Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

NAIBU WAZIRI KATIMBA AWATAKA VIONGOZI HALMASHAURI KUSIMAMIA MIRADI YA ELIMU KWA WELEDI Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu), Mhe. Zainab Katimba amezielekeza halmashauri zote nchini...
0 Reactions
0 Replies
157 Views
DARAJA LA RUHUHU LABORESHA MAWASILIANO MKOA WA RUVUMA NA NJOMBE. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amekagua Daraja la Ruhuhu lenye urefu wa mita 98 ambalo linaunganisha Wilaya ya Nyasa Mkoani...
0 Reactions
3 Replies
496 Views
WAPANGAJI WA NYUMBA ZA TBA, KULIPA KODI NI WAJIBU: WAZIRI BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa(Mb) amewataka Wapangaji wanaokaa kwenye nyumba na majengo ya Wakala wa Majengo Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Tunachora ramani za majengo kwa gharama nafuu mno kuanzia 130,000/= na kuendelea. Hii ni kwa mikoa yote. Tupigie au WhatsApp 0759009331 Masaa 24 siku 7 za juma.
1 Reactions
0 Replies
253 Views
Tunachora ramani za majengo kwa gharama nafuu mno kuanzia 130,000/= na kuendelea. Hii ni kwa mikoa yote. Tupigie au WhatsApp 0759009331 Masaa 24 siku 7 za juma.
0 Reactions
0 Replies
233 Views
Nyumba ya vyumba vitatu
2 Reactions
8 Replies
685 Views
MBUNGE MAVUNDE AAHIDI UJENZI WA KIVUKO KINACHOUNGANISHA KATA YA MSALATO NA MIYUJI Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde akiongozana na Diwani ya Kata ya Msalato Mh. Nsubi Bukuku...
0 Reactions
1 Replies
233 Views
Wadau nawasabahi. Nimebahatika nimepata kiwanja Eneo la Mkorea njia ya kwenda Kibada chenye ukubwa wa 20mx30m. Mipango yangu nikujikakamua nijenge Ghorofa 1 ya vyumba 3 jiko dinning vyoo na...
5 Reactions
47 Replies
6K Views
Hello, Habari zenu wapendwa. Ninaomba uzoefu wa gharama ya ujenzi wa nyumba yenye sebule, chumba na choo cha public…ni standard tu ya kawaida.
7 Reactions
30 Replies
6K Views
Msingi nataka kujenga wa mawe na uwe juu urefu wa mita moja. Wataalamu naombeni makadirio ya gharama inaweza kufikia kiasi gani mpaka huo mjengo ukamilike kutokana na vielelezo vinavyoonekana...
5 Reactions
91 Replies
4K Views
Mimi ni plan ya kujenga mwaka huu, nyumba yenye vyumba vitatu katika mkoa wa PWANI. Sasa nilikuwa nataka kujua inwea kugharimu bei gani mpaka imamilike ili nijiandae vizuri financially.
2 Reactions
15 Replies
1K Views
RAIS SAMIA AMETOA BILIONI 150 KUJENGA BARABARA YA LUSAHUNGA - RUSUMO Mbunge wa Jimbo La Ngara Mhe. Ndaisaba Ruholo Amemupongeza Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa...
0 Reactions
4 Replies
375 Views
Wakuu habari, Hapo juu mada imejieleza ila nahitaji kujua utofauti na ubora wa mashimo yetu ya vyoo, maana hivi karibuni kumeibuka technolojia mpya ya uchimbaji wa mashimo ya vyoo (vyoo vya...
1 Reactions
1 Replies
722 Views
Salaam Wana jukwaa la Ujenzi,wakiwemo wahandisi Ujenzi na Mafundi wote.Nahitaji kujua standard ratio ya Kuweka Sakafu ya Cement ikoje .Nina Eneo lishawekwa Jamvi la Ukubwa wa SQM 145.Fundi...
1 Reactions
7 Replies
842 Views
Niaje waungwana, Kama swali linavojieleza hapo juu, ukiambiwa uchague sehemu moja tu ya kujenga kwa ajili ya makazi kati ya Chanika, Kibaha, Vikindu na Bagamoyo ila kiwanja unapewa bure. Ndugu...
17 Reactions
318 Replies
17K Views
Shalom wajoli wa bwana. Katika pitapita zangu hapa na pale nimebahatika kufanya kazi iliyonikutanisha na kundi kubwa la wastaafu wa wa makundi(nssf, psssf na wale wa serikali kuu (hazina)). Lakina...
0 Reactions
1 Replies
276 Views
Wadau poleni na majukumu nakuja mbele ya jukwaa nikiomba ushauri wa kampuni nzuri inayouza mabati kwa ajili ya kuezekea. Nimeuliza mafundi kadhaa wamenishauri nitumie migongo mipana lakini...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
RAIS SAMIA AKAMILISHA UJENZI WA MIRADI YA BARABARA ILIYOASISIWA NA JPM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya...
0 Reactions
4 Replies
423 Views
RAIS SAMIA ATOA WITO WATANZANIA KULINDA MIUNDOMBINU YA BARABARA KWA MATUMIZI ENDELEVU Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wasafirishaji...
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Mimi binafsi napenda nyumba simple, mfano dar likiwa flat na likawekwa taa za urembo Huwa inatosha sana na wengine wanamini kwenye urembo ambao ni complex kama ni dar atakuwekea maua nk , weka...
0 Reactions
0 Replies
409 Views
Back
Top Bottom