Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habar wanajamii, poleni na majukumu, Matumaini yangu mnaendelea vizur kwa wale wenye changamoto mbalimbali poleni. Naomba kuuliza kitu kimoja, Je ukitaka kupata raman ya sehem husika unaipataje...
1 Reactions
7 Replies
958 Views
Wakuu habari ya kazi, kijana wenu nimekuja kupata experience na ushauri kuhusu ujengaji wa nyumba. Kati ya kujenga nyumba kwa tofari choma ambazo kwa huku nilipo tofari mpaka site ni shilling...
5 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari Nahitaji kampuni inayouza viwanja vizuri kigamboni. Nia nikukunua kiwanja kikubwa kizuri na itapendeza zaidi kama watakuwa na utaratibu wa kulipa kidogo kidogo. Shukrani.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800. Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya...
47 Reactions
316 Replies
13K Views
Gharama za ufyatuaji zipoje kama simenti nitanunua mwenyewe.
2 Reactions
22 Replies
3K Views
WIZARA YA UJENZI YAJIPANGA KUFANYA MATENGENEZO MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA MVUA NA KUPUNGUZA FOLENI Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2024/25 Wizara...
0 Reactions
1 Replies
253 Views
Wadau habari zenu, katika harakati za kujitafuta kama kijana nimepata kiasi flan cha pesa nataka kujenga. Bajeti ya kiwanja ni 4 M to 5M. Nahitaji kupata kiwanja maeneo hayo ya maili moja sababu...
2 Reactions
7 Replies
901 Views
Habari wadau, Naomba msaada wa gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba 2(self), sitting room & kitchen. maeneo ya Mwanza Busweru. Habari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya...
2 Reactions
188 Replies
29K Views
Tokea nijhamie huku sijutii Hali ya hewa nzuri Sana kumetulia kibada Hadi mjimwema
14 Reactions
34 Replies
4K Views
Wiki iliyopita nili tafuta fundi mtaani aniwekee double socket Kwa room ambayo nilikuwa naitaji nyongeza ya socket ya kuweka tv ukutani, Sasa fundi akaja usiku sa mbili kupanda darini ,ilibidi...
8 Reactions
11 Replies
838 Views
UWANJA WA NDEGE WA KIA SASA KUSIMAMIWA NA TAA BAADA YA KADCO KUMALIZA MUDA WAKE Mhe. Condester Michael Sichalwe, Mbunge wa Jimbo la Momba leo tarehe 11 Novemba, 2023 ameshuhudia Makabidhiano kati...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Weka neno Foundation ya kitu gani hii, wataalam tupieni neno.
0 Reactions
2 Replies
399 Views
WAZIRI BASHUNGWA AAGIZA WAHANDISI WASHAURI WANAOSHINDWA KUSIMAMIA MAKANDARASI KUTOPEWA KAZI Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameiagiza Wakala wa Barabara (TANROADS) kutowapatia kazi za...
0 Reactions
1 Replies
271 Views
Wataalam, Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh...
1 Reactions
53 Replies
3K Views
BARABARA YA MAFINGA - MGOLOLO (KM 81) MKABATA KUSAINIWA KESHO DODOMA Mikataba ya ujenzi wa barabara saba (07) ambazo zimekuwa zikiongelewa kwa muda mrefu katika majukwaa mbalimbali ikiwemo ndani...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa kuangalia hii nyumba ya bwana Mwijaku ni wazu kuwa si ya 1.3bln. Kuna faida gani kukuza gharama/thamani ya nyumba? Kuna hasara gani?
2 Reactions
12 Replies
2K Views
MAKALA YA 6 Karibuni tena katika Makala ya ujenzi. Leo tujifunze machache juu ya Udongo wa Mfinyanzi na Uhusiano wake katika Ujenzi 1.Mfinyanzi ni moja kati aina kuu tatu za udongo. -sifa aa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana JF Karibuni kwenye Ardhi special thread huku tutapeana taarifa mbali mbali kuhusiana na Umiliki wa viwanja na Mashamba Pia tutapeana njia mbali mbali za kufanikisha maswala ya...
9 Reactions
36 Replies
3K Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kuhakikishia anasimamia masuala ya usalama katika vivuko vyote nchini ili...
1 Reactions
1 Replies
328 Views
Habari, Kama nina nyumba ya kawaida tu siyo ghorofa na sitaki kuibomoa ila mahali hapo hapo nataka juu ya nyumba hii nijenge nyumba nyingine ambayo haitategemezwa na nyumba hii ya zamani kiasi...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom