Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

We mteja muulize FUNDI wako akupe sababu ya kuchagua Aina aliyoichagua katika kusuka nondo ya nyumba yako . Ili ujue na madhara yake. (Technical reason ni Bora zaidi ye economic reason). Angalia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BASHUNGWA ATOA MWEZI MMOJA KWA WAHANDISI WOTE NCHINI KUWA NA LESENI. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewataka Wahandisi na Washauri elekezi wote nchini kuhakikisha wanakuwa na leseni...
0 Reactions
2 Replies
497 Views
Waziri Mhagama: Serikali Kujenga Chuo cha Ufundi VETA, Kata ya Liganga Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho amesema Serikali imefanya...
0 Reactions
0 Replies
301 Views
BASHUNGWA AAGIZA MKANDARASI ALIYEDHULUMU MFANYABIASHARA ATAFUTWE NA KUCHUKULIWA HATUA. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) amemuagiza Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB)...
0 Reactions
1 Replies
562 Views
Habari wakuu, Ningependa kupata ufafanuzi kuhusu gharama ya peving machine na vibao vyake kwa wenye uzoefu wa hii machine. Asanteni.....
0 Reactions
0 Replies
338 Views
SUpporting props ni nini? Na kazi yake kwenye ujenzi
1 Reactions
2 Replies
608 Views
Habari wakuu, nimekuja kwenu nikiwa na uhitaji wa kiwanja kwa maeneo ya dar. Sitaki chanika Wala chamanz, pendekezo langu ni kimara, mbezi hadi kibamba, kiluvya nk (target morogoro road) Offa...
0 Reactions
0 Replies
412 Views
Wakuu nimejipanga na bajeti ya milioni 5 hadi 8 kwa ajili ya kununua kiwanja, maeneo ya DSM au Pwani kulingana na upatikanaji utakavyokuwa, bahati nzuri mimi nafanyia kazi nyumbani so hata eneo...
17 Reactions
131 Replies
38K Views
Wakuu habari za hapa,ninauza ramani ya kuanzia maisha ,ramani ya vyumba viwili,KIMOJA master,jiko,sebule, choo cha public. Ramani hiyo Ina kurasa za paa,msingi,muonekano,na vipimo vyake. Kwa...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu ameni iwe kwenu. Wakuu nimefanya uchunguzi wangu ambao siyo rasmi nimegundua nyumba karibia zote kwa mji ninaoishi hazijawekewa KINGA RAD isipokuwa majengo ya benki tu ndiyo yamewekewa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nakaribia hatua ya uezekaji, ila uwezo wa kununua ALAF naona sina, kuna mabat mengi yanatangazwa kama Dragon, Taishan, sunbank, Kinglion, Mabati Bomba, Kiboko etc..ni Kampuni gani angalau ina bati...
8 Reactions
32 Replies
7K Views
MBUNGE NGASSA: "HONGERA RAIS DKT. SAMIA, HONGERA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)" " .... Jana Wizara ya Nishati, Waliwasha Mtambo namba 9 kwenye Bwana la Umeme la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
266 Views
Kwanini hivi huwa hata ujenge ghorofa mjengo wa milioni 200 wa kuishi Chamazi, mmbande, mbagala hadi Vikindu bado tu itaonekana ni kama umechezea hela? Au umejenga sehemu isiyo faa au lazima...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
Wadau kwa msaada wa picha, tiles gani niweke Sebuleni, jikoni, dining,chumbani na chooni? Natanguliza shukrani!🙏🏿
0 Reactions
1 Replies
678 Views
MBUNGE SAASHISHA MAFUWE: MILIONI 300 KUJENGA DARAJA MACHAME Daraja la Makoa lililopo Machame, ambalo limejengwa kipindi kirefu na ambalo lilikua ni kero kubwa imeanza kujengwa upya kwa gharama ya...
0 Reactions
2 Replies
461 Views
Salam humu Naomba mwenye ramani ya aina hii anitumie
0 Reactions
3 Replies
1K Views
BASHUNGWA ATOA MIEZI MIWILI KWA MKANDARASI KUKAMILISHA DARAJA LA MTO RUAHA MKUU - KILOMBERO Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa miezi miwili kwa Mkandarasi wa Kampuni ya M/s Reynolds...
1 Reactions
3 Replies
365 Views
Mbunge wa jimbo la Urambo mkoani Tabora, Margaret Sitta ameiomba Serikali kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu hususani wale wanaoishi maeneo ya vijijini kwa kuwa wanakumbana na...
2 Reactions
10 Replies
465 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS), kuwachukulia hatua Mameneja wa Mikoa wanaoshindwa kusimamia usanifu wa kina na ujenzi wa barabara...
2 Reactions
7 Replies
303 Views
Back
Top Bottom