Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Heshima sana wakuu, Tumshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kutupatia uhai mpaka sasa tunapoelekea kuukamilisha mwaka 2021. Najua kwamba wapo wengi walitamani kuanza ujenzi wa nyumba zao na ni...
14 Reactions
444 Replies
59K Views
MBUNGE CONDESTER NA DG RUWASA ENG. KIVEGALO WAFIKA CHILULUMO, IVUNA NA KAMSAMBA KUTATUA CHANGAMOTO YA UKOSEFU WA MAJI VIJIJINI, JIMBONI MOMBA Mbunge wa Jimbo la Momba, Mhe. Condester Sichalwe leo...
1 Reactions
1 Replies
342 Views
BASHUNGWA AIPA MWEZI MMOJA KAMATI YA UWEZESHAJI WA WAZAWA SEKTA YA UJENZI Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa mwezi mmoja kwa Kamati inayoandaa Mkakati wa kuongeza ushiriki wa Wazawa...
1 Reactions
1 Replies
277 Views
Habari mwanafamilia wa jukwaa la ujenzi, Je, umewahi nunua kiwanja ukaanza na ujenzi kabisa alafu baadae ukagundua ulijichanganya kujenga hapo,, Twambie ilikuaje [emoji848] #Nimeitoa sehemu
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Habari Wataalamu, Naomba contacts za kiwanda cha kutengeneza paving grids, Hizi ni badala ya pavements na zinafaa Sana sehemu yenye majimaji au udongo unaokaa na maji, Zitasaidia kuondoa...
0 Reactions
2 Replies
363 Views
Wana Jamiiforums wenzangu khabari za jioni, kwa wataalam wenye talanta na taaluma za mambo ya ujenzi Naomba msaada wa RAMANI ya nyumba ya wapangaji. Ahsante.
2 Reactions
13 Replies
4K Views
MOMBA: DG RUWASA AFIKA JIMBO LA MOMBA KUTATUA KERO YA UKOSEFU WA MAJI Mkurugenzi Mkuu wa RUWASA, Eng. Clement Kivegalo amesema Wastani wa upatikanaji wa maji safi na salama nchini ni asilimia...
0 Reactions
1 Replies
336 Views
BARABARA ZINAZOUNGANISHA TANZANIA NA NCHI JIRANI KUENDELEA KUJENGWA NA KUKARABATIWA Serikali kupitia Wakala wa Baraba Nchini (TANROADS), inaendelea na Ujenzi na ukarabati wa Barabara...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
TANROADS KUTUMIA TEKNOLOJIA MBADALA UJENZI WA BARABARA NCHINI Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), imefanya majaribio ya awali ya matumizi ya teknolojia mbadala katika ujenzi...
0 Reactions
0 Replies
356 Views
Wenye uzoefu tujuzane. Kutengeneza mwenyewe paving Blocks au Kununua kipi nafuu? Kuna mafundi wameniambia mfuko mmoja wanachaji 6,000/- na unatoa vitafali 100-120. Kupanga napo ni makubaliano...
6 Reactions
51 Replies
14K Views
Ivi Tanzania hatuwezi kuanza kujenga nyumba km izi za Japan kutumia mbao na karatasi kwa sababu mi naona cement inachukua nguvu kubwa na bei sana; mb izi zipo so simple na nzuri pia? Imagina...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakati Moderators wakila Bata Ngorongoro na mimi kesho nielekee Kigurunyembe nikale Kanga! Hivi ni nani aliyeleta nadharia ya kwamba zile nyumba za kuficha paa almaarufu kama. "Contemporary...
2 Reactions
5 Replies
882 Views
Habari ya majukumu wakuu Bila kuwachosha sana niende moja kwa moja kwenye mada, nilinunua kiwanja kwa ajili ya makazi pemebezoni mwa mji kipindi hicho bado palikuwa hapajachanganya sana kama sasa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
SERIKALI KUSHIRIKISHA SEKTA BINAFSI UJENZI WA BARABARA NCHINI Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali kupitia wizara hiyo imepanga kuanza ujenzi wa barabara kwa ushirikiano wa Sekta...
1 Reactions
2 Replies
522 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa miezi miwili kwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kukamilisha taratibu zote za kiutendaji na Marekebisho ya Kisheria ili kuuwezesha Wakala huo...
0 Reactions
0 Replies
438 Views
Kipi kitakupa ubora ulio poa zaidi, isiokuwa na risk sana na yenye kukaa zaidi kwa muda mrefu. Ukitumia wall puty alafu ndio upake rangi. Au utumie white cement na gypsum powder alafu ndio...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza Aina gani au kampuni gani ya puty kwaajili ya ukuta,nimeona makampuni mengi ikiwemo jk wall puty ila yanabanduka haraka na rangi yake. Je, naweza kupata...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
TAASISI YA JAFARI CHEGE FOUNDATION YAENDESHA KAMPENI YA ONDOA PAA LA NYASI RORYA Mbunge wa Jimbo la Rorya ambaye pia ni Muasisi wa Taasisi ya JAFARI CHEGE FOUNDATION (JCF) ameendesha Kampeni...
0 Reactions
0 Replies
634 Views
MBUNGE REGINA NDEGE AITAKA SERIKALI KUFANYA TATHMINI YA KINA ILI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA MAPOROMOKO NA MAFURIKO KWENYE MIUNDOMBINU "Kuna mpango gani wa dharura wa kuzikarabati barabara za...
0 Reactions
0 Replies
389 Views
Mimi nimeona hii mijengo ni ya kisasa lakini ina teknology kama ya nyumba za dodoma
3 Reactions
2 Replies
737 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…