Leo tumeona ndani ya bunge la katiba kanuni zikibadilishwa ili kuwapa nafasi wajumbe waumini wa kiislamu wanaoenda kufanya ibada ya Hijja kupiga kura wakiwa uko kwenye ibada.
Naomba...
Wanajamvi habari zenu,
Nakaa najiuliza uwezo wa hawa wabunge wa bunge la katiba kweli wana akili timamu? Hivi kweli kwa karne hii kwa mbunge angalau kuwa na elimu ya kidato cha nne ni kosa?hivi...
BUNGE Maalumu la Katiba, limepitisha marekebisho ya Kanuni zake, ili kutoa fursa kwa wajumbe wa Bunge hilo kupiga kura ya kukubali au kukataa Katiba inayopendekezwa, mahali popote walipo hata nje...
Nimedokezwa na ndugu yangu ambaye ni mjumbe katika bunge maalum la katiba kuwa wajumbe wake ambao ni waislamu wamepanga kupiga kura ya kuikataa rasimu ya tatu ya katiba ambayo itawasilishwa kesho...
NOTE BANE:
Ieleweke kuwa wawakilishi wa kutoka vyama vya CUF na CHADEMA walijitoa kwenye Kamati ya Uandishi kutokana na sababu wanazozifahamu wao wenyewe...
Salam zenu wakuu
Inasikitisha kusikia wajumbe wa bunge maalum wakiwahadaa watanzania.
Sijasikia mjumbe yeyote mwenye heavy pregnancy ambaye yuko karibu kujifungua.
Wale wanaosema sijui...
Wakuu,
Hawa wana "UKAWA" wa Scotland walionekana mambo yao yatakuwa shwari na watawadanganya wapiga kura wakubaliane nao lakini wengi walishtuka na kupiga kura za "No to Independence!"
Huku...
Nimekuwa ninasikiliza hoja za watunga katiba, yaani wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wakitetea msimamo wa serikali mbili, sababu za kuendelea kukusanya maoni mapya na sababu za kundelea kwa...
Kanuni ya Kuruhusu Mjumbe kupiga kura akiwa hayumo ndani ya bunge imezua hali ya kurushianaa maneno kati ya wajumbe kwa Wajumbe na Wajumbe na Spika. Hali ni tete kweli. Ndio kwanza Mjadala unaanza!.
Wakuu
UKAWA (NCCR - MAGEUZI, CUF na CHADEMA) walitoka Bungeni kwa mbwembwe na maneno ya kejeli za hapa na pale! Kwa kweli tangu waliposusa wamekuwa na umoja sana. Hata mikutano yao walifanya...
Nimelisikia hili la kamati ya uandishi bunge la katiba kufanya kazi usiku na mchana na kuwa wajumbe wake hulala masaa matatu tu.
Naomba kuuliza kwa wenye weledi zaidi; haraka hii ni ya nini...
Onyo kwa UKAWA hapo mlipochoma basi msije mkajaribu Mkuki kuutoa ,Zenji twasema mtaimbo umewaganda akina Sita na kundile ,mpaka muhakikishe wamekata roho. CCM wabaya sana sana.
Je, sheria ya Mabadiliko ya katiba inaruhusu hili swala la kupiga kura popote? Nini kitatumika kuhakikisha kwamba hiyo kura ni halali? Na aliyepiga ni muhusika haswa? Je inakuwaje mtu ambaye...
"Viongozi Ukawa Wanakabiliwa & Ombwe La Mtindio Wa Elimu Uraia &Ukosefu Wa Uzalendo.Wanataka Matone Ya Damu Kama Kafara Kuingia Ikulu.Ni Vema Wajue,Gunia Tupu Halisimami Wima.Naasa Chadema Wawe...
Habari njema wanajanvi kumbe si UKawa peke yao wanaotaka ile Rasimu ya Warioba iheshimiwe ,kuna makada mbalimbali wa CCM ambao wameapa kutokubaliana na rasimu ya CCM ya serikali mbili kuelekea...
Wanabodi,
Wakati tukiendelea kuisubiria hiyo "Bora Katiba" kule Dodoma kesho, ambapo wengine wetu, tunajisogeza kuishuhudia kwa macho yetu, jee kuna uwezekano wengi wa wabunge, wamepinga...
Mchungaji kiongozi wa Huduma ya HOSSANA LIFE MISSION ameibua tuhuma nzito kwa wanasiasa kuwanunua maaskofu kuhusu mchakato wa katiba. Amesema hayo katika ibada ya Jumapili ya 21 September 2014...
Dodoma. Hali imeanza kuwa tete Bunge la Katiba kutokana na ujumbe unaosambazwa kwa kasi katika mitandao ya kijamii, ili kuwagombanisha na kuwafitinisha wajumbe wa kundi la 201 kutoka Zanzibar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.