Watanzania wenzangumengi sana yamezungumzwa kuhusu rasimu ila kuna jambo moja lamsingi sana naonawatu wengi wanalipuuza haswa wajumbe bunge maalumu la katiba ni kama pandeyeyote ile ya muungano...
uhusu kujiuzulu kwa Mwanasheria Mkuu wa SMZ
Mkutano kati ya waandishi wa habari wa Zanzibar na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman, uliokuwa ufanyike...
Askofu methodiani Kilaini amewashauri wananchi kuwa bunge la katiba liachwe liishe kama kanuni zilizopo; ingawa kama wataweza kuwashawisi wananchi itakuwa vizuri; sababu pesa zilishatengwa na...
Ibara na Vifungu
Mabadiliko ya Katiba vs Marekebisho ya Katiba
Wabunge wa BMK na Wajumbe wa BMK
Mgombe Binafsi nna Mgombea Huru
Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya WATU wa Zanzibar (kwenye...
Samweli Sita katika jitihada za kuhakikisha 2/3 ina patikana amepanga kutumia simu za mkononi kuwasomea wajumbe watakao kuwa katika Hija Saudi Arabia kuwa somea Rasimu yote na kisha kuwaambia...
Nianze kwa kuwatakia safari njema watz watakaojaliwa kwenda Hija mwaka huu ili wakazidi kutuombea kwa Mwenyezi Mungu heri na baraka kwa Taifa letu
Najiuliza tu
Kwa kuwa Hija ni majaliwa...
Habari wadau. Kamati ya uandishi wa Rasimu ya katiba inakaribia kuanza kuandika Rasimu ya katiba baada ya majadiliano ya Bunge la Katiba, kama tunavyojua kuwa Katiba ni Sheria mama hivyo ni muhimu...
Waziri wa katiba na sheria katoa tamko la serikali juu ya usitishwaji wa BMK kuwa mahakama imeridhia bunge hilo lina uharali wa kisheria na kisiasa kuendelea. Akiongea wabunge walijisheherekesha...
Keshokutwa, Alhamisi ndiyo siku ambayo rasimu ya mwisho inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba (BMK), itatolewa hadharani mbele ya Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi,Andrew Chenge...
Wahurumie masikini wanaokosa hata mlo mmoja kwa siku na wewe unateketeza kodi yao kwa ajili ya tumbo lako na wenzako wenye kila aina ya ulafi na uroho usio na kipimo. Kumbukeni mungu yupo sio kwa...
Jopo la Majaji watatu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, leo litaanza kusikiliza kesi ya Kikatiba inayohoji mamlaka ya Bunge Maalum la Katiba.
Kesi hiyo ilifunguliwa na...
Eti Mheshimiwa, hivi hiyo mipasho huwa ukienda mjengoni unakuwa umeiandaa tayari au inajileta tu yenyewe kulingana na upepo unavyovuma pale Bungeni? Lakini sasa hivi tuondoe hofu kwani nimesikia...
Hili ni suala nyeti,tunatunga katiba ya muungano, gharama za kutunga zinatakiwa kuchangiwa na tanganyika na zanzibar,je zanzibar imechangia? Tanganyika? Ina maana hata bunge lenyewe lina utata wa...
Kutoka Gazeti la Mwananchi
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Ally Keissy jana alilazimika kusindikizwa na askari wa Bunge kuondoka katika viwanja vya eneo hili kumnusuru na hasira za wajumbe...
Kufuatia bunge la katiba kupingwa kila kona,wajumbe Wa bunge Hilo kwa nyakati tofauti wakizungumza na waandishi wetu, wameanza kuingia hofu ya kufarakanishwa na kutengwa na Jamii na wameanza...
Itasikitisha kweli endapo tutapata katiba mpya bila mchango wa the likes of halima mdee, kafulila, mnyika, tundu lissu na wengineo.
Chadema na UKAWA jamani acheni hayo mambo ya serikali tatu...
Hebu wajuzi wa sheria mtusaidie kama ni kweli Rais hana mamlaka ya kulivunja BMK je mamlaka ya kuliahirisha anayapata wapi? na kama Rais huyu alipata mamlaka ya kuanzisha mchakato wa Katiba mpya...
Mheshimiwa Kessy amepasua jibu kwa kunena ukweli mtupu. Huyu amewawakilisha watanganyika wote wanoililia nchi yao. Ingawa kuna watanganyika wa kuchongwa wanaompinga lakini ukweli huwa haufutwi...
Ndg wana jukwaa hasa wale wenye uelewa na kazi zitakazofanywa na mhimili huu wa haki pamoja na miongozo yake, nilihitaji kueleweshwa kuhusiana na mahakaa hii; Iwapo sikuridhika na maamuzi katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.