muda mrefu bila mafanikio. Nafikiria kujiajiri katika fani...
2 Reactions
8 Replies
898 Views
Habari wanaJF Ni hitaji la kila mtu kuwa nyumba bora ya kuishi. Katika hatua za ujenzi tunajua kusimamisha jengo sio shughuli sana. Kazi inakuja kwenye kufanya finishing ambapo gharama zinaweza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu Nina mpango wa kufanya maboresho nyumbani na kwa kuanzia ninatamani kurekebisha choo na bafu, kuna tiles tayari ila style ya kizamani inaishia nusu ukuta so kwa sasa nataka kuweka...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
KAZI ZA UJENZI ZIFANYIKE KWA UBORA NA UZALENDO - DKT. BITEKO Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Makandarasi nchini kutekeleza miradi ya ujenzi kwa ubora na...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainab Katimba (Mb) amesema tayari wakandarasi wapo site wakiendelea na ukarabati wa barabara...
0 Reactions
0 Replies
213 Views
Changamoto hii imekua khbwa sana katika Maeneo mengi ya vijijini kutokana na ukosefu wa elimu na ujasiri kwa wananchi haswa waishio vijijini hata pale wanapofika viongozi wa kitaifa kwa kua...
0 Reactions
1 Replies
150 Views
Habari wanajukwaa Kumekuwa na debate zinaendelea kuhusu ubora wa vyoo hivi vya kisasa wanavyosema havijai kamwe kulinganisha na vile vilivyozoeleka. Naomba kuuliza kwa mwenye uelewa, kipi ni...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom